Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii picha inamkuza zaidi babu yetu
ephen atabubujikwa na machozi ya furaha mpaka magauni ya CCM yabaki mabichiLucas Mwashambwa anatosha
Mimi binafsi naona yeyote anafaa japo Kwa Dr.Nchimbi angeendelea na nafasi yake Ili azidi kujinoa Kwa baadae.
PM Mstaafu Mzee Pinda chaguo la kwanza na Mzee Wasirra chaguo la Pili(Kwa Wasirra Umri umeenda sana ).
Naomba kuwasilisha 👇👇
View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1818185281536766333?t=1txcLuW3OOBDWm9f8vBvOg&s=19
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ephen atabubujikwa na machozi ya furaha mpaka magauni ya CCM yabaki mabichi
Kheeeeeee...!! We shemela, umeanza lini mambo ya shekhe Yahaya?Lucas Mwashambwa anatosha
Mtu mpaka level ya WM akishapita, anapaswa kubaki kuwa mshauri tu, kwenye baraza la wazee labda!Hapo nashauri awe mtu style ya Mzee Pinda kabisa, mtu asiyekuwa na mihemko, hana kabisa muingiliano wa maslahi binafsi ya utajiri na utumishi wa umma. Au Dkt Bashiru
Wapigwe tu maana umeambiwa usifanye fujo ww unakaidi wapigwe tu maana tumechoka sasa.Mizengo nalo bumunda kama nape
Mtu pekee ninaye mhofia, kama nilivyo wahi kumhofia enzi zake Kinana; ni Bashiru katika wote wanaotajwa huko CCM.Pinda ndiye atakuwa makamu mwenyekiti mpya, maana Kamundu, Kalamu na Lucas Mwashambwa wote hawa wanamtaka Pinda.
Tunataka katiba mpya hayo mengine tunawaachia maccm waamueKaribu tutoe maoni yetu hapa,
Nimeona maoni mbalimbali hasa kwenye groups za Whatsapp haya majina saba yametajwa mara nyingi zaidi.
Ni bora sasa iwepo Poll ili kulishindanisha Kila kundi,
Jinsi ya kupigakura,
Veka tiki kwa Mwanachama unayemwamini zaidi
Kisha shuka chini sehemu imeandikwa "Cast vote" bonyeza hapo.