MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Tenses and grammer mzozo sana kwako fundi bishooOk
But your name is reminding me my girlfriend she gat name like yours
Keep going master!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tenses and grammer mzozo sana kwako fundi bishooOk
But your name is reminding me my girlfriend she gat name like yours
Thank you brotherEndelea kujifunza kaka utaiva
Can i ask you bro what is the grammer u can tell me in swahiliTenses and grammer mzozo sana kwako fundi bishoo
Keep going master!!!
Okay i see where are you from ??I think you are my girlfriend
Ukitaka zunguka mwenyeweHivi njia rahisi ya kujua sehemu fulani wanapangisha bila kutumia dalali ni ipi?🤔🤔
Nchi ya ajabu hii kuna vitu ukiwaza mpaka unakuta kuishi TZ mambo ya hovyo ni mengi alafu serikali imekaa kimya yani wanaona ni moja ya ajira kwa wananchi wizi mtupu.Nani kampa nani kazi ndio kitu cha kuzingatia. Ila huu mfumo wa mpangaji kutoa kodi ya mwezi ni aina fulani ya uwizi uliohalalishwa.
Ina maana wewe hujui kwamba kuna wenye nyumba ukienda mwenyewe hakupangishi nyumba?Kama nyumban zingekuwa nyingi kuliko wapangaji obviously mwenye nyumba angemlipa dalali pesa amtafutie mteja ila kutokana na kwamba watu ni wengine kuliko nyumba ndo maana mtu anamfata dalali ili amtafutie nyumba
Kama unaona unapigwa inabidi utafute nyumba mwenyewe ili kuwaepuka hao madalali
Aisee acha dharau nitakusaksia shauri yako ngoja ni ite mtu hapa aje fasta akuulize kama anaishigi natahirahivi kumbe we ni mtu timamu kabisa na unaweza kuongea vitu vya maana?
"Grammar"(sarufi) ni neno linalotumika kuelezea mfumo na kanuni za lugha ambazo zinahusika na muundo wa maneno na sentensi. Ni seti ya sheria na miongozo ambayo inaelezea jinsi maneno yanavyotengenezwa, jinsi yanavyopangwa ndani ya sentensi, na jinsi sentensi zinavyoundwa na kuwa na maana.Can i ask you bro what is the grammer u can tell me in swahili
Sijui!!!Mimi nasimamia nyumba nafuatagwa na madalaliIna maana wewe hujui kwamba kuna wenye nyumba ukienda mwenyewe hakupangishi nyumba?
Ooh thank you so much bro i will google and learn through internet and i wikk keep focus on grammers and tenses"Grammar"(sarufi) ni neno linalotumika kuelezea mfumo na kanuni za lugha ambazo zinahusika na muundo wa maneno na sentensi. Ni seti ya sheria na miongozo ambayo inaelezea jinsi maneno yanavyotengenezwa, jinsi yanavyopangwa ndani ya sentensi, na jinsi sentensi zinavyoundwa na kuwa na maana.
Kwa kutumia kanuni za sarufi, tunaweza kuelewa jinsi maneno yanavyopangwa kwa usahihi na kusawazisha muundo wa sentensi. Kanuni za sarufi hujumuisha mambo kama vile kitenzi, nomino, kielezi, kifungu, kisarufi, na wengine. Kanuni hizi huzingatia mambo kama uteuzi sahihi wa maneno (sintaksia), muundo wa tenses, makundi ya nomino, viambishi (kama vile viambishi vyenye wakati, idadi, na jinsia), na mengine.
Sarufi husaidia kuunda lugha kuwa na muundo na ni muhimu katika mawasiliano sahihi na wazi. Kwa kuelewa kanuni za sarufi, tunaweza kuwasiliana kwa ufanisi na kuzoea miongozo ya lugha tunayotumia.
Am in dsm the town of bashite and you..?where are you fromOkay i see where are you from ??
Bado unachemsha(later,wewe later)!Aaah no for now i have decided to speqk english because am just trying to boost my confidence bcause anytime from now i can go to foreign countries so i dont want to get problem lqter
wewe huwezi kuishi na mtu,si umeachika?Aisee acha dharau nitakusaksia shauri yako ngoja ni ite mtu hapa aje fasta akuulize kama anaishigi natahira
Aaah no for now i have decided to speqk english because am just trying to boost my confidence bcause anytime from now i can go to foreign countries so i dont want to get problem lqter
Eh usituite wezi je wewe si mwizi pia unataka kupata vitu free tafuta mwenyeweNchi ya ajabu hii kuna vitu ukiwaza mpaka unakuta kuishi TZ mambo ya hovyo ni mengi alafu serikali imekaa kimya yani wanaona ni moja ya ajira kwa wananchi wizi mtupu.
Serikali ilipaswa kuliona hili na kulikemea kwasababu linaumiza wananchi lakini kwasababu tumezoea kuishi kwa maziwa ndio ivyo ukitafuta nyumba ya kupanga Leo kichwa kitakuuma shida kila kona kwenye hii nchi
Inaonekana ni lile group la bibie mnaniandama sikia njoo na ID yako unayotambulika ila ujue hili ukooo wenu ndio unatabia yakuzalia nyumbani na kuoa au kuolewa ni ngumu hata maaza ako alikuzaa nyumbani nyie kila mtu ana baba akewewe huwezi kuishi na mtu,si umeachika?