edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,919
- 9,797
KisaKama ikitokea Jenerali Mabeyo akaomba kupumzika basi mamlaka za uteuzi imwangalie Balozi wa Tanzania nchini Uturuki Luteni Jenerali Yacoub Hassan Mohamed kama Jenerali mpya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KisaKama ikitokea Jenerali Mabeyo akaomba kupumzika basi mamlaka za uteuzi imwangalie Balozi wa Tanzania nchini Uturuki Luteni Jenerali Yacoub Hassan Mohamed kama Jenerali mpya
Mbona aliruka vyeo vingi sanaNdio, anarukishwa kama ilivyofanyika kwa Mbuge kutoka Kanali hadi meja general.
Alihisi vyema. Nilivyo ona CDF hayupo alafu wakuu wengine wapo kama DG TISS , IGP etc na yeye yupo 🙂🙂🙂 acha mambo yaanzeHongera kwa ubashiri naona ndiye kawa CDF Mpya…
Who is next… 😊Alihisi vyema. Nilivyo ona CDF hayupo alafu wakuu wengine wapo kama DG TISS , IGP etc na yeye yupo 🙂🙂🙂 acha mambo yaanze
New CDF..Alihisi vyema. Nilivyo ona CDF hayupo alafu wakuu wengine wapo kama DG TISS , IGP etc na yeye yupo 🙂🙂🙂 acha mambo yaanze
kama IGP vileWho is next… 😊
Huyo hakuwa yeye mkuu, MEJA Jenerali tangu lini akawa na NYOTA 3 MABEGANI?? Mwangalie kwa umakini utagundua huyo alikuwa LUTENI JENERALI.Alihisi vyema. Nilivyo ona CDF hayupo alafu wakuu wengine wapo kama DG TISS , IGP etc na yeye yupo [emoji846][emoji846][emoji846] acha mambo yaanze
Huyo sio yeye acha fixHongera kwa ubashiri naona ndiye kawa CDF Mpya…
Sura imekaa kikazi sana hii. Na anaonekana mtu wa kazi
Duuh Hongera Sana Afande Mkunda sina shaka nawe.
Una akili timamu? Unajua hiyo picha ilipigwa wapi na lini? Umezoom vizuri hiyo picha ama unekurupuka tu kuandika kutafuta kiki?Huyo sio yeye acha fix
Ha ha mmepiga chini wote woteKufatia habari ya jana ya kustaafu kwa General Mabeyo ndani ya JWTZ, basi kama kawaida yetu sio mbaya tukafanya bashiri ya nani anaweza akawa CDF mpya.
Kwakuwa JF ni uwanja mpana, ina wadau wengi na wengine ni wa huko huko jikoni, sio mbaya tukapendekeza jina la CDF mpya kwa kuzingatia uweledi wake katika kuchapa kazi.
Mimi nampa nafasi kubwa Luteni Jenerali Mathew Mkingule kuwa CDF mpya.
Lakini pia kwenye korido anatajwa Luteni Jenerali Yakubu Mohamed balozi wa Tanzania nchini Uturuki.
Japo pia mzee wa infantry, Meja Jenerali Mwaisaka anapigiwa chapuo.
Vilevile, Meja Jenerali Rajab Mabele naye anaweza akawa CDF mzuri tu kwa utendaji wake mzuri wa kazi huko JKT.
Japo pia kuna minong'ono kuhusu Meja Jenerali Suleimani Mzee kufatia kazi ya kutukuka huko Magereza.
Ila watu wasimua-underrate Meja Jenerali Mbuge lolote linaweza kutokea. Japo kwasasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Brigedia Jenerali J.J. Mwaseba mkuu wa chuo cha TMA naye anatajwa japo atakuwa yupo nyuma sana kwa rank kulinganisha na hao wenzake.
NB:
Uzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!
Viva JWTZ
Viva Tanzania
Nimeizoom na nimeiona, angalia mabegani hapo Tangu Lini MKUNDA alikuwa LUTENI JENERALI mwehu wewe??Una akili timamu? Unajua hiyo picha ilipigwa wapi na lini? Umezoom vizuri hiyo picha ama unekurupuka tu kuandika kutafuta kiki?
Hujaona huyo shehe aliye pandishwa hapo?JW kiboko, [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kuna watu walitulisha matango eti CDF lazima atokee visiwani na lazima awe muislamu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Jeshi haliendeshwi kwa hisia za Raisi.View attachment 2276670
Wote waliotajwa ktk uzi huu wameangukia puaKufatia habari ya jana ya kustaafu kwa General Mabeyo ndani ya JWTZ, basi kama kawaida yetu sio mbaya tukafanya bashiri ya nani anaweza akawa CDF mpya.
Kwakuwa JF ni uwanja mpana, ina wadau wengi na wengine ni wa huko huko jikoni, sio mbaya tukapendekeza jina la CDF mpya kwa kuzingatia uweledi wake katika kuchapa kazi.
Mimi nampa nafasi kubwa Luteni Jenerali Mathew Mkingule kuwa CDF mpya.
Lakini pia kwenye korido anatajwa Luteni Jenerali Yakubu Mohamed balozi wa Tanzania nchini Uturuki.
Japo pia mzee wa infantry, Meja Jenerali Mwaisaka anapigiwa chapuo.
Vilevile, Meja Jenerali Rajab Mabele naye anaweza akawa CDF mzuri tu kwa utendaji wake mzuri wa kazi huko JKT.
Japo pia kuna minong'ono kuhusu Meja Jenerali Suleimani Mzee kufatia kazi ya kutukuka huko Magereza.
Ila watu wasimua-underrate Meja Jenerali Mbuge lolote linaweza kutokea. Japo kwasasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Brigedia Jenerali J.J. Mwaseba mkuu wa chuo cha TMA naye anatajwa japo atakuwa yupo nyuma sana kwa rank kulinganisha na hao wenzake.
NB:
Uzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!
Viva JWTZ
Viva Tanzania
Umepatia hongeraCDF anatakiwa mtu mtulivu katika Maamuzi. Kwa Upande wa Meja Jenerali Mzee aliyepo Magereza japo ni mtendaji mzuri lakini kwa nafasi ya CDF kwakweli hapana-weakness yake kubwa ana hemka sana/temper.
Meja jenerali Gaguti tabia za ujana zimemkamata sana bado tofauti na umri na rank yake.
Ukiuliza wajeda wenyewe wanasema wenye sifa kwa nafasi hiyo ni Mkingule, Simuli, Mkunda na Othman
Wachana na mnadhimu, topic illikuwa ni CDF BossHujaona huyo shehe aliye pandishwa hapo?
Ndio inawezekana.Luteni, Meja, Brigedia (Jenerali).
Hivi anaweza kuteuliwa mtu ambaye sio rank ya Luteni Jenerali direct akawapita walio juu yake?
President kama aliiona post yako vileCDF anatakiwa mtu mtulivu katika Maamuzi. Kwa Upande wa Meja Jenerali Mzee aliyepo Magereza japo ni mtendaji mzuri lakini kwa nafasi ya CDF kwakweli hapana-weakness yake kubwa ana hemka sana/temper.
Meja jenerali Gaguti tabia za ujana zimemkamata sana bado tofauti na umri na rank yake.
Ukiuliza wajeda wenyewe wanasema wenye sifa kwa nafasi hiyo ni Mkingule, Simuli, Mkunda na Othman