Lubebenamawe
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 1,973
- 2,239
Mnawachambua wajeda mtadhani nanyi ni sehemu yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yakubu Mohamed Kishastaafu tayari, Corridor Gani hiyo inamtaja ?Kufatia habari ya jana ya kustaafu kwa General Mabeyo ndani ya JWTZ, basi kama kawaida yetu sio mbaya tukafanya bashiri ya nani anaweza akawa CDF mpya.
Kwakuwa JF ni uwanja mpana, ina wadau wengi na wengine ni wa huko huko jikoni, sio mbaya tukapendekeza jina la CDF mpya kwa kuzingatia uweledi wake katika kuchapa kazi.
Mimi nampa nafasi kubwa Luteni Jenerali Mathew Mkingule kuwa CDF mpya.
Lakini pia kwenye korido anatajwa Luteni Jenerali Yakubu Mohamed balozi wa Tanzania nchini Uturuki.
Japo pia mzee wa infantry, Meja Jenerali Mwaisaka anapigiwa chapuo.
Vilevile, Meja Jenerali Rajab Mabele naye anaweza akawa CDF mzuri tu kwa utendaji wake mzuri wa kazi huko JKT.
Japo pia kuna minong'ono kuhusu Meja Jenerali Suleimani Mzee kufatia kazi ya kutukuka huko Magereza.
Ila watu wasimua-underrate Meja Jenerali Mbuge lolote linaweza kutokea. Japo kwasasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Brigedia Jenerali J.J. Mwaseba mkuu wa chuo cha TMA naye anatajwa japo atakuwa yupo nyuma sana kwa rank kulinganisha na hao wenzake.
NB:
Uzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!
Viva JWTZ
Viva Tanzania
EhAnafuatia Brigedia General Marco Elisha Gaguti
Gen. Mabeyo alikuwa Mnadhimu Mkuu.Wakati wa jiwe aliachwa MNADHIMU akapewa MABEYO
Yeah mkuu hakuna polisi wala magereza anayeweza kukalia nafasi yoyote ile ya jeshiHv polisi na askari magereza kwa cheo chochote kile watakachokuwanacho hawawezi kukalia kiti cha u-cdf!?
But mwanajeshi yyte kwa vyeo vyao wanaweza kukalia nafasi ya juu kabisa ya IGP ama mkuu wa magereza ni sawa hapo ama mimi ndio najichanganya!
mwenye uelewa atufafanulie please
Luteni, Meja, Brigedia (Jenerali).
Hivi anaweza kuteuliwa mtu ambaye sio rank ya Luteni Jenerali direct akawapita walio juu yake?
Kwamba brigedia jenerali anaweza kuteuliwa kuwa CDF halafu hao ma meja na luteni jenerali wanakuwa bado jeshini au watapelekwa majukumu nje ya jeshi?
Gen. Mabeyo alikuwa Mnadhimu Mkuu.
Humu watu hata protokali za jeshi hawazijui
Yani mtu ni brigedier general au major general awe cdf halafu aachwe lieutenant general?
Enzi za mwendazake ofcourse ingewezekana hata segeant kuwa cdf
Luteni, Meja, Brigedia (Jenerali).
Hivi anaweza kuteuliwa mtu ambaye sio rank ya Luteni Jenerali direct akawapita walio juu yake?
CDF wa sasa ukumbuke wakati Mwamnyange anafikia umri wake wa kustaafu hakukuwa na Luteni jenerali. JPM ilimbidi amwongezee muda Mwamnyange ndiyo Mabeyo akapandishwa kutoka Meja jenerali hadi Luteni jenerali. Alihudumu kwa mwaka mmoja ndiyo akaja kuwa na cheo hicho.Humu watu hata protokali za jeshi hawazijui
Yani mtu ni brigedier general au major general awe cdf halafu aachwe lieutenant general?
Enzi za mwendazake ofcourse ingewezekana hata segeant kuwa cdf
Kwa cheo alichonacho unastaafu kwa miaka 65
Kwa cheo alichonacho unastaafu kwa miaka 65
Usikariri umri wa kustaafu ni miaka 60, kwenye majeshi haipo hivyo. Kwenye jeshi kustaafu kunategemea na cheo chako
..Abdalah Twalipo alikuwa Mkuu wa mkoa, na Kanali, akapandishwa cheo kuwa Maj Jenerali na mkuu wa Majeshi.
..Ernest Mwita Kyaro alikuwa Maj Jenerali akapandishwa cheo kuwa Jenerali na kuteuliwa mkuu wa majeshi.
..Kuna ripoti ya CIA[ majasusi wa Marekani ] inasema Twalipo hawakuiva na Mnadhimu mkuu aliyemkuta hivyo ikalazimisha ateuliwa Mnadhimu mkuu mwingine.
..Cdf Ernest Kiaro aliteuliwa kwa pamoja CoS Kiwelu ambaye alikuwa promoted kuwa Luteni Jenerali.
Lt Gen huwa 1 ....labda itoke tu ...Maj Gen wako kama 12 hivi kwa uchache.....kwani kwa sasa tuna ma Ltn General wangapi na major Grn wangapi?