Nani Karuhusu Waturuki kufanya umachinga wa kukopesha vyombo vya umeme mitaani? TBS na FCC mnayajua haya?

HII NCHI ni shamba la bibi kama Teuzi wanapewa Wageni itakuwa kufanya biashara kiholele wacha Waturuki wajitafutie Riziki
Na wanakimbilia Tanzania kwa sababu wanajua ndio nchi ambayo Serikali yake inahamaisha Uchuuzi.

Hawawezi enda Rwanda wala Kenya,kwa kifupu ni wanakimbilia pale ambapo wanajua Mamlaka zina sapoti uchuuzi.
 
Hawa wanao jiita wawekezaji, serikali haiwaanhalii. Wanawaacha mpaka kwenye biashara ndogo ndigo kama hizo. Kungekuwa na limit unakuja kuwekeza atleast awe na duka kubwa
Serikali wapi? kwanza nchi tu Raia wake wana mentality za kichuuzi, achilia mbalia Serikali. Sasa njoo kwa Serikali inayo sapoti uchuuzi.

Hawa hawawezi enda Rwanda kwa kagame wala hapo Kenya. Kwa kifupi Africa nzima ni Tanzania ndio ina Serikali inayo sapoti uchuuzi. Nchi nyingine zina piga sana vita uchuuzi make hauna impact kwa uchumi wa ncni.
 
Watanzania si wabunifu halafu ni wavivu wa kufanya kazi, wacha Waturuki wapige kazi. Kama tatizo ni la ukaguzi basi lawama ni mamlaka zetu ambazo zimeoza maana zinaongozwa na wezi wa mitihani ya kidato cha nne 1998.
Ni watanzania wachache sana ambao ni wabunifu na wanaotaka kuumiza akili, the rest ni wavivu na kufunika uvivu huo wanakuja na terms mbali mbali, mapenzi ya Mungu, nimeridhika, kulaum serikali all the time
 
Serikal ikipiga marufuku uchuuzi labda kwa raia wa kigeni. Ila wabongo wenyew ewengi watalala njaa
 
Kama hawamdai!
Bhasi aone kama nao wameona Fursa ya uwekezaji kwenye kufanya kitu cha Tofauti, Si vizuri kuona Wivu "Envy" kwenye Kitu mwenzako anachofanya kwa kuingiza kipato wivu uwe wa kufanya zaidi yake na sio kumuharibia
Wanaingiza viapato kwao au kwa Serikali? Hapo wana toa pia somo, watoto wakimaliza shule wanatamani kuwa wachuuzi pia. Nchi hii ni ya ajanu mno, hawa hawawezi enda Kenya mkuu make kule mamlaka hazisapoti uchuuzi.
 
Serikal ikipiga marufuku uchuuzi labda kwa raia wa kigeni. Ila wabongo wenyew ewengi watalala njaa
Wanalalaje njaaa? Tunatengeneza Taifa legelege ambali kutumia akili ni hakuna, Uchuuzi unaoigwa cira kokote kule, moja ya sababu ni kuwafanya raia wawe crative.
Ndio maana kwenye uzalishaji hakuna kitu kila mtu ndoto zake ni kumilik Frame
 
Wanaingiza viapato kwao au kwa Serikali? Hapo wana toa pia somo, watoto wakimaliza shule wanatamani kuwa wachuuzi pia. Nchi hii ni ya ajanu mno, hawa hawawezi enda Kenya mkuu make kule mamlaka hazisapoti uchuuzi.
Mkuu ulitaka waingize kipato kwa serkali badala yao?
Unafikiri wanaweza kuwepo hapa bila Serkali kujua?
Kumbuka wana Visa, Wana Permit, na Balozi zao zinajua wamekuja kufanya nini!

Kwahyo tuilaumu serkali yetu tu kwa hilo
 
Niliona wanasambaza blenda mitaani ila vitu vyao ni very expensive na overpriced.

Wanakopesa blenda "heavy duty" sh 300,000. Wakati ni counterfeit..zinauzwa hapo kariakoo hadi sh 55000.

Hotpots zao hao waturuki wanakwambia laki 4-6.
Sasa nani huyo mjinga anunue blenda laki tatu, hata kama unakopeshwa.
 
Huyo rafiki yako kichwani siyo mzima.
 
Wanalalaje njaaa? Tunatengeneza Taifa legelege ambali kutumia akili ni hakuna, Uchuuzi unaoigwa cira kokote kule, moja ya sababu ni kuwafanya raia wawe crative.
Ndio maana kwenye uzalishaji hakuna kitu kila mtu ndoto zake ni kumilik Frame
Wewe ni mgeni na hii nchi. Wamachinga tu wenyewe wameshindwa kuwa manage, kama kuwa legelege wameshakuwa legelege, uki block wamachinga now idadi ya wasio kuwa na ishu za kufanya mtaani itaongezeka. Thats the reality

Labda kama una namna ieea nyingine how to regulate hii kitu iwe na faida kwa jamii. Eitherway kwa jamii ya kitanzania bado sana
 
Waafrika tuache kulalamika kwa kuwa tumeamua kubweteka na kuishi kama full time consumers...

Tukitaka vitu bora, tujifunze kuunda vitu vya kwetu wenyewe...
Hakika
 
Hivyo vitu fake vipi kwao Waturuki tu mkuu au una lingine mkuu? Au ni hisia kwamba wanachukua ajira za Watanzania yaani mpaka umachinga wanafanya wao?

Kama issue ya bidhaa fake, je ukienda kwenye maduka mengine mbali na Waturuki hakuna bidhaa fake?

Kama ni issue ya umachinga wao, je kabla ya kuja wao kuanza na huu ubunifu wa kuuza vyombo Kwa mkopo, je Kuna Mtanzania yoyote alikuwa anaifanya hii kazi ya kukopesha vyombo kiasi kwamba anaingilia maslahi ya Watanzania?. Ukiangalia Kwa makini utagundua huo ni ubunifu wao na unarahisisha upatikanaji wa vyombo vya kielektroniki Kwa urahisi japo gharama inakuwa juu Kwa kuwa ni mkopo.

Suruhisho si kuwalaumu bali na wewe ingia road Kwa style/ubunifu mwingine ambao utauza Kwa wananchi maana Watz wengi hawakuwa wanafanya biashara ya mtindo huu wa mkopo ambapo mtu anachukua vyombo ANATUMIA huku ANALIPA KIDOGO KIDOGO bali ilikuwa mtu ANABANDIKA yaani UNALIPA KIDOGO KIDOGO ukimaliza ndo unachukua bidhaa.

Mie nachukulia kama UBUNIFU hivyo na nyie muige
 
Ze kantri nao iz like a headless chicken...

Tunakwenda bila kuenda
 
Wewe nunua katumie

Watumiaji/wanunuzi wenyewe hatuna viwango vya TBS....
Juzi multicooker ilitaka kuunguza nyumba na sijamaliza deni lao. Nawasubiri nikawatupie dude lao. Wakisumbua nitawaambia wakanishitaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…