Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Sawa.Nakuletea paja la nguruwe kama zawadi kwa ukoo wako.Hauna hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.Nakuletea paja la nguruwe kama zawadi kwa ukoo wako.Hauna hoja
Una changamoto kwenye ubongo wewe.Kazi yako ni kuleta uzi.Kuamua uzi uishie wapi siyo kazi yako na wala hauumiliki.THREAD CLOSED HAKUNA MWENYE HOJA HADI SASA WOTE MNAKULA HARAMU
InshallahUmekula Najisi na Ugali??!!-- Mungu akusamehe.
Umeitika kama mtu aliyeshiba vizuri sana.🙏😂Inshallah
Hapa haupo na watoto wenzako kwamba watakujibu unavyotaka.Nenda kawape nguruwe pumba wale.endelezeni uzi mm nishajua na nishapata majibu kwamba hamna hoja
Naam mkuu hapa napiga na windhoek zangu 6 za baridi naenda kupumzika, Sijui Allah atanichukuliaje Kafir mimiUmeitika kama mtu aliyeshiba vizuri sana.🙏😂
Moja kwa moja utajitwalia mabikra wa kutosha ukiwa umejilaza pembeni ya kijito kinachotiririsha mvinyo huku jua likizama kwenye tope.Jioni hiyo ujue?Naam mkuu hapa napiga na windhoek zangu 6 za baridi naenda kupumzika, Sijui Allah atanichukuliaje Kafir mimi
IQ=65Hapa haupo na watoto wenzako kwamba watakujibu unavyotaka.Nenda kawape nguruwe pumba wale.
Huna hojaMoja kwa moja utajitwalia mabikra wa kutosha ukiwa umejilaza pembeni ya kijito kinachotiririsha mvinyo huku jua likizama kwenye tope.Jioni hiyo ujue?
Unadhani nimekuja duniani kukufurahisha wewe na mazuzu wenzio?Huna hoja
Amin Sheikh.Moja kwa moja utajitwalia mabikra wa kutosha ukiwa umejilaza pembeni ya kijito kinachotiririsha mvinyo huku jua likizama kwenye tope.Jioni hiyo ujue?
Mkuu hoja zako kwa nini usizipeleke Bank wakuhifadhie au uzipeleke kwa mangi akupatie mchele kilo 20 ukale na nduguzo nyumbani?? Hapa JF hoja zako ni takatakaHuna hoja
Ndo nasema Huna hoja, mimi sijakukataza kula mdudu lakni nivyema kujua unakula najisiUnadhani nimekuja duniani kukufurahisha wewe na mazuzu wenzio?
Amin Sheikh.
Bingwa wa vichamboMkuu hoja zako kwa nini usizipeleke Bank wakuhifadhie au uzipeleke kwa mangi akupatie mchele kilo 20 ukale na nduguzo nyumbani?? Hapa JF hoja zako ni takataka
Hawezi kupewa mchele huyo.Atakatwa makofi akimbie.Mkuu hoja zako kwa nini usizipeleke Bank wakuhifadhie au uzipeleke kwa mangi akupatie mchele kilo 20 ukale na nduguzo nyumbani?? Hapa JF hoja zako ni takataka
Nimemaliza kitimoto mkuu karibu kwenye bia, au na yenyewe ni haram?Bingwa wa vichambo
Kila kitu yeye kwake haramu.Nimemaliza kitimoto mkuu karibu kwenye bia, au na yenyewe ni haram?