Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Nyie wapangaji kaeni Kwa kutulia, hv mnajua gharama ya kujenga nyumba? Sio rahisi ndio maana mkajisogeza kupanga. Mavi ni yenu iteni gari linyonye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi yaani mpangaji anye mavi yake halafu mwenye nyumba akazoe mavi yake mavi ya mpangajiNyie wapangaji kaeni Kwa kutulia, hv mnajua gharama ya kujenga nyumba? Sio rahisi ndio maana mkajisogeza kupanga. Mavi ni yenu iteni gari linyonye
Soma mkataba kuhusu maji na umeme unasemajekwani si tunakaa bure...?
Wapangaji mnakuwa na hasiiiiira🤣🤣 wapangaji wangu kipindi flani waliniletea story za kujaa wakati najua mfumo wangu sio wa kujaa mavi, nikaenda kuangalia nikachukua na jamaa wa kufungua chamber zote, tunakuta zimeziba zimejaa mapedi kudadeeekii, hiyo nayo ulitegemea baba mwenye nyumba nilipie??itakua na ww una nyumba ya urithi tu mkuu ndo maana unakua mkali hvo
Wasumbufu sana, mm waliniita vyoo vinajaa kwenda kufungua chamber zimejaa pedi zimeziba, matumizi yao mabovu ya choo wanatakaje mm nigharamie🤣🤣Sahihi yaani mpangaji anye mavi yake halafu mwenye nyumba akazoe mavi yake mavi ya mpangaji
Hakuna kitu kama hicho na hakiji tokea
Ni kwa ajili ya kuishi weweLakini si tunalipa kodi...? Je ile kodi si ni kwa ajili ya mambo kama haya...?
Kwani aliwaambia kodi inajumuisha na mavi yenu? Ni sawa tu na maji safi sasa kwa vile mnalipa kodi mtamdai na Bill za maji awalipie? Wapangaji acheni ufujaji!Lakini si tunalipa kodi...? Je ile kodi si ni kwa ajili ya mambo kama haya...?
Kodi ni kwa ajili ya kukuruhusu wewe kutumia mali yake, full stop, kwenye maapartments kunakuwa na maintenance charge pembeni, unakuta kodi 3m na maintenance 300-500k, huyo lazima anyonyewe choo, taka anashusha tu chini, corridor na common areas zinasafishwa, ulinzi etc hawa hadi generator linawaka chap umeme ukikataLakini si tunalipa kodi...? Je ile kodi si ni kwa ajili ya mambo kama haya...?
Mwenye nyumba wako yuko poa.Ni jukumu la faza/ maza house bishoo
Gomeni
Washroom flexible pipe ilikuwa inadondosha maji, nikampigia atume hela nikakinunue [emoji23][emoji23] na hapo ni kanauzwa tu afu5
HahahaNaikumbuka Kauli Ya Jiwe
Kule Stendi Alisema Kama Huwezi Kulipia Tshs 500/= Ya Choo Kaeni Na Mav* Yenu
Hahahah kama vitu vidogo dogo anashindwaKwa style hii utaweza kumnunulia mpenzi wako dozen ya chupi kweli?
Situation uliyoongelea hapa sio sawa kabisaaaa na ya kujaa choo. Wewe kwenye flexible pipe uwezekano wa kuharibika yenyewe bila wewe kuhusika ni mkubwa.. Oya lewa halafu vunja aluminium window yake halafu mtumie picha whatsapp akutumie hela kufix🤣🤣🤣🤣😎Ni jukumu la faza/ maza house bishoo
Gomeni
Washroom flexible pipe ilikuwa inadondosha maji, nikampigia atume hela nikakinunue 😂😂 na hapo ni kanauzwa tu afu5
Totoo umewaza nini🤣🤣Kwa style hii utaweza kumnunulia mpenzi wako dozen ya chupi kweli?
huu sio ubahili, ni ushambaTotoo umewaza nini🤣🤣
Acha kujiliza mkuu...elfu kumi itoe tu mambo mengine yaende.Kwema wakuu nataka nilianzishe hapa maana mtu unalipa kodi kila baada ya miezi 6 halafu choo kimejaa, mwenye nyumba hakai hapa lakini je ni nani mwenye jukumu la kulipa wakati sio mwenye nyumba ndo anaestahili kulipa hyo pesa kama shilingi 80,000.
Inakuaje wapangaji tupigishwe mchango wa elfu 10 kila chumba wakuu?