Nani anaweza kuwa CDF mpya wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama?

Nani anaweza kuwa CDF mpya wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama?

Kama ikitokea Jenerali Mabeyo akaomba kupumzika basi mamlaka za uteuzi imwangalie Balozi wa Tanzania nchini Uturuki Luteni Jenerali Yacoub Hassan Mohamed kama Jenerali mpya
Umenena ya kweli
Mazungumzo_na_benk_770_451shar-50brig-20.jpg
 
Kufatia habari ya jana ya kustaafu kwa General Mabeyo ndani ya JWTZ, basi kama kawaida yetu sio mbaya tukafanya bashiri ya nani anaweza akawa CDF mpya.

Kwakuwa JF ni uwanja mpana, ina wadau wengi na wengine ni wa huko huko jikoni, sio mbaya tukapendekeza jina la CDF mpya kwa kuzingatia uweledi wake katika kuchapa kazi.

Mimi nampa nafasi kubwa Luteni Jenerali Mathew Mkingule kuwa CDF mpya.

Lakini pia kwenye korido anatajwa Luteni Jenerali Yakubu Mohamed balozi wa Tanzania nchini Uturuki.

Japo pia mzee wa infantry, Meja Jenerali Mwaisaka anapigiwa chapuo.

Vilevile, Meja Jenerali Rajab Mabele naye anaweza akawa CDF mzuri tu kwa utendaji wake mzuri wa kazi huko JKT.

Japo pia kuna minong'ono kuhusu Meja Jenerali Suleimani Mzee kufatia kazi ya kutukuka huko Magereza.

Ila watu wasimua-underrate Meja Jenerali Mbuge lolote linaweza kutokea. Japo kwasasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.

Brigedia Jenerali J.J. Mwaseba mkuu wa chuo cha TMA naye anatajwa japo atakuwa yupo nyuma sana kwa rank kulinganisha na hao wenzake.

NB:
Uzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!

Viva JWTZ
Viva Tanzania
Meja Jenerali Suleiman Mzee kigezo cha umri kinaweza kuwa tatizo kwake. Naomba kuwasilisha
 
Hv polisi na askari magereza kwa cheo chochote kile watakachokuwanacho hawawezi kukalia kiti cha u-cdf!?
But mwanajeshi yyte kwa vyeo vyao wanaweza kukalia nafasi ya juu kabisa ya IGP ama mkuu wa magereza ni sawa hapo ama mimi ndio najichanganya!
mwenye uelewa atufafanulie please
 
Kufatia habari ya jana ya kustaafu kwa General Mabeyo ndani ya JWTZ, basi kama kawaida yetu sio mbaya tukafanya bashiri ya nani anaweza akawa CDF mpya.

Kwakuwa JF ni uwanja mpana, ina wadau wengi na wengine ni wa huko huko jikoni, sio mbaya tukapendekeza jina la CDF mpya kwa kuzingatia uweledi wake katika kuchapa kazi.

Mimi nampa nafasi kubwa Luteni Jenerali Mathew Mkingule kuwa CDF mpya.

Lakini pia kwenye korido anatajwa Luteni Jenerali Yakubu Mohamed balozi wa Tanzania nchini Uturuki.

Japo pia mzee wa infantry, Meja Jenerali Mwaisaka anapigiwa chapuo.

Vilevile, Meja Jenerali Rajab Mabele naye anaweza akawa CDF mzuri tu kwa utendaji wake mzuri wa kazi huko JKT.

Japo pia kuna minong'ono kuhusu Meja Jenerali Suleimani Mzee kufatia kazi ya kutukuka huko Magereza.

Ila watu wasimua-underrate Meja Jenerali Mbuge lolote linaweza kutokea. Japo kwasasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.

Brigedia Jenerali J.J. Mwaseba mkuu wa chuo cha TMA naye anatajwa japo atakuwa yupo nyuma sana kwa rank kulinganisha na hao wenzake.

NB:
Uzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!

Viva JWTZ
Viva Tanzania
Abdulrahaman Kinana
 
Kufatia habari ya jana ya kustaafu kwa General Mabeyo ndani ya JWTZ, basi kama kawaida yetu sio mbaya tukafanya bashiri ya nani anaweza akawa CDF mpya.

Kwakuwa JF ni uwanja mpana, ina wadau wengi na wengine ni wa huko huko jikoni, sio mbaya tukapendekeza jina la CDF mpya kwa kuzingatia uweledi wake katika kuchapa kazi.

Mimi nampa nafasi kubwa Luteni Jenerali Mathew Mkingule kuwa CDF mpya.

Lakini pia kwenye korido anatajwa Luteni Jenerali Yakubu Mohamed balozi wa Tanzania nchini Uturuki.

Japo pia mzee wa infantry, Meja Jenerali Mwaisaka anapigiwa chapuo.

Vilevile, Meja Jenerali Rajab Mabele naye anaweza akawa CDF mzuri tu kwa utendaji wake mzuri wa kazi huko JKT.

Japo pia kuna minong'ono kuhusu Meja Jenerali Suleimani Mzee kufatia kazi ya kutukuka huko Magereza.

Ila watu wasimua-underrate Meja Jenerali Mbuge lolote linaweza kutokea. Japo kwasasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.

Brigedia Jenerali J.J. Mwaseba mkuu wa chuo cha TMA naye anatajwa japo atakuwa yupo nyuma sana kwa rank kulinganisha na hao wenzake.

NB:
InUzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!

Viva JWTZ
Viva Tanzania
Kingai hatajwi tajwi? Huyu ni mzalendo wa kweli,ndo aliyechelewesha kupatikana katiba mpya ambayo sisi ccm hatuihitaji.
 
Ngoja tuone matokeo ya kutumwa na mnachokitafuta na hamtakipata
 
Mimi napenda ile staili ya Ben Mkapa(rip) yeye aliteua mtu wa kukaa nae miaka zaidi ya 8 na kuendelea,masuala ya unateua mtu halafu ndani ya miaka 2 anateuliwa mwengine ni natumizi mabaya ya kodi za nchi kwani myeuliwa wa hizo post uhudumiwa na serikali mpaka kifo chake.
mwamnyange nae nadhani aliteuliwa akiwa mdogo sana kiumri, maana amestaafu akiwa na miaka 58, yani mabeyo wakati anateuliwa alikua mkubwa kiumri kuliko mwamnyange anaestaafu au tuseme alistaafishwa sijui.....


mwamnyange aliteuliwa akiwa na miaka pungufu ya 50,
 
Sheria inatamka mmoja wa majenerali. Anaweza kutokea kaunzia Brigedia, Meja, au Luten Jenerali.

Ingekuwa hivyo WANGEUANA SANA kisa hiko cheo, na ndio maana sheria inataka kuteua kati ya hao MAJENERALI, hakusema Lazima awe luten Jenerali.

Usikariri, uchaguzi wa Jenerali unazingatia vitu vingi ikiwemo umri wa kuweza kuhudumu kazi hiyo, mrengo wake kwenye utawala ( Mpole, au Mtu wa kutumia nguvu nk).
Nishani alizonazo, uzoefu katika kuongoza watu.

Sio kama unavyochukulia wewe.
Tuwekee hiyo sheria mkuu ili wote tujue uteuzi wa cdf
 
Yes, imeshatokea mara nyingi. Tena zaidi sana. CDF wengi wanapandishwa vyeo gazi kadhaa na kuteuliwa. Ingekuwa inafuatwa seniority hata kuuana kungetokea.
Sergeant anaweza kuteuliwa kuwa cdf?
 
Kufatia habari ya jana ya kustaafu kwa General Mabeyo ndani ya JWTZ, basi kama kawaida yetu sio mbaya tukafanya bashiri ya nani anaweza akawa CDF mpya.

Kwakuwa JF ni uwanja mpana, ina wadau wengi na wengine ni wa huko huko jikoni, sio mbaya tukapendekeza jina la CDF mpya kwa kuzingatia uweledi wake katika kuchapa kazi.

Mimi nampa nafasi kubwa Luteni Jenerali Mathew Mkingule kuwa CDF mpya.

Lakini pia kwenye korido anatajwa Luteni Jenerali Yakubu Mohamed balozi wa Tanzania nchini Uturuki.

Japo pia mzee wa infantry, Meja Jenerali Mwaisaka anapigiwa chapuo.

Vilevile, Meja Jenerali Rajab Mabele naye anaweza akawa CDF mzuri tu kwa utendaji wake mzuri wa kazi huko JKT.

Japo pia kuna minong'ono kuhusu Meja Jenerali Suleimani Mzee kufatia kazi ya kutukuka huko Magereza.

Ila watu wasimua-underrate Meja Jenerali Mbuge lolote linaweza kutokea. Japo kwasasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.

Brigedia Jenerali J.J. Mwaseba mkuu wa chuo cha TMA naye anatajwa japo atakuwa yupo nyuma sana kwa rank kulinganisha na hao wenzake.

NB:
Uzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!

Viva JWTZ
Viva Tanzania
Luteni Jenerali Mathew Mkingule ni Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa 14 tangu alipoteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa awamu ya sita Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 21 Agosti, 2021.

Luteni Jenerali Mathew Mkingule alijiunga na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania tarehe 21 Februari, 1995 na kuhudhuria kozi ya afisa mwanafunzi na kupata kamisheni mwaka 1995 kuwa Luteni Usu.

Luteni Jenerali Mathew Mkingule alihudhuria kozi mbalimbali ndani na nje ya nchi ikiwemo Kenya.

Katika kulitumikia Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Luteni Jenerali Mathew Mkingule alishika nyadhifa mbalimbali ikiwemo Naibu Mkurugenzi wa Bajeti na Usimamizi wa Fedha, Mkurugenzi wa Fedha za Umma na Hesabu, Mkurugenzi wa Bajeti na Usimamizi wa Fedha na baadae kuwa Mdhibiti Mkuu wa Fedha Makao Makuu ya Jeshi.

Luteni Jenerali Mathew Mkingule ametunukiwa medali mbalimbali

Miaka 40 ya JWTZ

Comoro

Miaka 50 ya Uhuru

Miaka 50 ya Muungano

Miaka 50 ya JWTZ

Utumishi Mrefu

Utumishi Uliotukuka
 
Back
Top Bottom