Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
- Thread starter
-
- #181
Motoni utaenda kwa mchanganyiko wa dhambi nyingi nguruwe ikiwa moja wapo➡️➡️➡️ Hakuna mtu atakayekwenda motoni kisa alikula mnyama asiyecheua, asiye na kwato zilizogawanywa au samaki asiye na magamba kawa Wasabato wanavyoshadadia.
Uzi unaweza kufungwa sasa maana naona ni kama mnapoteza muda kujadili kitu ambacho hakina athari yo yote katika wokovu wa mtu (katika Ukristo) 🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Mie nawaonaga watu wanahangaika kuwa dini yao ionekane Safi wakati hata upendo tu wa kusaiidia wenye uhitaji anashindwa akikutana na mke wa mtu anapata hisia anatongoza anapiga anajificha baadaye anakuja kukomaa hapa kuwa kitimoto ama dini yetu Ni Safi na ndio Mungu amesema tusali anapaimbia.Upo sahihi
MBUZI KATOLIKINOAH
MEZA KUBWA
MDUDU
KITIMOTO
SWINE
NGURUWE
MKUU WA MEZA
Anakutana na Vita kubwa saaana, ila anashinda kwenye Utamu tu.
Siwezi kupoteza energy yangu kwa mtu ambae sio MAKINIHuna hoja even computer sometimes fail
Mnasomaga maandiko gani hayo? Sisi hatufuati maagizo ya Walawi, sisi tunafuata maagizo ya Yesu Kristo. Wanangu pigeni kitimoto kama kawa ni nyama halali kabisa! Nenda kasome Marko 7:14 -23 Uone jinsi Yesu alivyoturuhusu kula kila kitu maana vituingiavyo kutoka nje havitutii unajisi!Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.
Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."
Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.
Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.
NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.
View attachment 2613342
takbirWabillahi Tawfiq
Kama una imani basi utaelewa tu chochote Mungu Alichokataza basi kina madhara.[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Hakuna mtu atakayekwenda motoni kisa alikula mnyama asiyecheua, asiye na kwato zilizogawanywa au samaki asiye na magamba kama hawa Wasabato wanavyoshadadia.
Uzi unaweza kufungwa sasa maana naona ni kama mnapoteza muda kujadili kitu ambacho hakina athari yo yote katika wokovu wa mtu (katika Ukristo) [emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211]
Naacha rasmi kujibizana nawe.Motoni utaenda kwa mchanganyiko wa dhambi nyingi nguruwe ikiwa moja wapo
Wewe endelea kula tende ulizoagizwa na Mungu wako, tuache na kitimoto yetu, sisi siyo Walawi wala waarabu, kumbuka hata wamasai wangefanikiwa kueneza Imani yao Hadi mtwara na kwingine kungekuwa na katazo la kuto kula samaki Toka kwa MunguKatika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.
Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."
Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.
Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.
NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.
View attachment 2613342
Asante mkuu tumewaza pamoja! Tumemjibu vya kufanana! Asante sana!Katika Agano JIPYA Nguruwe ni ruksa kuliwa! Baada ya Kristo kuja vyakula vyote vilivyohesabika ni najisi katika Torati(Agano la KALE)-Walawi 11:4-43),alivitakasa kwa Neno la Mungu,(Marko7:16-19)-Yesu akasema,Kimuingiacho mtu hakimtii mtu unajisi,bali kimtokacho.Kwa kusema hivyo alivitakasa vyakula VYOTE.Na tena Neno la Mungu linasema,vilivyotakaswa na Mungu wewe usiviite Najisi,(Matendo9:11-16)
Vimtokavyo mtu ambavyo vyaweza kumtia mtu unajisi ni vile vitokavyo moyoni,yaani maovu au dhambi,(Marko7:21-23)
Kwa hiyo kama mtu hali nguruwe lakini anafanya maovu mf.uzinzi,ulawiti,ufiraji,uuaji,wizi,kinyongo,matusi,Uongo,nk mbele za Mungu huyo ni Najisi.Na walio najisi wote mahali pao ni katika lile ziwa la moto liwakalo kiberiti,(Ufunuo21:8)
Soma,(Warumi14:14).Kwa hiyo ni ruksa kula Kitimoto bila wasiwasi! Na usisikilize roho za majini zisemazo usile hiyo kitu,unachotakiwa ni kushukuru tu then unaendelea kula,(1Timotheo4:1-5)
walikuwa wanachungwa, yaani walikuwa chini ya usimamizi wa amri ya 10 ya Amri za Mungu kwa mujibu wa Katekismu.Kwa hiyo wale nguruwe ndiyo hawa tulio nao wanaishi hadi leo? Au wale walikufa palepale?
Kama una imani basi utaelewa tu chochote Mungu Alichokataza basi kina madhara.
Kama una imani lkn....au nasema uongo swahiib?
Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.
Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."
Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.
Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.
NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.
View attachment 2613342
Allauh akbarwhat a coincidence?!!! nimetoka kupiga Nusu kavu na Ugali, Allah anijalie maisha marefu
Katika Agano JIPYA Nguruwe ni ruksa kuliwa! Baada ya Kristo kuja vyakula vyote vilivyohesabika ni najisi katika Torati(Agano la KALE)-Walawi 11:4-43),alivitakasa kwa Neno la Mungu,(Marko7:16-19)-Yesu akasema,Kimuingiacho mtu hakimtii mtu unajisi,bali kimtokacho.Kwa kusema hivyo alivitakasa vyakula VYOTE.Na tena Neno la Mungu linasema,vilivyotakaswa na Mungu wewe usiviite Najisi,(Matendo9:11-16)
Vimtokavyo mtu ambavyo vyaweza kumtia mtu unajisi ni vile vitokavyo moyoni,yaani maovu au dhambi,(Marko7:21-23)
Kwa hiyo kama mtu hali nguruwe lakini anafanya maovu mf.uzinzi,ulawiti,ufiraji,uuaji,wizi,kinyongo,matusi,Uongo,nk mbele za Mungu huyo ni Najisi.Na walio najisi wote mahali pao ni katika lile ziwa la moto liwakalo kiberiti,(Ufunuo21:8)
Soma,(Warumi14:14).Kwa hiyo ni ruksa kula Kitimoto bila wasiwasi! Na usisikilize roho za majini zisemazo usile hiyo kitu,unachotakiwa ni kushukuru tu then unaendelea kula,(1Timotheo4:1-5)
Una hoja usikilizweMie nawaonaga watu wanahangaika kuwa dini yao ionekane Safi wakati hata upendo tu wa kusaiidia wenye uhitaji anashindwa akikutana na mke wa mtu anapata hisia anatongoza anapiga anajificha baadaye anakuja kukomaa hapa kuwa kitimoto ama dini yetu Ni Safi na ndio Mungu amesema tusali anapaimbia.
Analeta swala la yanga vs Simba or cdm vs ccm.
Dini Ni your lifestyle na Tabia zako na mwenendo wako kiujumla kwenye maisha yako ya kila siku.
Usidhani dini Ni kuwa mbudha,mhindu,mkristo ,mwislamu.
Na dini zote za dunia hii zinafundisha UPENDO NA AMANI . Zingine Ni mbwembwe tu za kujisifia kuwa mie wa kwangu Ni Bora kuliko wa kwako
Hatumjadili ngamia hapa upo nje ya madaHizi dini hizi acha tu..
Walipokataza nguruwe asiliewe kwakua hecheui, ndio hapohapo wamekataza ngamia na sungura na wanyama wengine wasio na kwato wasiliwe.
Wewe unakula ngamia hamna shida, na wala nguruwe hawakupigii kelele, kwann wewe unawapigia wao kelele?
Kwahyo unatenda dhambi kwa kutegemea uokovu wa yesu si tuliambiwa kila mtu atabeba msalaba wakeNaacha rasmi kujibizana nawe.
Huna hoja isipokuwa mihemko tu kwa vile umeanzisha uzi.
Kama wewe ni Mkristo unakufuru sana unapoidharaulisha damu ya Yesu iliyomwagika msalabani kwa ajili ya wokovu wetu kwa kuilinganisha na nguruwe...
I am out 🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️