Nani kasema Nguruwe halali? Sio Ukristo au Uislamu kote wamemkana.

Nani kasema Nguruwe halali? Sio Ukristo au Uislamu kote wamemkana.

Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.

Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."

Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.

Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.


NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.

View attachment 2613342

Nilipoona halali nikajua hapati usingizi, anyway mimi nadhani hayo yalikuwa yao huko kilipoandikwa kitabu
 
Hawezi kupewa mchele huyo.Atakatwa makofi akimbie.
Ndo tatizo la watz hawawezi kujadili kwa hoja kabsa ni udhaifu mkubwa mno kwa maendeleo na mstakabal wa taifa kwa ujumla kama mambo madogo kama haya mtu anashindwa kujibu, je mambo serious mtayaweza na unakuta jingne hapa ni lilamba asali
 
Iringa iringaa Iringaa

Viwanja/Maduka vya CCM sijawahi ona such scenario whole of Tanzania. Zipo bucha/maduka zaidi ya 30 sehemu moja wanauza nyama ya huyo mrembo
 
THREAD CLOSED HAKUNA MWENYE HOJA HADI SASA WOTE MNAKULA HARAMU

Screenshot_20230507_162109_Swahili Bible Offline.jpg
 
Ndo tatizo Lao wanapenda kuquote vpande vinavowafavor wao kama kana wao ndo walikua wakina Petro
 
Naona kama Kuna watu mpaka Leo hawakuelewa sababu ya " UJIO WA YESU " Yesu alikuja ku separate kati ya tamaduni za zamani fa far east na Neno la Mungu. Vitu hivyo vilikuwa vinachanganywa , kumbuka mahubiri yake kuhusu kufanya kazi siku ya sabato, kuhusu vyakula, nk. Alifuta tamaduni zote kwenye neno la Mungu , Sasa Kuna mijitu mpaka Leo imekalia tamaduni hizo ambazo zipo kwenye agano la kale. Komaeni nazo sisi tunamla bwana.Hakuna Mila za kiafrika zinazokataza .Mlisema ana wadudu wa hatari wanaingia kwenye ubongo, mara ukiweka limao wadudu wanatokea , sisi tunamla tuu na tuna afya tele kuliko nyie mnaodanganyana.

Mdudu hoyeeee!!! Machina anamla na ana akili nyingi na anaishi Maisha marefu kuliko wewe.

Wazungu wanamla Wana akili nyingi na wanaishi Maisha marefu kuliko wewe.

Wachagga, wanyakyusa, wahaya, wafipa na wangoni wanamla, Wana akili nyingi na wanaishi Maisha marefu kuliko wewe. Leave mdudu alone
 
Error "uncertainity in measurement" S.Chand, Principles of physics.

Mbuzi katoliki ni mtamu sana, Baadae jioni nitakuwa kipande cha tabata dar west na wanangu tukamtafune huyu kiumbe[emoji3] karibu mkuu. Nitakutumia picha hapa kwenye huu uzi
Hakuna anaeingilia uhuru wa mtu ilimrad uvunji sheria za nchi
 
Error "uncertainity in measurement" S.Chand, Principles of physics.

Mbuzi katoliki ni mtamu sana, Baadae jioni nitakuwa kipande cha tabata dar west na wanangu tukamtafune huyu kiumbe[emoji3] karibu mkuu. Nitakutumia picha hapa kwenye huu uzi
Ataanza kulia.
 
Back
Top Bottom