johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tuwe na subra marehemu Kijazi azikwe kwanza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sindio aliharibu sehem huyo, au? Usipendekeze mwenye makandokando.NAMPENDEKEZA Alfayo Kidata RAS Mtwara jamaa anatosha basi tu walimzingua zingua
Mchizi Mox au Mpoki wanafaa sana.kwa maoni yangu, nikweli marehem alikuwa nasifa zte zakuwa katibu mkuu kiongozi.
nabaada ya Mungu kuruhusu apunzike, Naona mtu wakuvaa viatu vyake ni Dr. Hasan Abas , msemaji mkuu wa serikali na jatibu mkuu wizara ya Habari, utamaduni, sanaa na michezo.
kama kunamwingine unamuona zaidi ya huyu hebu weka hapa.
In fact madudu aliyoyafanya aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa shirika hilo ambapo badae alikuja kutumbuliwa huwezi ukamu-exclude huyu mwanamke kwasababu madudu yote kwa kiasi kikubwa walifanya pamoja mbali ya kwamba walikuwa na mahusiano mengine ya boy and girl friend wakiwa kwenye hilo shirika.Hili la huyu mwanamama kwenda kuwa mkurugenzi wa fedha limetushangaza wengi. Japo yasemekana alipokuwapo alikuwa kama key witness kwenye kesi iliyomtumbua mkurugenzi wa shirika alilokuwa akifanyia kazi. Huyu dada ana sifa na experience ya kutosha ya mambo ya Rasirimali watu na sio fedha.
Kwa nafasi anazopata mama huyu lazima ana bahati sio ya nchii na anajua vizuri kula na wakubwa. Hata alipokuwa Tanesco pia alibebwa sana na mkurugenzi wa tanesco.
Kwa hiyo wewe utakuwa ni PS wake mtarajiwa bila shaka.Kuna za chini ya kapeti nimezipata kutoka kwa mtu mzito kwamba moja ya majina yanayopendekezwa kuvaa viatu vya katibu mkuu kiongozi ni kijana mchapakazi kutoka mitaa ya Kolomije Paul Makonda.
Prof. Elisante Ole Gabriel, KM mifugo, yupo cool, smart and principled, huyo Ndumbaro yupo pale utumishi kutekeleza maagizo ya jiwe kukandamiza maslahi ya watumishi, mwaka wa sita hakuna nyongeza ya mshahara, hakuna kupanda vyeo, kupunguza mishahara ya watumishi, ili jiwe abaki na pesa za kutosha kujenga himaya ya chattle...ukweri razima usemwe kama ulivyo au nasema uongo