Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ulileta uzi wa nini sasa?Ungekaa nao nyumbani kwenu.Hakuna anaeingilia uhuru wa mtu ilimrad uvunji sheria za nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulileta uzi wa nini sasa?Ungekaa nao nyumbani kwenu.Hakuna anaeingilia uhuru wa mtu ilimrad uvunji sheria za nchi
Haramu nyumbani kwenu.Sijasema popote usile kitimoto ni maamuzi yako hayo, lakni jua unakula haramu
Ili tujue kwamba tunakula kwa matakwa yetu sio matakwa ya munguKwanini atetewe?
Mbona umemsahau Ngamia ni haram lakini jamaa wanafakamia hadi maziwa yakeKatika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.
Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."
Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.
Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.
NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.
View attachment 2613342
Unamuelezea "mungu" wa wapi?Ili tujue kwamba tunakula kwa matakwa yetu sio matakwa ya mungu
Akil zako ndogo, sjaleta uzi nikuzuie usile nmeleta ili nkuambie ulacho ni najisiUlileta uzi wa nini sasa?Ungekaa nao nyumbani kwenu.
Sijaongea kuhusu ngamia hapa kwahyo hainihusu, ukipenda anzisha uzi wako ngamia haramuMbona umemsahau Ngamia ni haram lakini jamaa wanafakamia hadi maziwa yake
Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.
Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."
Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.
Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.
NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.
View attachment 2613342
Akili zako mbovu na ulivyokaririshwa ndiyo zinakuelekeza ni najisi.Ninyi endeleeni kupiga umalaya kwa kujidai waimba kwaya.Akil zako ndogo, sjaleta uzi nikuzuie usile nmeleta ili nkuambie ulacho ni najisi
Wawote, iwe wa Waislamu au wakristoUnamuelezea "mungu" wa wapi?
Swali dogo tu ila umeshindwa kutumia akili.Wawote, iwe wa Waislamu au wakristo
Kula lakn ni najisi ujue
Hatajaongelea umalaya hapa mada ni nguruwe sio halaliAkili zako mbovu na ulivyokaririshwa ndiyo zinakuelekeza ni najisi.Ninyi endeleeni kupiga umalaya kwa kujidai waimba kwaya.
Kwa hiyo kuna mafungu ya Biblia yanamhusu Petro pekee? 😳😳😳Hiyo ilimtokea petro tu, swali nawe kawatakasa kakwo leta andiko
Kila mtu anamungu wake Waislamu allah wakristo yehovah, sjataka kuwa upande wowteSwali dogo tu ila umeshindwa kutumia akili.
Miminakula kwa matakwa ya "Mungu" ila wewe huli kwasababu ya "mungu".Ili tujue kwamba tunakula kwa matakwa yetu sio matakwa ya mungu
Hata kuku hana kwato.Sasa Nguruwe kuwa na kwato au kuwa nazo Mimi zinanihusu Nini?
Kwani Mimi ndo niliyemuumba?