Nani anaweza kuwa CDF mpya wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama?

Nani anaweza kuwa CDF mpya wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama?

Hv polisi na askari magereza kwa cheo chochote kile watakachokuwanacho hawawezi kukalia kiti cha u-cdf!?
But mwanajeshi yyte kwa vyeo vyao wanaweza kukalia nafasi ya juu kabisa ya IGP ama mkuu wa magereza ni sawa hapo ama mimi ndio najichanganya!
mwenye uelewa atufafanulie please
Haitatokea itakua dharau sana,maana CDF lazima awe four star General kitu ambacho unakipata JWTZ tu, mdogo wako hawezi kupewe mamlaka nyeti sana ,TPDF ni jeshi kongwe, jeshi mama na jeshi Baba linaweza akazalisha viongozi wakafanya kazi katika taasisi muhimu za kijeshi
 
Yeah mkuu hakuna polisi wala magereza anayeweza kukalia nafasi yoyote ile ya jeshi

Ila mwanajeshi kuanzia cheo cha brigedia jenerali aweza kuwa mkuu wa jeshi lolote kati ya polisi au magereza nk

JWTZ ndiyo jeshi senior kuliko majeshi yote
brig yeyote anaweza kuwa mkuu wa magereza au jeshi lolote jingine lakini sio IGP.

upolisi ni gani tofauti ambayo mwanajeshi hasomei.
 
Haitatokea itakua dharau sana,maana CDF lazima awe four star General kitu ambacho unakipata JWTZ tu, mdogo wako hawezi kupewe mamlaka nyeti sana ,TPDF ni jeshi kongwe, jeshi mama na jeshi Baba linaweza akazalisha viongozi wakafanya kazi katika taasisi muhimu za kijeshi
jeshi kongwe zaidi kati ya yoteni la polisi.halijawahi kubadilishwa wala kuundwa upya tokea mkoloni.

polisi yeyote hawezi kuwa cdf sababu ya kanuni za uteuzi wa CDF na mwongozo wake,hivyo hivyo kwa Jeshi la polisi haliruhusu afisa mkuu kutoka nje ya jeshi lake kuja kuwa IGP.
ila magereza na majeshi mengine inawezekana maana ni fani ambazo zinaingiliana.
 
Hv polisi na askari magereza kwa cheo chochote kile watakachokuwanacho hawawezi kukalia kiti cha u-cdf!?
But mwanajeshi yyte kwa vyeo vyao wanaweza kukalia nafasi ya juu kabisa ya IGP ama mkuu wa magereza ni sawa hapo ama mimi ndio najichanganya!
mwenye uelewa atufafanulie please
mwanajeshi yoyote anawezakuwa mkuu wa jeshi lolote ila sio PT wala mkuu wa cammission zake.
polisi yeyote anawezakuwa mkuu wa jeshi lolote ila sio JWTZ wala komandi zake.

zinahusiana hizi kazi lakini hazina ufanano,itakiwa changamoto katika kuongoza kwa mteuliwa,hata sheria zinazosimamia haziruhusu.
 
We boya, JW Lina Kila kitu kilichopo kwenye muundo wa utawala
sasa matusi halafu unaandika matango pori.

CDF ni mkuu wa majeshi ya ulinzi,anga,ardhi,maji na jkt.
hayo yanafaa kuitwa majeshi,ila sababu mbali mbali tunaita vikosi au kamandi.

yupo mkuu wa jeshi la polisi,magerza,uhamiaji,fire,nk.
JWTZ ni jeshi superior tu basi.
 
jeshi kongwe zaidi kati ya yoteni la polisi.halijawahi kubadilishwa wala kuundwa upya tokea mkoloni.

polisi yeyote hawezi kuwa cdf sababu ya kanuni za uteuzi wa CDF na mwongozo wake,hivyo hivyo kwa Jeshi la polisi haliruhusu afisa mkuu kutoka nje ya jeshi lake kuja kuwa IGP.
ila magereza na majeshi mengine inawezekana maana ni fani ambazo zinaingiliana.

Mwanajeshi anaweza kuwa mkuu wa polisi na mifano ipo kuna nchi nyingi tu ambazo wanajeshi wameenda kuwa wakuu wa polisi
 
Mods, rekebisheni hiyo heading, isomeke "... majeshi ya ulinzi" usalama ni idara nyingine (ni majeshi mengine ambayo CDF hahusiki nayo)



JESUS IS LORD
 
Hivi hamna cheo cha Kaimu CDF? Hapa anakaimishwa mtu karibu miezi 6 kuona mwenendo wake then unampa u CDF kamili kama anko Magu alivyofanya kwa Prof. Juma.
 
Mwanajeshi anaweza kuwa mkuu wa polisi na mifano ipo kuna nchi nyingi tu ambazo wanajeshi wameenda kuwa wakuu wa polisi
nimekwambia mwanajeshi anawezakuwa mkuu wa taasisi yoyote nchini ila sio polisi,unabisha,

nchi nyingine hata kozi zinafanywa pamoja.
 
brig yeyote anaweza kuwa mkuu wa magereza au jeshi lolote jingine lakini sio IGP.

upolisi ni gani tofauti ambayo mwanajeshi hasomei.
Duh! Polisi ni idara ndogo sana. Haina chochote kile ambacho inaweza wekwa iwapo ikitokea mapinduzi.

Colonel yoyote anaweza kuisimamia polisi
 
Duh! Polisi ni idara ndogo sana. Haina chochote kile ambacho inaweza wekwa iwapo ikitokea mapinduzi.

Colonel yoyote anaweza kuisimamia polisi
hoja sio udogo kijana,ni taaluma.

hata hivyo polisi hailingani na kamandi yoyote ndani ya jwtz,ni kubwa kwa kila kamandi kibajeti na hata kiutendaji,sasa sijui unaita ndogo ukiwa na maana gani???

unadhani kwa lawama,manung'uniko na hata mistakes zinazoripotiwa kutoka polisi watu kama jiwe au jk wasijaribu kuweka mwanajeshi huko???
 
Back
Top Bottom