Nani anafaa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi baada ya kifo cha Balozi John Kijazi?

Nani anafaa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi baada ya kifo cha Balozi John Kijazi?

Binafsi kama hatojali naona dr.slaa anaweza kabisa hiyo nafasi.

Anaweza fanya mabadiliko ya balozi akamrudisha slaa mjengoni kule ubelgiji akamchomeka huko hata ole sendeka
 
Ingawa umri wake imeenda lakini binafsi namfikiria Katibu mkuu wa utumishi Dr. Laurian Ndumbaro
Hivi huyu jamaa ji ndugu na waziri aliyempokonya nafasi Mh. Kigwa? Dr. Damas Ndumbaro?
 
Mkuu, kuna mabalozi wanaoteuliwa kutoka maeneo mawili tofauti, kuna wanaoteuliwa kutokea kwenye siasa na kuna wanaoteuliwa kutokea ndani ya serikali (watumishi wa umma). Balozi Kijazi kabla ya kuwa balozi alikuwa ni mtumishi wa umma kwenye wizara ya miundombinu/ujenzi, ndio baadaye akateuliwa kuwa balozi. Kwahiyo, mzee Kijazi hakuwa mwanasiasa. Chikawe, Nchimbi, Dr. Nsekela, Dr. Slaa n.k. hawa ni mfano wa mabalozi walioteuliwa kutokea kwenye siasa, kwahiyo sio rahisi watu kama hawa kuwa katibu mkuu kiongozi. Mberwa Kairuki, Ramadhani Dau na Ernest Mangu ni mfano wa mabalozi walioteuliwa kutokea kwenye utumishi wa umma. Hope umenipata.
Na hadi mtu anachaguliwa kuwa balozi, anakua amekidhi vigezo gani?
 
Aliyepita pia balozi ombeni sefue nae alikuwa balozi na sas aliefariki pia Ni balozi balozi wa Nigeria namuona
 
Asha Rose .
Tatizo moja la mteuzi haangalii tu sifa za amteuaye lakini pia comfort yake iwapo atamweka karibu naye huyo amteuaye. Mara nyingi wale ambao hana ukaribu nao ama ni kama anataka wapumzike ndio amekua akiwapeleka huko 'mbali' nae kwa kofia za kibalozi, refer Mangu, KP, Kairuki, Dau, Asha Rose mwenyewe pia etc. So wacha tuone, upper hand aliyonayo Dr. Stegormena Tax ni kwamba ameshaserve kama Permanent Secretary kwa muda mrefu tu kabla ya kuteuliwa kwenda kuwa mtendaji wa SADC unlike Migiro ambaye ameserve nafasi za kisiasa zaidi hapa nchini kuliko utendaji. Kujua how public system machineries zinavyofanya kazi ni muhimu sana kwa nafasi ya CS
 
Back
Top Bottom