Nani anakumbuka ajali ya msafara wa Rais Hayati Mkapa dhidi ya lori kwenye kona ya Bwiru mkoani Mwanza

Nani anakumbuka ajali ya msafara wa Rais Hayati Mkapa dhidi ya lori kwenye kona ya Bwiru mkoani Mwanza

Nakumbuka harakati za ubifsishaji enzi za Mkapa na mwamko uliokuwepo enzi zile dhidi ya mzee Mkapa hasa wakosoaji wakubwa wakiwa wastaafu hasa kundi la Nyerere, wananchi wa kawaida nao wakikomaa na kusema kuwa nchi yao inauzwa Mkapa akawa adui wa watu wengi hadi watu kuita umaskini eti "ukapa" .

Wakati mzee mkapa akiwa ziarani mwanza msafara wake uliokuwa chini ya ulinzi mkali kila kona ilishangaza kuona kosa au nia ovu live ikilenga gari lake kuligonga na kulikosa na kuishia kugonga magari mwengine na kuuwana watu na mzee kunusulika.

Msafara ukiwa unaipita kona ya Bwiru kwa kasi kule juu lori kubwa likavamia, ilionekana kama bahati mbaya lakini haikuwa vile kwa jicho la washauri wake wa usalama na ilibainika kuwa Wala lori lile halikufell break Ila ilikuwa njama ya mauaji na mmakuwa yule.

Wakati bado tunaweza nini kilimtokea Magufuli sasa tunaomba wabaya wanavyo jiapiza dhidi ya Rais Samia kuhusu sera ya ubinafsishaji.

Mungu awe na Rais wetu

CC , Pasco mayalla
Mwanakijiji


USSR
Wewe Jamaa ni Muongo Sijapata Kuona!!!

Kwanza Hii ajali haikutokea Kona Ya Bwiru, Ilikuwa ni NYAKATO SOKONI MWANZA..

Pili Ajali haikuhusisha Lori, Ilikuwa ni Bus la Ally’s Lilikouwa likitokea Musoma au Tarime.

Tatu Bus Hilo lilikuwa Limepaki National AMBAPO Traffic Walimlazimisha dereva kuliondoa Pamoja Na kueleza kuwa lilikuwa bovu halina breki akalazimishwa, Alivoliwasha tu likanyooka Mazima Na kukutana Na msafara wa Rais Mkapa dereva akajaribu kuukwepa Likaungukia wale watu wanaojipangaga pembeni kupunga Mikono kwa Rais.
Watu Walikufa wa Kutosha.

Ilikuwa ni Simanzi.
 
Back
Top Bottom