Lello199
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,385
- 3,545
kama "mungu" kakataza basi acha tule kwasababu hatumuabudu "mungu"Hayo mawazo yako, sio maagizo ya mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama "mungu" kakataza basi acha tule kwasababu hatumuabudu "mungu"Hayo mawazo yako, sio maagizo ya mungu
Anachinjwa hili iweje na aliwikwa hiyo nguruwe akichinjwa kwa kumtaja Mungu anakuwa halali tu, au sio?
Ni "Mungu" typing errorkama "mungu" kakataza basi acha tule kwasababu hatumuabudu "mungu"
Basi mimi nikutumie hela kwa ajili ya Kitimoto, sawa?Mm sna hela ya kulia nguruwe lakn nyama ya ng'ombe nmekula leo (simba)
Hapo umevaa suruale ya mchina shati la muitaliano, kiatu cha mrusii....... Hizo dini mtajuana wenyewe kikubwa najua mie ni wa asili wa hili bara na huyo mdudu kwangu sio haramu baaas,,,,, dini tunadandia tuonekane bado tupo pia,,,,, waafrika tuna matatizo makubwa zaidi ya kuanza kubishania kitoweoKatika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.
Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."
Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.
Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.
NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.
View attachment 2613342
Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.
Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."
Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.
Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.
NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.
View attachment 2613342
Hela ninazo kasaidia maskini wapo wengi na wengne hawajala had muda huu kama kwel ww unahuruma hvoBasi mimi nikutumie hela kwa ajili ya Kitimoto, sawa?
Hyo haihalalishi unajisi wakeIdadi ya Nguruwe yaongezeka nchini
Leo wakati nafuatilia Mpango na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi 2023/2024 Waziri Abdallah Ulega amesema idadi ya Nguruwe "kitimoto" imeongezeka kwa mwaka 2022/2023 kutoka Nguruwe Milioni Tatu na Laki Nne(3.4M) hadi Nguruwe MilioniTatu na Laki Saba(3.7M)...www.jamiiforums.com
Sasa si anatakaswa kwa jina la Mungu ili aliwe?Anachinjwa hili iweje na aliwi
Kwa hiyo wale nguruwe ndiyo hawa tulio nao wanaishi hadi leo? Au wale walikufa palepale?Marko 5:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
12 Wale pepo wakamsihi Yesu, “Turuhusu tukawaingie wale nguruwe.” 13 Basi akawaruhusu. Wakamtoka yule mtu wakaenda wakawaingia wale nguruwe na kundi lote la nguruwe wapatao elfu mbili likatimka kasi kwenye mteremko ule, wakazama ziwani, wakafa.
14 Wale waliokuwa wakichunga hao nguruwe wakakimbilia mjini na vijijini kueleza yaliyotokea. Watu wakatoka kwenda kujionea mambo hayo.
Neno la Bwana!
Naongelea za kulia Kitimoto bana, mbona haulewi?Hela ninazo kasaidia maskini wapo wengi na wengne hawajala had muda huu kama kwel ww unahuruma hvo
Nguruwe haramu wawe wale au wengne Nguruwe ni Nguruwe tu hata mumuite mbuz vatcan itabak kua a.k.a tuKwa hiyo wale nguruwe ndiyo hawa tulio nao wanaishi hadi leo? Au wale walikufa palepale?
what a coincidence?!!! nimetoka kupiga Nusu kavu na Ugali, Allah anijalie maisha marefu
Kuna jamii huwa hawali nyama ya ng'ombe, lakini wewe unakula nyama ya ng'ombe.Hyo haihalalishi unajisi wake
Huna hoja utoto unakusumbuaNaongelea za kulia Kitimoto bana, mbona haulewi?
Halali ni nini au unadhani Dini na Imani zilianza na Ukristo na Uislamu ? Unadhani ni Middle East na Wayahudi pekee ndio walioamini; Huko Asia na Afrika walikuwa hawana Imani ?Kasome historia hapa tunazungumzia dini na sio mila
Huyu atakuwa ni Msabato. Wana tabia ya kunyofoa nyofoa visheria vichache vya Musa na kuacha zingine maelfu kwa maelfu. Hawali nyamafu. Hawali wanyama wasiocheua. Hawali wanyama wasio na kwato. Hawali samaki wasio na mapezi. Hawaruhusu wanawake kusuka, kujipamba wala kuvaa hereni...na utopolo mwingine mwingi. Sijui kwa nini wamechagua hizi chache na kuacha zingine maelfu. Pengine ni maelekezo ya nabii wao Ellen G. White!Akili zako mbovu na ulivyokaririshwa ndiyo zinakuelekeza ni najisi.Ninyi endeleeni kupiga umalaya kwa kujidai waimba kwaya.
Nmeongelea Waislamu na wakristo tu hao wengne anzisha uzi wakoKuna jamii huwa hawali nyama ya ng'ombe, lakini wewe unakula nyama ya ng'ombe.
Wengine hawali nyama kabisa, lakini wewe unakula nyama
Halafu hawa wanaokuwa wanafunguliwa na kujichunga wenyewe nyama yake huwa ni tamu sana.Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.
Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."
Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.
Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.
NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.
View attachment 2613342