Hold on
JF-Expert Member
- Feb 7, 2023
- 482
- 1,126
Mna nafuuKwetu huku sio hivyoo tena yako 10 unazunguka na madalali hadi upate utakacho ila nauli unalipia wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mna nafuuKwetu huku sio hivyoo tena yako 10 unazunguka na madalali hadi upate utakacho ila nauli unalipia wewe
I think you are my girlfriendSo what is your suggestion here??
NAKAZIAWewe wakati unataka nyumba ulienda kwa mwenye nyumba akupangishe au ulienda kwa dalali akutafutie nyumba ya kupanga?
Kama ulienda kwa dalali akutafutie nyumba sharti umlipe gharama za kukutaftia nyumba.
Na kama ulitafuta mwenyewe nyumba bila kumshirikisha dalali ukapata, hutalipa hizo gharama, maana dalali hatakuwepo.
Na kwanini utafute dalali? Kwanni usiweke tangazo kwenye nyumba yako kuwa inapangishwa? mtu wa kati wa nini?Wakuu,
Katika harakati za kutafuta nyumba kwa ajili ya shughuli mbalimbali madalali wamekuwa wakitumika kufanikisha jambo hilo. Wenye nyumba hutafuta madalali ili kuweka wepesi katika kupata wateja, na imekuwa rahisi kwa wapangaji kufikia maeneo hayo kirahisi kupitia madalali.
Ambapo, baada ya kufanikisha zoezi la kupata mteja mpangaji anatakiwa kulipa kodi ya mwezi mmoja kwa dalali kama ujira wake, na asipolipa atafanyiwa figisu mpaka ashindwe kupata sehemu hiyo au ataletewa mtu mwingine na yeye kulazimika kuhama
Sasa swali linakuja hapa, nani anatakiwa kulipa ujira wa dalali? Kama dalali amepewa kazi na mwenye nyumba kwanini ujira alipe mpangaji? Kwanini asilipe mwenye nyumba aliyetoa shavu hilo kwa dalali?
Swali la nyongeza, kwanini mpangaji atakiwe kulipa kodi ya mwezi mmoja? Yaani gharama ile ile kwa mwenye mali inatakiwa iende sawa na kwa aliyetoa taarifa juu ya uwepo wake!
Ina maana imekosekana kabisa njia ya kumpa mpangaji unafuu na kumpunguzia, ikiwezekana kumuondolea kabisa mzigo huo?
Wakuu mnazungumziaje suala hili.
Hakuna mwenye nyumba anayemtafuta dalali....dalali ndo anatafuta nyumba iliyo waziNa kwanini utafute dalali? Kwanni usiweke tangazo kwenye nyumba yako kuwa inapangishwa? mtu wa kati wa nini?
Wakuu,
Katika harakati za kutafuta nyumba kwa ajili ya shughuli mbalimbali madalali wamekuwa wakitumika kufanikisha jambo hilo. Wenye nyumba hutafuta madalali ili kuweka wepesi katika kupata wateja, na imekuwa rahisi kwa wapangaji kufikia maeneo hayo kirahisi kupitia madalali.
Ambapo, baada ya kufanikisha zoezi la kupata mteja mpangaji anatakiwa kulipa kodi ya mwezi mmoja kwa dalali kama ujira wake, na asipolipa atafanyiwa figisu mpaka ashindwe kupata sehemu hiyo au ataletewa mtu mwingine na yeye kulazimika kuhama
Sasa swali linakuja hapa, nani anatakiwa kulipa ujira wa dalali? Kama dalali amepewa kazi na mwenye nyumba kwanini ujira alipe mpangaji? Kwanini asilipe mwenye nyumba aliyetoa shavu hilo kwa dalali?
Swali la nyongeza, kwanini mpangaji atakiwe kulipa kodi ya mwezi mmoja? Yaani gharama ile ile kwa mwenye mali inatakiwa iende sawa na kwa aliyetoa taarifa juu ya uwepo wake!
Ina maana imekosekana kabisa njia ya kumpa mpangaji unafuu na kumpunguzia, ikiwezekana kumuondolea kabisa mzigo huo?
Wakuu mnazungumziaje suala hili.
basi analipwa na anayetafuta nyumba.Hakuna mwenye nyumba anayemtafuta dalali....dalali ndo anatafuta nyumba iliyo wazi
Inategemea dalali ni wa nani, kama ulimfata wewe akakupeleka kwenye nyumba, unamlipa wewe, mapatano yake na mwenye nyumba hayakuhusu.Wakuu,
Katika harakati za kutafuta nyumba kwa ajili ya shughuli mbalimbali madalali wamekuwa wakitumika kufanikisha jambo hilo. Wenye nyumba hutafuta madalali ili kuweka wepesi katika kupata wateja, na imekuwa rahisi kwa wapangaji kufikia maeneo hayo kirahisi kupitia madalali.
Ambapo, baada ya kufanikisha zoezi la kupata mteja mpangaji anatakiwa kulipa kodi ya mwezi mmoja kwa dalali kama ujira wake, na asipolipa atafanyiwa figisu mpaka ashindwe kupata sehemu hiyo au ataletewa mtu mwingine na yeye kulazimika kuhama
Sasa swali linakuja hapa, nani anatakiwa kulipa ujira wa dalali? Kama dalali amepewa kazi na mwenye nyumba kwanini ujira alipe mpangaji? Kwanini asilipe mwenye nyumba aliyetoa shavu hilo kwa dalali?
Swali la nyongeza, kwanini mpangaji atakiwe kulipa kodi ya mwezi mmoja? Yaani gharama ile ile kwa mwenye mali inatakiwa iende sawa na kwa aliyetoa taarifa juu ya uwepo wake!
Ina maana imekosekana kabisa njia ya kumpa mpangaji unafuu na kumpunguzia, ikiwezekana kumuondolea kabisa mzigo huo?
Wakuu mnazungumziaje suala hili.
😆😆😆Kiwango cha umaskini au ni roho mbaya tuMwenye Nyumba Bongo udalali umezidi hadi kuelekezwa njia kuna udalali hadi madalali wa Choo!
Wengine wahuni wanakuonyesha nyumba isiyopangishwa wala kuuzwa. Wanapiga chenji na mwenye nyumba.Kwasasa gharama za kuoneshwa zinafika mpaka 30k, halafu bado uje kulipa mwezi mmoja!
Si lazimaTena sikuiz wamegundua kitu ukipelekwa kuonyeshwa nyumba moja ya kwaza unalipa 10k upende usipende nyumba utalipia
hivi kumbe we ni mtu timamu kabisa na unaweza kuongea vitu vya maana?Kwetu huku sio hivyoo tena yako 10 unazunguka na madalali hadi upate utakacho ila nauli unalipia wewe
Hahaha😂😂😂😂😂🙌hivi kumbe we ni mtu timamu kabisa na unaweza kuongea vitu vya maana?
Kabisa, nakumbuka yalitoka matamko kipindi fulani halafu ikaisha hivyo yaaniNani kampa nani kazi ndio kitu cha kuzingatia. Ila huu mfumo wa mpangaji kutoa kodi ya mwezi ni aina fulani ya uwizi uliohalalishwa.
Wenye nyumba ndio wanaongeza ugumu kwenye hiliNa kwanini utafute dalali? Kwanni usiweke tangazo kwenye nyumba yako kuwa inapangishwa? mtu wa kati wa nini?
Endelea kujifunza kaka utaivaBut the big problem i think is coming from the owners of the houses
Wachache sana, kuna wakati nilikuwa natafuta sehemu jamani yule mwenye nyumba hataki aongee na mpangaji, yaani dalali ndio kashika usukani😂😂😂 na wengine unaenda sehemu anakwambia mi sina tatizo ukimalizana na dalali.... na vile madalali wanakuwa na viburi utafikiri nyumba zaoHakuna mwenye nyumba anayemtafuta dalali....dalali ndo anatafuta nyumba iliyo wazi