Kununua air suspension ya 6M ndo uite maji mma?Kama unapenda mbio chukua V8 petrol. Kama unapenda fuel efficient chukua ya diesel. Epuka kuchukua yenye air suspension kwani ni nzuri sana kama unatembea mawinguni ila ikizingua utaita maji mma unless uwe na milioni 3-6 ya matengenezo
Umetumia vigezo gani mpaka ukasema unahitaji 500M?Kwanza kumiliki hiyo gari inakuhitaji kuwa na kipato kuanzia milioni mia tano ila isipungue mia mbili huo mpunga upo?.
Sisi watu wa toyota tunaona ni kubwa na inahitaji kujipanga sanaKununua air suspension ya 6M ndo uite maji mma?
Sawa na mtu wa Audi atoe comments kwa mtu wa Bugati au Ferari.Sisi watu wa toyota tunaona ni kubwa na inahitaji kujipanga sana
Naam. Nimekusoma Brotherkachukue hili dungu jec pale kc global link kwa chris lukosi,bei ya kutupa ,sawa na vanguard
Sawa na mtu wa Audi atoe comments kwa mtu wa Bugati au Ferari.
Kuna mtu anachoma 3M weekend kwa ajili ya starehe na haimuumi.
How comes anunue air suspension ya 6M aite maji mma?
Yah jamaa kulingana na feedback za watu ndinga nzuri Sana from UKkachukue hili dungu jec pale kc global link kwa chris lukosi,bei ya kutupa ,sawa na vanguard
We jamaa kama ela IPO chukua kama pesa ya madafu Achana nayoFunguka kidogo. Napenda kuzifahamu pia. Ipi nzuri na inachangamoto gani kimatumizi. Na kama nikiipata kwa hapa Tanzania vipi maisha yatakuwa rahisi au itanitesa?!
Dah [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] we jamaaKwanza kumiliki hiyo gari inakuhitaji kuwa na kipato kuanzia milioni mia tano ila isipungue mia mbili huo mpunga upo?.
Garage zipo pesa yako tuGari zote ni nzuri, shida hatuna mafundi. Hawa watoto wa darasa la saba waliokimbilia garage watatengeneza gari gani zaidi ya kuwa wachafu. Huku walipaswa waingie engineers kama mechical n.k.
Acha kufananisha V8 na takatakaInakimbia V8 cha mtoto haiyumbi ovyo barabarani ni mwendo wa mneso kwa mbaali.
Jamaa naonaga bei rahisi sana,yani jumla unakuwa nalo mkononi naonaga hadi 28 million, au zile ni 3?kachukue hili dungu jec pale kc global link kwa chris lukosi,bei ya kutupa ,sawa na vanguard
Kwanza kumiliki hiyo gari inakuhitaji kuwa na kipato kuanzia milioni mia tano ila isipungue mia mbili huo mpunga upo?.
Na izi dungu zipo kwa Chris lukosikachukue hili dungu jec pale kc global link kwa chris lukosi,bei ya kutupa ,sawa na vanguard