welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
wengi wao ni wafup na wanaongea sana full kujiskia kama vile ndiyo wenye nyumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lukuvi aliwahi kutoa tamko suala la madalali kwenye upangishaji likome, ila kama kawaida matamko yanatoka kama vile hakuna kilichosemwaNchi ya ajabu hii kuna vitu ukiwaza mpaka unakuta kuishi TZ mambo ya hovyo ni mengi alafu serikali imekaa kimya yani wanaona ni moja ya ajira kwa wananchi wizi mtupu.
Serikali ilipaswa kuliona hili na kulikemea kwasababu linaumiza wananchi lakini kwasababu tumezoea kuishi kwa maziwa ndio ivyo ukitafuta nyumba ya kupanga Leo kichwa kitakuuma shida kila kona kwenye hii nchi
maswala yanayo husu wananchi wanato matamko tu ila ya kwao wanatunga sheriaLukuvi aliwahi kutoa tamko suala la madalali kwenye upangishaji likome, ila kama kawaida matamko yanatoka kama vile hakuna kilichosemwa
Wanatakiwa watungie sheria sio kutamka tuuLukuvi aliwahi kutoa tamko suala la madalali kwenye upangishaji likome, ila kama kawaida matamko yanatoka kama vile hakuna kilichosemwa
HiOhooo maan that is the city of god i like to call it new york
Hellow my unique flower
Kwa English hii asee mwalimu wa math utafika mbali 🤠Aaah no for now i have decided to speqk english because am just trying to boost my confidence bcause anytime from now i can go to foreign countries so i dont want to get problem lqter
Stop that teacherKwa English hii asee mwalimu wa math utafika mbali 🤠
Ka.......we huko na lugha ya kuunga ungaStop that teacher
Without practical you cant perform well let me try hard
Sio sawa kuwa kotekote, huu ndio mwanzo wa dhulma, lazima kuwe na upande maalum wakupokea malipoMadalali tunakula pande mbili unataka tuishije hapa mujini
Dalali hatafutwi bali anafuatwa,wana maskani zao kama sio Ofisi kabisa, wanamtandao wao na wanamawasiliano na wenye nyumba,hawaanzi kutafuta nyumba wakati unapowafuata bali wanakuwa tayari wanajua wapi nyumba ilipo. kazi yao ni kukupeleka kwenda kuona,mzunguko unatokea pale ambapo utakuwa hujarishwa na nyumba uliyopelekwa na kutaka kuonyeshwa nyingine na hili ni sehemu ya kazi na kuchagua ni haki ya mteja.Hivi unawezaje kumtafuta mtu akutafutie nyumba alafu useme mwenye nyumba ndio alipe. Mm nilikua nakubaliana na dalali kulingana na tulivyozunguka kama kodi ni 50k nikimpa 20k ya kuzunguka nae sioni tabu ila sio kuanza kumlipa kodi ya mwezi mmoja juu na hili na mwambia mapemaa kabla hajaanza kazi wapo waliokua wanakataa na wengine wanakubali
Wote kivipi mkuu!?Wote
SawaDalali hatafutwi bali anafuatwa,wana maskani zao kama sio Ofisi kabisa, wanamtandao wao na wanamawasiliano na wenye nyumba,hawaanzi kutafuta nyumba wakati unapowafuata bali wanakuwa tayari wanajua wapi nyumba ilipo. kazi yao ni kukupeleka kwenda kuona,mzunguko unatokea pale ambapo utakuwa hujarishwa na nyumba uliyopelekwa na kutaka kuonyeshwa nyingine na hili ni sehemu ya kazi na kuchagua ni haki ya mteja.
We mganga mfupi fundi bishoo hii uli ua mwanangu😃😃That is the work of the owner of the house but the life of tz it's so hard the brokers are exploitating us a lot