Troyes
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 1,372
- 1,154
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji3539]Msimsahau Jenerali Ulimwengu naye [emoji2][emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji3539]Msimsahau Jenerali Ulimwengu naye [emoji2][emoji2][emoji2]
Kikanuni lazima wawe wamepita jkt..Kwamba brigedia jenerali anaweza kuteuliwa kuwa CDF halafu hao ma meja na luteni jenerali wanakuwa bado jeshini au watapelekwa majukumu nje ya jeshi?
Hapo juu Kuna mtu anasema alimuandaa yakubu, huyo anasema alimuandaa gaguti, wewe unasema mbuge. Kwa hiyo CDF wangekuwa watatu?Aliyekuwa anaandaliwa na mwendazake ni Charles Mbuge
Mkuu wa Kamandi ya Wanamaji (Navy) anatosha kuwa CDF...ofcourse ni wakati sasa wa Navy kutoa General
Hahaha, basi kama vipi apewe Luteni Karama
Huyu jamaa nae kapanda fastaGaguti alikuwa anaandaliwa na Mwendazake sema sasahivi haiwezekani Tena.
Kijana acha uongoNdio, anarukishwa kama ilivyofanyika kwa Mbuge kutoka Kanali hadi meja general.
MHahaha, basi kama vipi wapewe Luteni Karama
Sure navy na airforce should be considered firstJeshi limeongozwa na Infantry saana its time kwa Airforce, japo Mboma alishawahi kupitia 601KJ ila ni infantry tu. Kama Mwamunyange aivyotokea JKT. Its time for Airforce, Navy watulie kwanza
Mabeyo nae alikuwa mnadhimu sema hakukaa sana hio nafasi alikotokea military intelligenceWakati wa jiwe aliachwa MNADHIMU akapewa MABEYO
Mabeyo na mwakibolwa walikula viapo siku mojaHapana mkuu, Mnadhimu aliyekuwepo alistaafishwa tena nadhani ni Mwakibolwa na Mabeyo akateuliwa kuwa Mnadhimu mwezi Novemba 2016 na February 2017 akawa CDF
Huyo aliyesema Gaguti sijui hata kaambiwa na naniHapo juu Kuna mtu anasema alimuandaa yakubu, huyo anasema alimuandaa gaguti, wewe unasema mbuge. Kwa hiyo CDF wangekuwa watatu?
Yoyote anafaa tu
Yes anapigwa vyeo mabegani mfululizo siku hiyo hiyo na kuwa CDF muda huo huo. Wengi wameteuliwa kwa style hiyo.Luteni, Meja, Brigedia (Jenerali).
Hivi anaweza kuteuliwa mtu ambaye sio rank ya Luteni Jenerali direct akawapita walio juu yake?
Yes, imeshatokea mara nyingi. Tena zaidi sana. CDF wengi wanapandishwa vyeo gazi kadhaa na kuteuliwa. Ingekuwa inafuatwa seniority hata kuuana kungetokea.Humu watu hata protokali za jeshi hawazijui
Yani mtu ni brigedier general au major general awe cdf halafu aachwe lieutenant general?
Enzi za mwendazake ofcourse ingewezekana hata segeant kuwa cdf
Namkubali sana huyu mwamba sema basi tuAnafuatia Brigedia General Marco Elisha Gaguti