Ni rahisi kumkuta TISS ndani ya majeshi mengine ila sio rahisi kuwakuta idara nyingine ndani ya TISS (under covers). Yaani hata kwenye hiz thread zetu huwa tunao wana comment, kuna siku nikiamka vizuri nitawataja hapa.Watu wanachukulia Polisi kawaida sana, Polisi ni kubwa sana na hata baadhi yao wanaona kama ingevunjwa vunjwa.. Rejea TISS ilikuwa moja ya idara sa Polisi, na kazi wanazo fanya TISS bado polisi wanazifanya isipokuwa baadhi ( mipaka ya kazi na sheria za miongozo ya kazi haziruhusu askaari polisi kuzifanya).
Ipo hivyo kutokana na miongozo ya kazi na sheria zinavyo waongoza kufanya kazi zao, kuwa hivyo haimaanishi wapo above ya wengine au taasisi zingine. Taasisi ni viungo vinavyohitajina kufanya kazi pamoja.Ni rahisi kumkuta TISS ndani ya majeshi mengine ila sio rahisi kuwa kuwakuta idara nyingine ndani ya TISS (under covers). Yaani hata kwenye hiz thread zetu huwa tunao wana comment, kuna siku nikiamka vizuri nitawataja hapa.
Majina yote uliyotaja. Hakuna hata moja ulikaribia kupatiaKufatia habari ya jana ya kustaafu kwa General Mabeyo ndani ya JWTZ, basi kama kawaida yetu sio mbaya tukafanya bashiri ya nani anaweza akawa CDF mpya.
Kwakuwa JF ni uwanja mpana, ina wadau wengi na wengine ni wa huko huko jikoni, sio mbaya tukapendekeza jina la CDF mpya kwa kuzingatia uweledi wake katika kuchapa kazi.
Mimi nampa nafasi kubwa Luteni Jenerali Mathew Mkingule kuwa CDF mpya.
Lakini pia kwenye korido anatajwa Luteni Jenerali Yakubu Mohamed balozi wa Tanzania nchini Uturuki.
Japo pia mzee wa infantry, Meja Jenerali Mwaisaka anapigiwa chapuo.
Vilevile, Meja Jenerali Rajab Mabele naye anaweza akawa CDF mzuri tu kwa utendaji wake mzuri wa kazi huko JKT.
Japo pia kuna minong'ono kuhusu Meja Jenerali Suleimani Mzee kufatia kazi ya kutukuka huko Magereza.
Ila watu wasimua-underrate Meja Jenerali Mbuge lolote linaweza kutokea. Japo kwasasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Brigedia Jenerali J.J. Mwaseba mkuu wa chuo cha TMA naye anatajwa japo atakuwa yupo nyuma sana kwa rank kulinganisha na hao wenzake.
NB:
Uzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!
Viva JWTZ
Viva Tanzania
🤣🤣🤣Generali sabaya anaweza kupewa alijiita general
Mkuu samahani lakini Hilo Jina Nangai mbona kama ndigu Zale kule jimbo la Kivu?Achana na hao ,sijui kina nani vile
Yupo mtu mmoja tuu hapa
Anaitwa KIBORI NANGAI
NI mtu safi sana mwenye weledi, mwenye uadilifu uliotukuka ,asiye na makuu
Yeye kazi tuu.
Type ya Akina Ndugu yake Mabeyoo
🤣🤣🤣having vyeo wanapewa baada ya mafunzo fulani au Rais anampa anayemtaka tu?Humu watu hata protokali za jeshi hawazijui
Yani mtu ni brigedier general au major general awe cdf halafu aachwe lieutenant general?
Enzi za mwendazake ofcourse ingewezekana hata segeant kuwa cdf
Hapana mkuu hili jina asili yake ni kule Wanakohamishwa makazi Yao kuja makazi mapya Mkuuu ,Mkuu samahani lakini Hilo Jina Nangai mbona kama ndigu Zale kule jimbo la Kivu?
Nashangaa watu wambebashiri wakamsahau Generali Ulimwengu.Hapana mkuu hili jina asili yake ni kule Wanakohamishwa makazi Yao kuja makazi mapya Mkuuu ,
Onyo mimi sio muhamiaji haramu nimezaliwa huko mkuuu
Huyu aliitea hongera sana ulimtaja CDF MkundaCDF anatakiwa mtu mtulivu katika Maamuzi. Kwa Upande wa Meja Jenerali Mzee aliyepo Magereza japo ni mtendaji mzuri lakini kwa nafasi ya CDF kwakweli hapana-weakness yake kubwa ana hemka sana/temper.
Meja jenerali Gaguti tabia za ujana zimemkamata sana bado tofauti na umri na rank yake.
Ukiuliza wajeda wenyewe wanasema wenye sifa kwa nafasi hiyo ni Mkingule, Simuli, Mkunda na Othman
Nilitabiri watu wakanipuuzaKwa major general kuwa cdf inawezekana kabisa kwani ni kitendo cha kumuondoa luteni jenerali na kumpamdisha Meja Jenerali
Vp protokali za kijeshi zimekaaje hapo? Hujui kituHumu watu hata protokali za jeshi hawazijui
Yani mtu ni brigedier general au major general awe cdf halafu aachwe lieutenant general?
Enzi za mwendazake ofcourse ingewezekana hata segeant kuwa cdf
afisa uchaguziNi rahisi kumkuta TISS ndani ya majeshi mengine ila sio rahisi kuwakuta idara nyingine ndani ya TISS (under covers). Yaani hata kwenye hiz thread zetu huwa tunao wana comment, kuna siku nikiamka vizuri nitawataja hapa.
😂Brigedia General Nkundwe
Ndivyo ilivyotokea zamani na hata sasa.Luteni, Meja, Brigedia (Jenerali).
Hivi anaweza kuteuliwa mtu ambaye sio rank ya Luteni Jenerali direct akawapita walio juu yake?
Wanapewa ubalozi.Kwamba brigedia jenerali anaweza kuteuliwa kuwa CDF halafu hao ma meja na luteni jenerali wanakuwa bado jeshini au watapelekwa majukumu nje ya jeshi?
Daaah! Una rada za 7G[emoji123]CDF anatakiwa mtu mtulivu katika Maamuzi. Kwa Upande wa Meja Jenerali Mzee aliyepo Magereza japo ni mtendaji mzuri lakini kwa nafasi ya CDF kwakweli hapana-weakness yake kubwa ana hemka sana/temper.
Meja jenerali Gaguti tabia za ujana zimemkamata sana bado tofauti na umri na rank yake.
Ukiuliza wajeda wenyewe wanasema wenye sifa kwa nafasi hiyo ni Mkingule, Simuli, Mkunda na Othman
Halafu kataja kwa sequence yenyewe kabisa.Huyu aliitea hongera sana ulimtaja CDF Mkunda
Mkuu, wewe ndio umepatia sasa katika utabiri wako! Hongera sana! [emoji1][emoji1][emoji106][emoji109]CDF anatakiwa mtu mtulivu katika Maamuzi. Kwa Upande wa Meja Jenerali Mzee aliyepo Magereza japo ni mtendaji mzuri lakini kwa nafasi ya CDF kwakweli hapana-weakness yake kubwa ana hemka sana/temper.
Meja jenerali Gaguti tabia za ujana zimemkamata sana bado tofauti na umri na rank yake.
Ukiuliza wajeda wenyewe wanasema wenye sifa kwa nafasi hiyo ni Mkingule, Simuli, Mkunda na Othman