Pre GE2025 Nani kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara baada ya Mzee Kinana kujiuzulu?

Pre GE2025 Nani kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara baada ya Mzee Kinana kujiuzulu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
makonda watakuwa wanakiua chama. makonda is not a favorite of majority CCM members those who are intelligent!
Nyomi zote anazozoaga kila pahala panapoitwa mkutano ama kikao, wote hao huwaga ni haters?

Intelligent members ndiyo wanachama wa namna gani, au ni wanachama wa kufikirika?
 
Hapo nashauri awe mtu style ya Mzee Pinda kabisa, mtu asiyekuwa na mihemko, hana kabisa muingiliano wa maslahi binafsi ya utajiri na utumishi wa umma. Au Dkt Bashiru
Dr. Bashiru ni chuma cha pua. Samia kama anataka kutemana na wahuni basi amvute Polepole na Dr. Bashiru uone kama kuna mtu ataleta chokochoko. Huko kwingine TISS watajuana wao
 
bashiru hakutaka Samia awe Rais, atamleta kweli awe makamu?
Bashiru ana kisasi na team Kikwete kwahiyo anaweza faa kutokana na uzoefu wake kuwafanya wastaafu waishi kama mashetani. Na ni mzoefu wa kutumia nguvu za dola.
Bashiru akija ni mchawi mpe mwana akulelee. Hawezi kuwa adui wa kudumu wa Samia, btw sidhani kama Bashiru anaona heri team January kumpata Rais. Hapendi vilaza, sasa kwake si bora kumalizia kuliko kuanza upya.
 
Back
Top Bottom