Nani kawaleta Kawe hawa Panya wa maajabu na wa kimkakati wanaosemekana kutokea nchini Malawi?

Nani kawaleta Kawe hawa Panya wa maajabu na wa kimkakati wanaosemekana kutokea nchini Malawi?

Bwana Ameir Seif Paje Kidagaaa bila picha bas tofauti yako na mwamposa ni level ya umaaarufu tu!
Tafadhali naitwa ( majina yangu halisi ) ya NIDA, RITA na UHAMIAJI Tanzania Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura ( alias GENTAMYCINE ) sawa Mkuu?

Cc: adriz na Bujibuji Simba Nyamaume
 
7. Mavi yao ni kama Utumbo wa Kuku, Meusi, Mafupi na yananuka balaa
Hapa ndio umenijuza! Kuna mavi huwa nayakuta kila asubuhi ni meusi mafupi na yanaharufu mbaya sana. Nimejiuliza sana ni mnyama/ndege gani? Popo?, mijusi? Sijapata jibu. Nimefuatilia usiku wa manane kuna siku nikaona kichwa kidogo kama cha popo kinarudi nyuma kuingia kwenye mbao, asubuhi yake nikazitoa mbao zote ila baada ya hapo nikaambulia patupu.. sijawahi kumuona tena! Leo umenifumbua macho.
 
Mkuu acha watu watafute maisha. Wamalawi wanachapa kazi ambazo waswahili wengi hawawezi. Wengi wapo very professional, wanathamini kazi. Watanzania wengi sisi ni wajanjawajanja. Unataka wafukuzwe hizo kazi utafanya wewe? possibly not. kwa nini uumie mtu kutumia nguvu na akili yake kujipatia riziki? hii mipaka iliwekwa na wajinga fulani huko Berlin kwa maslahi yao. Kuna ndugu zako wako SA, US, UK , Canada hawana vibali lakini wanapambana. Ndo hao wanasaidia ndugu zao hapa TZ na kwingineko.

Mpaka leo sioni sababu ya mwafrica kuwa mkimbizi Africa. wacheni vijana watafute maisha. Na wewe ukitaka nenda Congo au kwingineko. Ilmradi usiibe cha mtu.

Mwisho wa siku wakifanya makosa waadhibiwe kama wengine. Ila tusiwahukumu tuu kwa sababu wanaitwa wamalawi. It is just a name!

Africa maisha ni magumu sana. ukiona mtu ana hustle mheshimu baada ya kumfitini.
Kwamba mtu aingie nchini bila kibali na tumuache tu kisa anatafuta maisha!?
 
Lakini Kawe kuna Wanyasa wengi sana, wanaishi na Watanzania wakiwafanyisha kazi kwa mshahara kiduchu achilia mbali hao wanaokuja kwa Posa Boy.

Tena hawana vibali na hawajui Kiswahili vizuri, eti na kambi ya jeshi ipo jirani hapo hapo na ina vikosi muhimu kadhaaa.

Mtajua wenyewe na nchi yenu ya laana.
Na isitoshe wengi wa hao "Mahausi Gelo" wameajiriwa na Watumishi wa Serikali..
 
Hapa ndio umenijuza! Kuna mavi huwa nayakuta kila asubuhi ni meusi mafupi na yanaharufu mbaya sana. Nimejiuliza sana ni mnyama/ndege gani? Popo?, mijusi? Sijapata jibu. Nimefuatilia usiku wa manane kuna siku nikaona kichwa kidogo kama cha popo kinarudi nyuma kuingia kwenye mbao, asubuhi yake nikazitoa mbao zote ila baada ya hapo nikaambulia patupu.. sijawahi kumuona tena! Leo umenifumbua macho.
Huyo atakuwa ni Panya Malawi au Panya Polepole tu Mkuu. Pole sana kwa Kero hiyo.
 
1. Wana mikia mifupi

2. Wana mlio kama wa Mluzi

3. Wamewala Panya wote wa Kitanzania wenye mikia mirefu

4. Hawategeki kwa Sumu yoyote na hata Ukiwakimbiza hawakuogopi na wanaondoka kwa mwendo wa taratibu huku wakiwa hata hawana wasiwasi nawe

5. Paka wala hawaangaiki kuwakamata

6. Lishe yao wanaipata katika Matakataka na hasa Mashimo ya Nnya / Kinyesi

7. Mavi yao ni kama Utumbo wa Kuku, Meusi, Mafupi na yananuka balaa

Wapo sana Kawe na sina uhakika kama na Kwingineko pia wako na kuna taarifa zisizo rasmi na bado GENTAMYCINE nakataa kuziamini kuwa Panya hawa wameletwa na Wamalawi wanaokuja Kusali kwa Mwamposa na wengine wameenda mbali zaidi na kusema kuwa hawa Panya ni wa Kijasusi / Kinjagu kutoka nchini Malawi na kwamba wapo nchini Kimkakati zaidi.

Nivumilieni kidogo niwavizie wakitaka Kunya ( Kuukweka ) muda si mrefu nitawapiga Picha muwaone.
kwa ivo tuna balaa la wakimbizi aina ya panya kutoka malawi,bado kidogo tutapata panya wakimbizi kutoka rwanda!!!
 
Hawa panya wanategeka kwa sumu bila shida, haujawahi au haujui jinsi ya kutumia sumu unaanza kusema hawategeki kwa sumu! Changanya unga kidogo sana na sumu nyeusi ya chenga, onja kama imekolea kisha weka sehemu kavu na yasiwepo maji yoyote karibu.
Nimechanganya na nimeonja Sasa sijajua kama imekolea au bado. Ikikolea ina ladha gani?
 
Hawa panya wanategeka kwa sumu bila shida, haujawahi au haujui jinsi ya kutumia sumu unaanza kusema hawategeki kwa sumu! Changanya unga kidogo sana na sumu nyeusi ya chenga, onja kama imekolea kisha weka sehemu kavu na yasiwepo maji yoyote karibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata huku wapo
Ila uchunguzi holela ni kuwa wanakuja katika yale matenga wanaweka ndizi zinazotokea malawi..
Ajabu yake ni kuwa badala wajae masokoni ila karibu Dar yote wameenea now.
Ni wakubwa kweli kweli..
La kula nyaraka ndo bado sijashuhudia kama wanakula karatasi.kama hawali nyaraka basi usahihi wa kuwa ni wamchonga utakuwa umepatia.
 
Hata huku wapo
Ila uchunguzi holela ni kuwa wanakuja katika yale matenga wanaweka ndizi zinazotokea malawi..
Ajabu yake ni kuwa badala wajae masokoni ila karibu Dar yote wameenea now.
Ni wakubwa kweli kweli..
La kula nyaraka ndo bado sijashuhudia kama wanakula karatasi.kama hawali nyaraka basi usahihi wa kuwa ni wamchonga utakuwa umepatia.
Ha! Mbona wakubwa wetu tayari wameshaonya hususana katika kipindi hiki cha Changuzi zetu?
 
Back
Top Bottom