Nani anaweza kuwa CDF mpya wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama?

Nani anaweza kuwa CDF mpya wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama?

Watu wanachukulia Polisi kawaida sana, Polisi ni kubwa sana na hata baadhi yao wanaona kama ingevunjwa vunjwa.. Rejea TISS ilikuwa moja ya idara sa Polisi, na kazi wanazo fanya TISS bado polisi wanazifanya isipokuwa baadhi ( mipaka ya kazi na sheria za miongozo ya kazi haziruhusu askaari polisi kuzifanya).
Ni rahisi kumkuta TISS ndani ya majeshi mengine ila sio rahisi kuwakuta idara nyingine ndani ya TISS (under covers). Yaani hata kwenye hiz thread zetu huwa tunao wana comment, kuna siku nikiamka vizuri nitawataja hapa.
 
Ni rahisi kumkuta TISS ndani ya majeshi mengine ila sio rahisi kuwa kuwakuta idara nyingine ndani ya TISS (under covers). Yaani hata kwenye hiz thread zetu huwa tunao wana comment, kuna siku nikiamka vizuri nitawataja hapa.
Ipo hivyo kutokana na miongozo ya kazi na sheria zinavyo waongoza kufanya kazi zao, kuwa hivyo haimaanishi wapo above ya wengine au taasisi zingine. Taasisi ni viungo vinavyohitajina kufanya kazi pamoja.
 
Kufatia habari ya jana ya kustaafu kwa General Mabeyo ndani ya JWTZ, basi kama kawaida yetu sio mbaya tukafanya bashiri ya nani anaweza akawa CDF mpya.

Kwakuwa JF ni uwanja mpana, ina wadau wengi na wengine ni wa huko huko jikoni, sio mbaya tukapendekeza jina la CDF mpya kwa kuzingatia uweledi wake katika kuchapa kazi.

Mimi nampa nafasi kubwa Luteni Jenerali Mathew Mkingule kuwa CDF mpya.

Lakini pia kwenye korido anatajwa Luteni Jenerali Yakubu Mohamed balozi wa Tanzania nchini Uturuki.

Japo pia mzee wa infantry, Meja Jenerali Mwaisaka anapigiwa chapuo.

Vilevile, Meja Jenerali Rajab Mabele naye anaweza akawa CDF mzuri tu kwa utendaji wake mzuri wa kazi huko JKT.

Japo pia kuna minong'ono kuhusu Meja Jenerali Suleimani Mzee kufatia kazi ya kutukuka huko Magereza.

Ila watu wasimua-underrate Meja Jenerali Mbuge lolote linaweza kutokea. Japo kwasasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.

Brigedia Jenerali J.J. Mwaseba mkuu wa chuo cha TMA naye anatajwa japo atakuwa yupo nyuma sana kwa rank kulinganisha na hao wenzake.

NB:
Uzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!

Viva JWTZ
Viva Tanzania
Majina yote uliyotaja. Hakuna hata moja ulikaribia kupatia
 
Achana na hao ,sijui kina nani vile

Yupo mtu mmoja tuu hapa

Anaitwa KIBORI NANGAI
NI mtu safi sana mwenye weledi, mwenye uadilifu uliotukuka ,asiye na makuu

Yeye kazi tuu.

Type ya Akina Ndugu yake Mabeyoo
Mkuu samahani lakini Hilo Jina Nangai mbona kama ndigu Zale kule jimbo la Kivu?
 
Humu watu hata protokali za jeshi hawazijui
Yani mtu ni brigedier general au major general awe cdf halafu aachwe lieutenant general?
Enzi za mwendazake ofcourse ingewezekana hata segeant kuwa cdf
🤣🤣🤣having vyeo wanapewa baada ya mafunzo fulani au Rais anampa anayemtaka tu?
 
CDF anatakiwa mtu mtulivu katika Maamuzi. Kwa Upande wa Meja Jenerali Mzee aliyepo Magereza japo ni mtendaji mzuri lakini kwa nafasi ya CDF kwakweli hapana-weakness yake kubwa ana hemka sana/temper.

Meja jenerali Gaguti tabia za ujana zimemkamata sana bado tofauti na umri na rank yake.

Ukiuliza wajeda wenyewe wanasema wenye sifa kwa nafasi hiyo ni Mkingule, Simuli, Mkunda na Othman
Huyu aliitea hongera sana ulimtaja CDF Mkunda
 
Humu watu hata protokali za jeshi hawazijui
Yani mtu ni brigedier general au major general awe cdf halafu aachwe lieutenant general?
Enzi za mwendazake ofcourse ingewezekana hata segeant kuwa cdf
Vp protokali za kijeshi zimekaaje hapo? Hujui kitu
 
Ni rahisi kumkuta TISS ndani ya majeshi mengine ila sio rahisi kuwakuta idara nyingine ndani ya TISS (under covers). Yaani hata kwenye hiz thread zetu huwa tunao wana comment, kuna siku nikiamka vizuri nitawataja hapa.
afisa uchaguzi
 
CDF anatakiwa mtu mtulivu katika Maamuzi. Kwa Upande wa Meja Jenerali Mzee aliyepo Magereza japo ni mtendaji mzuri lakini kwa nafasi ya CDF kwakweli hapana-weakness yake kubwa ana hemka sana/temper.

Meja jenerali Gaguti tabia za ujana zimemkamata sana bado tofauti na umri na rank yake.

Ukiuliza wajeda wenyewe wanasema wenye sifa kwa nafasi hiyo ni Mkingule, Simuli, Mkunda na Othman
Daaah! Una rada za 7G[emoji123]
 
CDF anatakiwa mtu mtulivu katika Maamuzi. Kwa Upande wa Meja Jenerali Mzee aliyepo Magereza japo ni mtendaji mzuri lakini kwa nafasi ya CDF kwakweli hapana-weakness yake kubwa ana hemka sana/temper.

Meja jenerali Gaguti tabia za ujana zimemkamata sana bado tofauti na umri na rank yake.

Ukiuliza wajeda wenyewe wanasema wenye sifa kwa nafasi hiyo ni Mkingule, Simuli, Mkunda na Othman
Mkuu, wewe ndio umepatia sasa katika utabiri wako! Hongera sana! [emoji1][emoji1][emoji106][emoji109]
 
Back
Top Bottom