Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote wanatakiwa kupiga goti.Salaam Wakuu,
Nimekutana na hii clip hapa chini. Je nani anapaswa kupiga goti kati ya mwanaume na mwanamke wanapovalishana pete?
Binafsi naona ni tamaduni za watu tu hizi vyoyote ni sawa.
Tazama clip hizi hapa chini.
View attachment 2444917
View attachment 2444922
Ila tambua PENZI ni ulevi fulani hivi.Kwanza kwa anavyojitambua huu upuuzi hatafanya. Ataolewa vizuri tu
Hakuna mapenzi ya hivyo nakwambia ni unafiki tu. Naamini hatafanya maana hajafundishwa hivyo.Ila tambua PENZI ni ulevi fulani hivi.
Unavyomfikiria mwanao kwa sasa , mbele ya penzi anaweza akabadilika ukashangaa.
Wengine wanafikia hata kuwakana wazazi kabisa...achana kabisa na huu uraibu unaoitwa penzi.
Wewe nafasi yako kama mzazi ni kumwombea Mungu apate mwenza mwema.
Hya ni mambo ya wa Kristo tu, kwa Waisilamu mwanaume ni aljari siku zoteNALIA NGWENA nimeshindwa kabisa hata machozi ya uongo na kweli hakuna Tena suala la kupiga magoti ndio suala gumu mno kwangu.
Nina mpango wa kumvisha Pete shemeji yenu lakini nikifikiria kuhusu Jambo la kupiga goti na kutoa machozi ya furaha nashindwa kabisa.
Njooni mnishauri huwa mnawezaje wezaje kufanya hivyo.
Bora msimame wote kama nini 😃😃😃We mtoto wa kiume muache mkeo mtarajiwa ndo apige goti then kimahaba unaweza muinua ndo umveshe
Siezi ruhusu mwanaume wangu apige goti wooiiii bora tusimame wote kama minguzo ya umeme
Manguzo ya umemeBora msimame wote kama nini 😃😃😃
Sijyi kwanini nyie maamuma chochote kikiwa kibaya na cha hovyo mnakihusisha na ukristo. Acha ujinga wako wewe. Juzi tu Juma Kitinku kapiga goti na kulia mbele za mwanamke hapa Sinza. Usipende kugeneralize na kusingizia dini za wenzio mambo ya hovyo.Hya ni mambo ya wa Kristo tu, kwa Waisilamu mwanaume ni aljari siku zote
UbarikiweWe mtoto wa kiume muache mkeo mtarajiwa ndo apige goti then kimahaba unaweza muinua ndo umveshe
Siezi ruhusu mwanaume wangu apige goti wooiiii bora tusimame wote kama minguzo ya umeme
Mwanaume anatakiwa kupiga goti kwasababu yeye ndio kaenda kuomba uchumbaWe mtoto wa kiume muache mkeo mtarajiwa ndo apige goti then kimahaba unaweza muinua ndo umveshe
Siezi ruhusu mwanaume wangu apige goti wooiiii bora tusimame wote kama minguzo ya umeme
Baba yako wakati anaenda mposa Mama yako mpaka mkazaliwa nyie alipiga goti? Wacheni kuonea na kuyumbisha vijana wa watu. Waoneeni huruma.Mwanaume anatakiwa kupiga goti kwasababu yeye ndio kaenda kuomba uchumba
Logically anayeomba ndiye anayetakiwa kupiga goti...ndio maana wanasemaga 'she said yes'
Baba yako wakati anaenda mposa Mama yako mpaka mkazaliwa nyie alipiga goti? Wacheni kuonea na kuyumbisha vijana wa watu. Waoneeni huruma.