SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Mzee Bwana Ben, alishatubu!Nakumbuka harakati za ubifsishaji enzi za mkapa na mwamko uliokuwepo enzi zile dhidi ya mzee mkapa hasa wakosoaji wakubwa wakiwa wasftafu hasa kundi la Nyerere , wananchi wa kawaida nao wakikomaa na kusema kuwa nchi yao inauzwa mkapa akawa adui wa watu wengi hadi watu kuita umaskini eti "ukapa" .
Wakati mzee mkapa akiwa ziarani mwanza msafara wake uliokuwa chini ya ulinzi mkali kila Kona ilishangaza kuona kosa au nia ovu live ikilenga gari lake kuligonga na kulikosa na kuishia kugonga magari mwengine na kuuwana watu na mzee kunusulika.
Msafara ukiwa unaipita Kona ya bwiru kwa kasi kule juu roli kubwa likavamia, ilionekana Kama bahati mbaya lakini haikuwa vile kwa jicho la washauri wake wa usalama na ilibainika kuwa Wala roli lile halikufell break Ila ilikuwa njama ya mauaji na mmakuwa yule.
Wakati bado tunaweza nini kilimtokea magufuli Sasa tunaomba wabaya wanavyo jiapiza dhidi ya Rais Samia kuhusu sera ya ubifsishaji.
Mungu awe na rais wetu
CC , Pasco mayalla
Mwanakijiji
USSR
Mzee Bwana Ben, alishasema alifanya makosa.
Mzee Bwana Ben kama binaadamu alishindwa kuhimili makosa yake mwenyewe...sio siri songo lake lilikuwa ni kuwaangusha Watanzania. Yeye alijua Wakati wake ndio ulikuwa wakati wa kutuvusha Watanzania...alishindwa kufanya hivyo kwa sera za Kuambiwa. Ili mla mazima for lack of a better translation. Msimpotoshe Bibi to be!
R.I.P Ben. Mkapa