Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kumuendekeza huyo faza house wakobro hiyo 80k si mnachanga tu? mbona rahisi....
Tatizo sisi tunaokaa uswahili jau sana nyumba moja wapangaji 8 kudadeki, wenye nyumba wenyewe hawana kazi zaidi ya kutegemea hela za kodi yaani jau wana gubu sana.Ni jukumu la faza/ maza house bishoo
Gomeni
Washroom flexible pipe ilikuwa inadondosha maji, nikampigia atume hela nikakinunue 😂😂 na hapo ni kanauzwa tu afu5
Jiwe alikuwa na vituko.Naikumbuka Kauli Ya Jiwe
Kule Stendi Alisema Kama Huwezi Kulipia Tshd 500/= Ya Choo Kaeni Na Mav* Yenu
Watu hamna mchezo kweli. Mimi faza house wangi alinizuia kutengeneza kitu chochote ambacho kukifikia ninahitaji nipande kitu kama stuli au kitu au ngazi.Ni jukumu la faza/ maza house bishoo
Gomeni
Washroom flexible pipe ilikuwa inadondosha maji, nikampigia atume hela nikakinunue 😂😂 na hapo ni kanauzwa tu afu5
Kwani mvua na kujaa mavi chooni kunahusikaje al habibNa nilivyosikia hii mvua ipo ipo hadi mwenzi wa kwanza.
Muacheni apumzike mzee wetu 🤣Jiwe alikuwa na vituko.
Kawakuta na nyie mnamchekeatatzo sisi tunaokaa uswahili jau sana nyumba moja wapangaji 8 kudadekii wenye nyumba wenyewe hawana kazi zaidi ya kutegemea hela za kodi yaani jau wana gubu sana
Kinacholipa ni mkatabakwema wakuu nataka nilianzishe hapa maana mtu unalipa kodi kila baada ya miezi 6 halafu choo kimejaa mwenye nyumba hakai hapa lakini je ni nani mwenye jukumu la kulipa wakati sio mwenye nyumba ndo anaestahili kulipa hyo pesa kama shilingi 80,000 inakuaje wapangaji tupigishwe mchango wa elfu 10 kila chumba wakuu....?
🤣🤣Kwahiyo na sisi tukae na mavi yetu mkuu..?Naikumbuka Kauli Ya Jiwe
Kule Stendi Alisema Kama Huwezi Kulipia Tshd 500/= Ya Choo Kaeni Na Mav* Yenu
YesWatu hamna mchezo kweli. Mimi faza house wangi alinizuia kutengeneza kitu chochote ambacho kukifikia ninahitaji nipande kitu kama stuli au kitu au ngazi.
Pia kitu chochote kinachohusiana na umeme atatuma fundi wake
Mkataba unasoma. Mbona wenye nyumba kabla ya kumpangisha mpangaji kuna mkataba na masharti huwa yanaaandikwa ukikubaliana na masharti ya kwenye mkataba unalipa kodi then unapewa chumbalakini si tunalipa kodi...? je ile kodi si ni kwa ajili ya mambo kama haya...?
Alinichekesha sana siku ilemuacheni apunzkke mzee wetu 🤣
Mzee maisha tunatofautiana, hiyo ni nyingi sana kwangu mkuu humu JF tunaishi maisha ya ndoto tu aisee ila tuna shida mpaka unyayoni.bro hiyo 80k si mnachanga tu? mbona rahisi....
Sio kila kitu ni jukumu la Mwenye nyumba. Muwe mnasoma mikataba ya upangishaji vyumba kabla hujalipa kodi.Jukumu la mwenye nyumba hiyo haina ubishi kama hataki unahama
Mimi nikikumbuka ile anataja mapapai yana korona ilikuwa sijui ni bandarini ile nachekaga sanaAlinichekesha sana siku ile
Anae puu 🤣🤣Kwema wakuu nataka nilianzishe hapa maana mtu unalipa kodi kila baada ya miezi 6 halafu choo kimejaa, mwenye nyumba hakai hapa lakini je ni nani mwenye jukumu la kulipa wakati sio mwenye nyumba ndo anaestahili kulipa hyo pesa kama shilingi 80,000.
Inakuaje wapangaji tupigishwe mchango wa elfu 10 kila chumba wakuu....?
🤣🤣 kupuu ndo kufanyaje mkuuAnae puu 🤣🤣