The Clinic
Senior Member
- Sep 11, 2019
- 118
- 327
acha uongo. mbunge alitoka ukanali akawa brigedia then meja GNdio, anarukishwa kama ilivyofanyika kwa Mbuge kutoka Kanali hadi meja general.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha uongo. mbunge alitoka ukanali akawa brigedia then meja GNdio, anarukishwa kama ilivyofanyika kwa Mbuge kutoka Kanali hadi meja general.
Raisi anachaguliwa na wananchi, wengine wanakuwa maraisi hata elimu kuhusu jeshi hawana. Leo anatokea tu anajichagulia CDF eti????😁😁😁😁😁Ok ngoja tuone
Ni sawa atapelekewa majina mengi ila yeye ndiye mwenye mamlaka ya kuchagua cdf ili aendelee kuwa safe,Raisi anachaguliwa na wananchi, wengine wanakuwa maraisi hata elimu kuhusu jeshi hawana. Leo anatokea tu anajichagulia CDF eti????😁😁😁😁😁
Narudia tena kusema Jeshi sio CWT wala bodi ya Korosho
Apewe chiro🏃Ramli Chonganishi
Kote Kote
Kwamba brigedia jenerali anaweza kuteuliwa kuwa CDF halafu hao ma meja na luteni jenerali wanakuwa bado jeshini au watapelekwa majukumu nje ya jeshi?Ndio, anarukishwa kama ilivyofanyika kwa Mbuge kutoka Kanali hadi meja general.
du bado sana huyuAnafuatia Brigedia General Marco Elisha Gaguti
BashiteKufatia habari ya jana ya kustaafu kwa General Mabeyo ndani ya JWTZ, basi kama kawaida yetu sio mbaya tukafanya bashiri ya nani anaweza akawa CDF mpya.
Kwakuwa JF ni uwanja mpana, ina wadau wengi na wengine ni wa huko huko jikoni, sio mbaya tukapendekeza jina la CDF mpya kwa kuzingatia uweledi wake katika kuchapa kazi.
Mimi nampa nafasi kubwa Luteni Jenerali Mathew Mkingule kuwa CDF mpya.
Lakini pia kwenye korido anatajwa Luteni Jenerali Yakubu Mohamed balozi wa Tanzania nchini Uturuki.
Japo pia mzee wa infantry, Meja Jenerali Mwaisaka anapigiwa chapuo.
Vilevile, Meja Jenerali Rajab Mabele naye anaweza akawa CDF mzuri tu kwa utendaji wake mzuri wa kazi huko JKT.
Japo pia kuna minong'ono kuhusu Meja Jenerali Suleimani Mzee kufatia kazi ya kutukuka huko Magereza.
Ila watu wasimua-underrate Meja Jenerali Mbuge lolote linaweza kutokea. Japo kwasasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Brigedia Jenerali J.J. Mwaseba mkuu wa chuo cha TMA naye anatajwa japo atakuwa yupo nyuma sana kwa rank kulinganisha na hao wenzake.
NB:
Uzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!
Viva JWTZ
Viva Tanzania
Mbona Trump alitoka uko kwenye business na kuwa powerful man in the world [emoji2]Raisi anachaguliwa na wananchi, wengine wanakuwa maraisi hata elimu kuhusu jeshi hawana. Leo anatokea tu anajichagulia CDF eti????[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Narudia tena kusema Jeshi sio CWT wala bodi ya Korosho
Mi nashauri apewe makonda Mana hiyo kazi anaiweza kwa kuwa Ni field mashalKufatia habari ya jana ya kustaafu kwa General Mabeyo ndani ya JWTZ, basi kama kawaida yetu sio mbaya tukafanya bashiri ya nani anaweza akawa CDF mpya.
Kwakuwa JF ni uwanja mpana, ina wadau wengi na wengine ni wa huko huko jikoni, sio mbaya tukapendekeza jina la CDF mpya kwa kuzingatia uweledi wake katika kuchapa kazi.
Mimi nampa nafasi kubwa Luteni Jenerali Mathew Mkingule kuwa CDF mpya.
Lakini pia kwenye korido anatajwa Luteni Jenerali Yakubu Mohamed balozi wa Tanzania nchini Uturuki.
Japo pia mzee wa infantry, Meja Jenerali Mwaisaka anapigiwa chapuo.
Vilevile, Meja Jenerali Rajab Mabele naye anaweza akawa CDF mzuri tu kwa utendaji wake mzuri wa kazi huko JKT.
Japo pia kuna minong'ono kuhusu Meja Jenerali Suleimani Mzee kufatia kazi ya kutukuka huko Magereza.
Ila watu wasimua-underrate Meja Jenerali Mbuge lolote linaweza kutokea. Japo kwasasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Brigedia Jenerali J.J. Mwaseba mkuu wa chuo cha TMA naye anatajwa japo atakuwa yupo nyuma sana kwa rank kulinganisha na hao wenzake.
NB:
Uzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!
Viva JWTZ
Viva Tanzania
Achana na hao ,sijui kina nani vileKufatia habari ya jana ya kustaafu kwa General Mabeyo ndani ya JWTZ, basi kama kawaida yetu sio mbaya tukafanya bashiri ya nani anaweza akawa CDF mpya.
Kwakuwa JF ni uwanja mpana, ina wadau wengi na wengine ni wa huko huko jikoni, sio mbaya tukapendekeza jina la CDF mpya kwa kuzingatia uweledi wake katika kuchapa kazi.
Mimi nampa nafasi kubwa Luteni Jenerali Mathew Mkingule kuwa CDF mpya.
Lakini pia kwenye korido anatajwa Luteni Jenerali Yakubu Mohamed balozi wa Tanzania nchini Uturuki.
Japo pia mzee wa infantry, Meja Jenerali Mwaisaka anapigiwa chapuo.
Vilevile, Meja Jenerali Rajab Mabele naye anaweza akawa CDF mzuri tu kwa utendaji wake mzuri wa kazi huko JKT.
Japo pia kuna minong'ono kuhusu Meja Jenerali Suleimani Mzee kufatia kazi ya kutukuka huko Magereza.
Ila watu wasimua-underrate Meja Jenerali Mbuge lolote linaweza kutokea. Japo kwasasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Brigedia Jenerali J.J. Mwaseba mkuu wa chuo cha TMA naye anatajwa japo atakuwa yupo nyuma sana kwa rank kulinganisha na hao wenzake.
NB:
Uzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!
Viva JWTZ
Viva Tanzania
JKT kwa mujibu wa sheria😀😀😀😀sawa mzalendoKwa sisi tuliopitia JKT enzi hizo tunajua nafasi itaenda kwa Lt Gen. Mkingule ambaye ni C of S.... swali sasa ni nani atakua C of S baada ya Mkingule kua CDF jibu ni ngumu kidogo ila kuna Maj Gen. kibao ila wawili likely mmoja kutoka kanda ya ziwa na mwingine kutoka upande wa pili
Wakati wa jiwe aliachwa MNADHIMU akapewa MABEYOHumu watu hata protokali za jeshi hawazijui
Yani mtu ni brigedier general au major general awe cdf halafu aachwe lieutenant general?
Enzi za mwendazake ofcourse ingewezekana hata segeant kuwa cdf
🤣🤣🤣🤣🤣Hahaha, basi kama vipi apewe Luteni Karama
Mwendazake alikuwa kauzu sana.Wakati wa jiwe aliachwa MNADHIMU akapewa MABEYO