Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetaja. Haya sema neno
Kwani bado tunaendelea kubet!😀Nimetaja. Haya sema neno
Sio yeyeKwani bado tunaendelea kubet!😀
Bila shaka zoezi litaambatana na mabadiliko ya wakuu wengine wa vyombo vya ulinzi na usalama mfano Sirro etc..Mabeyo amepokea mshahara wake wa mwisho kabisa leo kama mkuu wa majeshi soon tunatangaziwa CDF mpya. Hii wiki ngumu sana kwa high ranking officers ndani ya JWTZ
Huyu anafaa kabisa kuwa cdfAnafuatia Brigedia General Marco Elisha Gaguti
View attachment 2253944
Nadhani wa vyombo vingine kuondoka sio sasa. Hata Siro atakuwa na miaka 2-3 mbeleBila shaka zoezi litaambatana na mabadiliko ya wakuu wengine wa vyombo vya ulinzi na usalama mfano Sirro etc..
Gaguti anafaa vipi. Toa vigezoHuyu anafaa kabisa kuwa cdf
Hongera kwa ubashiri naona ndiye kawa CDF Mpya…CDF ni huyu ameanza kazi anasubiliwa kuthibitishwaView attachment 2254351
Kwani ndo huyu??CDF ni huyu ameanza kazi anasubiliwa kuthibitishwaView attachment 2254351
OyaaMajor Jenerali Extrovert Expert
Yuko jirani yangu mmoja hapa nae alikuwa anatajwa ila wiki 2 zilizopita alifariki ghafla Dodoma anaitwa Kanal Timothy Mbao
Naona, Maza kapigwa chenga ya mwili....!!Kufatia habari ya jana ya kustaafu kwa General Mabeyo ndani ya JWTZ, basi kama kawaida yetu sio mbaya tukafanya bashiri ya nani anaweza akawa CDF mpya.
Kwakuwa JF ni uwanja mpana, ina wadau wengi na wengine ni wa huko huko jikoni, sio mbaya tukapendekeza jina la CDF mpya kwa kuzingatia uweledi wake katika kuchapa kazi.
Mimi nampa nafasi kubwa Luteni Jenerali Mathew Mkingule kuwa CDF mpya.
Lakini pia kwenye korido anatajwa Luteni Jenerali Yakubu Mohamed balozi wa Tanzania nchini Uturuki.
Japo pia mzee wa infantry, Meja Jenerali Mwaisaka anapigiwa chapuo.
Vilevile, Meja Jenerali Rajab Mabele naye anaweza akawa CDF mzuri tu kwa utendaji wake mzuri wa kazi huko JKT.
Japo pia kuna minong'ono kuhusu Meja Jenerali Suleimani Mzee kufatia kazi ya kutukuka huko Magereza.
Ila watu wasimua-underrate Meja Jenerali Mbuge lolote linaweza kutokea. Japo kwasasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Brigedia Jenerali J.J. Mwaseba mkuu wa chuo cha TMA naye anatajwa japo atakuwa yupo nyuma sana kwa rank kulinganisha na hao wenzake.
NB:
Uzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!
Viva JWTZ
Viva Tanzania
Usiichukulie poa Polisi Tanzania. Ni dubwana kubwa sana , sema tu mambo yao ndio yana lishusha hadhiDuh! Polisi ni idara ndogo sana. Haina chochote kile ambacho inaweza wekwa iwapo ikitokea mapinduzi.
Colonel yoyote anaweza kuisimamia polisi
Umeenda chaka kwa 100%!!Kufatia habari ya jana ya kustaafu kwa General Mabeyo ndani ya JWTZ, basi kama kawaida yetu sio mbaya tukafanya bashiri ya nani anaweza akawa CDF mpya.
Kwakuwa JF ni uwanja mpana, ina wadau wengi na wengine ni wa huko huko jikoni, sio mbaya tukapendekeza jina la CDF mpya kwa kuzingatia uweledi wake katika kuchapa kazi.
Mimi nampa nafasi kubwa Luteni Jenerali Mathew Mkingule kuwa CDF mpya.
Lakini pia kwenye korido anatajwa Luteni Jenerali Yakubu Mohamed balozi wa Tanzania nchini Uturuki.
Japo pia mzee wa infantry, Meja Jenerali Mwaisaka anapigiwa chapuo.
Vilevile, Meja Jenerali Rajab Mabele naye anaweza akawa CDF mzuri tu kwa utendaji wake mzuri wa kazi huko JKT.
Japo pia kuna minong'ono kuhusu Meja Jenerali Suleimani Mzee kufatia kazi ya kutukuka huko Magereza.
Ila watu wasimua-underrate Meja Jenerali Mbuge lolote linaweza kutokea. Japo kwasasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Brigedia Jenerali J.J. Mwaseba mkuu wa chuo cha TMA naye anatajwa japo atakuwa yupo nyuma sana kwa rank kulinganisha na hao wenzake.
NB:
Uzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!
Viva JWTZ
Viva Tanzania
Usiwe unapambana na feck id, humu Kuna watu wazitoUnapanga we naniiii
Ndie yeye boss..