EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Kazi za kipuuzi puuzi za kuweka watu ndani masaa 24 ndio zinamfaa, unadhani kazi ya ukatibu mkuu kiongozi ni ya kutaka sifa na kuuza sura?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Penda sana kusoma sheria na taratibu za kiongozi hautasema ulichokisema mkuu kimsingi nafasi hiyo si ya kisiasa ni ya kiutendaji hivi unajua nafasi hiyo ndio bosi wa watumishi wa umma ndio boss wa makatibu wa wizara wote lkn lazima tujue kuwa makatibu wa wizara hawaendi bungeni kwa kuwa wao sio wanasiasa makonda ni mwanasiasa lkn katibu kiongozi anatakiwa mtu mwnye utulivu na mwenye dhima ya kidiplomasia makonda hata kwa ramli hayupo hpoKumekucha Wakuu,Mungu Ni Mwema.....
Kiukweli Nimejaribu Kuvuta Macho na Kuangalia Watendaji Wa Mh Magufuli Kuona Ni Nani Atakaye Ziba Pengo La Mh Balozi Kijazi (R.I.P) Sijaona Wa Kuendana Nae Zaidi Ya Makonda.
Huyu Kijana Anafaa Sana Na Hii Nafasi Kama Makonda Ataipewa Itamkomaza Sana Kisiasa Na Atajakuwa Mtu Muhimu Sana Kwa Taifa Letu.
Mnaonaje Wakulungwa? Macho Yenu Yanaona Kama Mimi?
#VaaBarakoaCoronaIpo
Ukiwa mkuu wa mkoa unaongoza wajinga wengi.Ukiwa kmk unaongoza watu muhimuAliiwezaje hiyo Dar unayoisema?labda alikuweza wewe Kilaza mwenzake.
Kijana mdogo makonda? Acha utanisidhan
ile nafas inahitaj mtu mkongwe zaidi na mwenye uzoefu.kwa makonda kwAnza nasikitikaga sana kutomuona kwenye siasa.ana kipaji mbunifu na ana haiba ya uongoz .mnawwez kumhukum mnavyoona inafaa lakn haiba na charismatic ya uongoz anayo.yale mengine ni umr kumbuka ni kijana mdogo so mengine mnamuachia.ila kipaji anacho na siasa tu vile ni dirty games ila Kaliba ya makonda was not something to leave behind.
sidhan
ile nafas inahitaj mtu mkongwe zaidi na mwenye uzoefu.kwa makonda kwAnza nasikitikaga sana kutomuona kwenye siasa.ana kipaji mbunifu na ana haiba ya uongoz .mnawwez kumhukum mnavyoona inafaa lakn haiba na charismatic ya uongoz anayo.yale mengine ni umr kumbuka ni kijana mdogo so mengine mnamuachia.ila kipaji anacho na siasa tu vile ni dirty games ila Kaliba ya makonda was not something to leave behind.
Unamdharau rais kiasi hiki?Kumekucha Wakuu,Mungu Ni Mwema.....
Kiukweli Nimejaribu Kuvuta Macho na Kuangalia Watendaji Wa Mh Magufuli Kuona Ni Nani Atakaye Ziba Pengo La Mh Balozi Kijazi (R.I.P) Sijaona Wa Kuendana Nae Zaidi Ya Makonda.
Huyu Kijana Anafaa Sana Na Hii Nafasi Kama Makonda Ataipewa Itamkomaza Sana Kisiasa Na Atajakuwa Mtu Muhimu Sana Kwa Taifa Letu.
Mnaonaje Wakulungwa? Macho Yenu Yanaona Kama Mimi?
#VaaBarakoaCoronaIpo
Aliweza Dar au nyumba yako??Paul Makonda yupo vzr sana aiseeeee na ndio maana anapigwa mawe sana aliiiweza DSM 100%
Nafasi ya Katibu Mkuu kiongozi ni nafasi inayohitaji uzoefu katika utumishi wa umma, weledi wa hali ya juu, kichwa kilichotulia na busara kubwa.Paul Makonda yupo vzr sana aiseeeee na ndio maana anapigwa mawe sana aliiiweza DSM 100%
Wilson Mutagaywa Kajumula Masiling is a Tanzanian politician and diplomat. He is Tanzania's Ambassador to the United States after having served as Ambassador to the Kingdom of the Netherlands from March 2013.Dr Asha Rose Migiro anastahili hii nafasi
😂😂Makonda hebu acha basi !! Uwezo huo huna , labda ubebwe