Nani anakumbuka ajali ya msafara wa Rais Hayati Mkapa dhidi ya lori kwenye kona ya Bwiru mkoani Mwanza

Nani anakumbuka ajali ya msafara wa Rais Hayati Mkapa dhidi ya lori kwenye kona ya Bwiru mkoani Mwanza

Nakumbuka harakati za ubifsishaji enzi za mkapa na mwamko uliokuwepo enzi zile dhidi ya mzee mkapa hasa wakosoaji wakubwa wakiwa wasftafu hasa kundi la Nyerere , wananchi wa kawaida nao wakikomaa na kusema kuwa nchi yao inauzwa mkapa akawa adui wa watu wengi hadi watu kuita umaskini eti "ukapa" .

Wakati mzee mkapa akiwa ziarani mwanza msafara wake uliokuwa chini ya ulinzi mkali kila Kona ilishangaza kuona kosa au nia ovu live ikilenga gari lake kuligonga na kulikosa na kuishia kugonga magari mwengine na kuuwana watu na mzee kunusulika.

Msafara ukiwa unaipita Kona ya bwiru kwa kasi kule juu roli kubwa likavamia, ilionekana Kama bahati mbaya lakini haikuwa vile kwa jicho la washauri wake wa usalama na ilibainika kuwa Wala roli lile halikufell break Ila ilikuwa njama ya mauaji na mmakuwa yule.

Wakati bado tunaweza nini kilimtokea magufuli Sasa tunaomba wabaya wanavyo jiapiza dhidi ya Rais Samia kuhusu sera ya ubifsishaji.

Mungu awe na rais wetu

CC , Pasco mayalla
Mwanakijiji


USSR
Mzee Bwana Ben, alishatubu!
Mzee Bwana Ben, alishasema alifanya makosa.
Mzee Bwana Ben kama binaadamu alishindwa kuhimili makosa yake mwenyewe...sio siri songo lake lilikuwa ni kuwaangusha Watanzania. Yeye alijua Wakati wake ndio ulikuwa wakati wa kutuvusha Watanzania...alishindwa kufanya hivyo kwa sera za Kuambiwa. Ili mla mazima for lack of a better translation. Msimpotoshe Bibi to be!

R.I.P Ben. Mkapa
 
Leo ndo nimeelewa kwanini tulikuwa tunasema "nipo kapa kabisa mwanangu" kumaanisha sina hata sent

Leo ndo nimeelewa kwanini tulikuwa tunasema "nipo kapa kabisa mwanangu" kumaanisha sina hata sent
Usemi kwamba mtu "katoka kapa" kumaanisha mtu kutokupata kitu/faida kwenye jambo fulani umekuwepo miaka mingi toka Nyerere akiwa bado madarakani.
 
Nakumbuka harakati za ubifsishaji enzi za mkapa na mwamko uliokuwepo enzi zile dhidi ya mzee mkapa hasa wakosoaji wakubwa wakiwa wasftafu hasa kundi la Nyerere , wananchi wa kawaida nao wakikomaa na kusema kuwa nchi yao inauzwa mkapa akawa adui wa watu wengi hadi watu kuita umaskini eti "ukapa" .

Wakati mzee mkapa akiwa ziarani mwanza msafara wake uliokuwa chini ya ulinzi mkali kila Kona ilishangaza kuona kosa au nia ovu live ikilenga gari lake kuligonga na kulikosa na kuishia kugonga magari mwengine na kuuwana watu na mzee kunusulika.

Msafara ukiwa unaipita Kona ya bwiru kwa kasi kule juu roli kubwa likavamia, ilionekana Kama bahati mbaya lakini haikuwa vile kwa jicho la washauri wake wa usalama na ilibainika kuwa Wala roli lile halikufell break Ila ilikuwa njama ya mauaji na mmakuwa yule.

Wakati bado tunaweza nini kilimtokea magufuli Sasa tunaomba wabaya wanavyo jiapiza dhidi ya Rais Samia kuhusu sera ya ubifsishaji.

Mungu awe na rais wetu

CC , Pasco mayalla
Mwanakijiji


USSR
Mistake kumficha huyo mtu wenu kwa kivuli cha kutaka kuuwawa kwa sababu ya uwekezaji. Huyo ni muuza nchi. Hana sababu ya kuhofia kuuwawa. Aache kuchezea maliasili za Tanganyika. Kama anawataka sana wajomba zake basi na awagawie visiwa vya Zanzibar. Sisi hatuna tatizo kabisa.
 
Nakumbuka harakati za ubifsishaji enzi za mkapa na mwamko uliokuwepo enzi zile dhidi ya mzee mkapa hasa wakosoaji wakubwa wakiwa wasftafu hasa kundi la Nyerere , wananchi wa kawaida nao wakikomaa na kusema kuwa nchi yao inauzwa mkapa akawa adui wa watu wengi hadi watu kuita umaskini eti "ukapa" .

Wakati mzee mkapa akiwa ziarani mwanza msafara wake uliokuwa chini ya ulinzi mkali kila Kona ilishangaza kuona kosa au nia ovu live ikilenga gari lake kuligonga na kulikosa na kuishia kugonga magari mwengine na kuuwana watu na mzee kunusulika.

Msafara ukiwa unaipita Kona ya bwiru kwa kasi kule juu roli kubwa likavamia, ilionekana Kama bahati mbaya lakini haikuwa vile kwa jicho la washauri wake wa usalama na ilibainika kuwa Wala roli lile halikufell break Ila ilikuwa njama ya mauaji na mmakuwa yule.

Wakati bado tunaweza nini kilimtokea magufuli Sasa tunaomba wabaya wanavyo jiapiza dhidi ya Rais Samia kuhusu sera ya ubifsishaji.

Mungu awe na rais wetu

CC , Pasco mayalla
Mwanakijiji


USSR
HEBU TUMA VIDEO CLIP YA HIYO AJALI
Nakumbuka harakati za ubifsishaji enzi za mkapa na mwamko uliokuwepo enzi zile dhidi ya mzee mkapa hasa wakosoaji wakubwa wakiwa wasftafu hasa kundi la Nyerere , wananchi wa kawaida nao wakikomaa na kusema kuwa nchi yao inauzwa mkapa akawa adui wa watu wengi hadi watu kuita umaskini eti "ukapa" .

Wakati mzee mkapa akiwa ziarani mwanza msafara wake uliokuwa chini ya ulinzi mkali kila Kona ilishangaza kuona kosa au nia ovu live ikilenga gari lake kuligonga na kulikosa na kuishia kugonga magari mwengine na kuuwana watu na mzee kunusulika.

Msafara ukiwa unaipita Kona ya bwiru kwa kasi kule juu roli kubwa likavamia, ilionekana Kama bahati mbaya lakini haikuwa vile kwa jicho la washauri wake wa usalama na ilibainika kuwa Wala roli lile halikufell break Ila ilikuwa njama ya mauaji na mmakuwa yule.

Wakati bado tunaweza nini kilimtokea magufuli Sasa tunaomba wabaya wanavyo jiapiza dhidi ya Rais Samia kuhusu sera ya ubifsishaji.

Mungu awe na rais wetu

CC , Pasco mayalla
Mwanakijiji


USSR
HEBU TUMA VIDEO CLIP YA HIYO AJALI
 
Mistake kumficha huyo mtu wenu kwa kivuli cha kutaka kuuwawa kwa sababu ya uwekezaji. Huyo ni muuza nchi. Hana sababu ya kuhofia kuuwawa. Aache kuchezea maliasili za Tanganyika. Kama anawataka sana wajomba zake basi na awagawie visiwa vya Zanzibar. Sisi hatuna tatizo kabisa.
Mwenye kuadhibu ni Mungu. Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. Ogopa vilio vya wananchi ukajifanya kushupaza shingo kisa wewe unamamlaka.
Watanzania si watu wa vurugu, ila wanaimani zao mbalimbali. Kuna watu wanadhani wanagarantee ya kila kitu. Wanaweza fanya lolote ati kisa wanamadaraka.

Subirini!
 
Nakumbuka harakati za ubifsishaji enzi za Mkapa na mwamko uliokuwepo enzi zile dhidi ya mzee Mkapa hasa wakosoaji wakubwa wakiwa wastaafu hasa kundi la Nyerere, wananchi wa kawaida nao wakikomaa na kusema kuwa nchi yao inauzwa Mkapa akawa adui wa watu wengi hadi watu kuita umaskini eti "ukapa" .

Wakati mzee mkapa akiwa ziarani mwanza msafara wake uliokuwa chini ya ulinzi mkali kila kona ilishangaza kuona kosa au nia ovu live ikilenga gari lake kuligonga na kulikosa na kuishia kugonga magari mwengine na kuuwana watu na mzee kunusulika.

Msafara ukiwa unaipita kona ya Bwiru kwa kasi kule juu lori kubwa likavamia, ilionekana kama bahati mbaya lakini haikuwa vile kwa jicho la washauri wake wa usalama na ilibainika kuwa Wala lori lile halikufell break Ila ilikuwa njama ya mauaji na mmakuwa yule.

Wakati bado tunaweza nini kilimtokea Magufuli sasa tunaomba wabaya wanavyo jiapiza dhidi ya Rais Samia kuhusu sera ya ubinafsishaji.

Mungu awe na Rais wetu

CC , Pasco mayalla
Mwanakijiji


USSR
Mungu hawezi kuwa pamoja na wachuuzi wa raslimali za umma.
 
Nakumbuka harakati za ubifsishaji enzi za Mkapa na mwamko uliokuwepo enzi zile dhidi ya mzee Mkapa hasa wakosoaji wakubwa wakiwa wastaafu hasa kundi la Nyerere, wananchi wa kawaida nao wakikomaa na kusema kuwa nchi yao inauzwa Mkapa akawa adui wa watu wengi hadi watu kuita umaskini eti "ukapa" .

Wakati mzee mkapa akiwa ziarani mwanza msafara wake uliokuwa chini ya ulinzi mkali kila kona ilishangaza kuona kosa au nia ovu live ikilenga gari lake kuligonga na kulikosa na kuishia kugonga magari mwengine na kuuwana watu na mzee kunusulika.

Msafara ukiwa unaipita kona ya Bwiru kwa kasi kule juu lori kubwa likavamia, ilionekana kama bahati mbaya lakini haikuwa vile kwa jicho la washauri wake wa usalama na ilibainika kuwa Wala lori lile halikufell break Ila ilikuwa njama ya mauaji na mmakuwa yule.

Wakati bado tunaweza nini kilimtokea Magufuli sasa tunaomba wabaya wanavyo jiapiza dhidi ya Rais Samia kuhusu sera ya ubinafsishaji.

Mungu awe na Rais wetu

CC , Pasco mayalla
Mwanakijiji


USSR
hakuna mungu yoyote aliye na huyo bibi sababu yeye mwenyewe sio mtu wa mungu, lolote limpate tu for all I care
 
Mungu huwa anachukua wengi tu kwenye ajali!

Hao wanaokuwa wanachukuliwa na ajali kwani wao ni wanyama?

Likitokea kwa wakuu ni kosa la Mungu?
Ujue shida sio ajali..ila namna inavyotokea
Ingekua gari kupinduka au kugama njia ni sawa...lakini kwa gari kuvamia msafara wa rais sio jambo dogo
Lakini nao hawakuwa na tahadhari?
Nakumbuka kipind Cha Magufuli, waziri mkuu alitembelea wilaya yetu, wakati wanaondoka gari la polisi lilikuwa limetangulia, sasa Kuna jamaa alikuwa kalewa akataka kuingiza gari lake njian kabla ya msafara haujakamilika
Alichokutana nacho, nadhan hata Leo akiona misafara anakaa mbali
 
Back
Top Bottom