NYEKUNDU YA BIBI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 2,301
- 2,977
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]Mshana Jr, ugumu wangu , controlla , deepond ,bujibuji nyanaume, na yericko nyerere japo yeye kwa baadhi ya mada zingine nakinzana naye
πππ ringa tu mpenzi, yale madini yamejaa kwa kichwa yako aah una haki zote za kutembea kwa madaha ila salamu tu usitunyimeπaaaaaaw' Lenie wangu jamani..!!
Ni nini kutaka tu nianze kuringa sahizi.?? Nikiringa nikaacha kukusalimia je..??
Nakupendaga tu Mimi mwenzio.!!ππ
Inapendeza sana...
Mimi napenda vingi [emoji850]
ππSitaki hata kuuliza maana wewe
Halooooooo[emoji38][emoji38]
ππ
Mambo yangu niachie mwenyewe...
Asante dadaake[emoji176][emoji1545]Mshana Jr hana mpinzani
Nyani Ngabu anajua kuwachachafya makamanda
Erythrocyte huwa ananifurahisha tu na ule uandishi wake
Kuna member wapo vizuri ila ni kwenye comments zao na sio kwa kuanzisha nyuzi,sio kila memeber hua yupo interested kuanzisha thd bali wengine hua na michango mizuri kwenye comments zao,
So,bila shaka hilo nalo ungelijumuisha kwenye thd yako kama unaona ni sahihi mkuu,
Binafsi napenda sana comments za KikulachoChako huyu jamaa hua anaenda kwa fact na kwa ushauri mzuri kwa muhusika.
Nitarudi kutaja wengine.
Yanafurahisha sana...Hahah, we jamaa