Nani kwa Hakika alistaili ufalme wa rhymes ~2004?

Darubini ilitoka baada ya kupewa tayari ufalme was rhymes lakini kwenye mashindano aliingia na wimbo mtazamo ambao aliwashirikisha wasanii Wawili.Afande sele alibebwa sana katika ushindi ule kwa kuchukuwa wimbo ambao tyr alibebwa pia
Darubini ndio nyimbo iliyompa ufalme Afande Sele, darubini ilitoka kabla ya shindano na sio baada
 
Acha ubishi darubini ilitoka kabla ya shindano na ndio nyimbo iliyombeba afande hadi akatwaa tunzo... Dito alipanda jukwani kuperform darubini akiwa bado yupo primary...
 
Niliwahi kusikia Afande Sele a.k.a Simba wa Morogoro akisema
"Eti ni bora wangempa treka kuliko kile kigari chenye milango ya kunguka juu kama mabawa"
 
Enzi izo mziki ni mziki kwelikweli
 

Acha zarau ndugu.Sio kama nabeza uwezo wa Solotheng hapana,ila nasema kipindi cha mashindano hayo hakuwa na ngoma kali at that moment
 
Jay hakustahili hilo liko wazi kabisa, Solo Thang ni mkali sana ila kwa afande wa kipindi iko alikua kiboko.

Afande alistahili kuwa mkali wa rhymes.

Acha kuchekesha wewe.Yani Jay hakustaili kushinda ile tuzo.
Ebu soma tena maelekezo yako
 
Sio bila mademu.Ngoma iliitwa Ingekuwa vipi By mwana fa na Jaymo
Bila mademu nani angepiga pamba,bila mademu nani angejiona bomba .... wale mliosomba shule za bweni haya mambo mliyaona
 
Bila mademu nani angepiga pamba,bila mademu nani angejiona bomba .... wale mliosomba shule za bweni haya mambo mliyaona
Ninayo hiyo ngoma.. Ngoja nitakuchekia aliyeimba!!
 
Acha zarau ndugu.Sio kama nabeza uwezo wa Solotheng hapana,ila nasema kipindi cha mashindano hayo hakuwa na ngoma kali at that moment
Kwani si wewe mwenyewe ndiye uliyesema kipindi hicho mashindano yanafanyika ulikuwa bado mtoto!?.Sasa dharau imetoka wapi?.
Ndio maana kuna sehemu kuna mdau kauliza kama Solo alishawahi kuwa kundi la wateule we ukajibu hapana.Nikakushauri usijibu vitu usivovijua kwa sababu wakati hayo mambo yanatokea wewe ulikuwa bado mtoto.
Kuhusu swala la Solo kutokuwa na wimbo mkali kwa kipindi hicho,inategemea wewe na mtazamo wako juu ya wimbo mkali ukoje.
 
Mzee mwenzangu ww ndio huna kumbukumbu nzuri unataka kusema darubini kali imetoka baada ya shindano, hapo umekosea kabla ya shindano darubini kali ilikuwepo.
Na kwa kuweka kumbukumbu sawa aliperform siku ya shindano kiasi watu wakambeba juu juu.
 
Wakati Afande anaperform darubini kali nakumbuka hata Mr.2 (Sugu) alipanda stejini kumsapoti Afande, shangwe lilikua kubwa sana. Uwepo wa Sugu pale stejini ulimpa points sana Afande lkn aliyefunika zaidi alikua Dogo Ditto. Ditto alimfunika sana Afande kwenye ile shoo utafikiri yeye ndo mwenye wimbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…