Mavee hayajazi choo,kwani mvua na kujaa mavi chooni kunahusikaje al habib
kinachojaza ni maji mpwa wangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mavee hayajazi choo,kwani mvua na kujaa mavi chooni kunahusikaje al habib
Kunya mnye ninyi halafu mwenye nyumba alipe lipeni wenyeweKwema wakuu nataka nilianzishe hapa maana mtu unalipa kodi kila baada ya miezi 6 halafu choo kimejaa, mwenye nyumba hakai hapa lakini je ni nani mwenye jukumu la kulipa wakati sio mwenye nyumba ndo anaestahili kulipa hyo pesa kama shilingi 80,000.
Inakuaje wapangaji tupigishwe mchango wa elfu 10 kila chumba wakuu....?
kwani si tunakaa bure...?Kunya mnye ninyi halafu mwenye nyumba alipe lipeni wenyewe
nlikua sijui hilo mkulungwA asante kwa kunijuzaMavee hayajazi choo,
kinachojaza ni maji mpwa wangu.
itakua na ww una nyumba ya urithi tu mkuu ndo maana unakua mkali hvoKunya mnye ninyi halafu mwenye nyumba alipe lipeni wenyewe
Umeme na maji wapangaji wanatumia huwa analipa mwenye nyumba? Si wanalipa wenyewe .Sembuse choo wanakunyaitakua na ww una nyumba ya urithi tu mkuu ndo maana unakua mkali hvo
amna choo na maji au umeme ni vtu tofauti kabsa na choo mkuu usifananishe mavi na maji au umeme emu chakata ubongo wako vzri mkuuUmeme na maji wapangaji wanatumia huwa analipa mwenye nyumba? Si wanalipa wenyewe .Sembuse choo wanakunya
Wanye wao halafu mwenye nyumba alipe haiwezekani.Lipeni wenyewe
Naikumbuka Kauli Ya Jiwe
Kule Stendi Alisema Kama Huwezi Kulipia Tshs 500/= Ya Choo Kaeni Na Mav* Yenu
unafananisha umeme na mavi serious...? mbna mwendokasi zikiharibika hatuambiwi wananchi tuchangie ili kurekebsha wanarekebsha wenye mradi...?Kwani umeme ukiisha ni nani anayelipa kati yenu na mwenye nyumba?
Hivi unanaelewa maana ya Bili ya maji kulipa mpangaji? Au huelewi definition ya maji ?amna choo na maji au umeme ni vtu tofauti kabsa na choo mkuu usifananishe mavi na maji au umeme emu chakata ubongo wako vzri mkuu
Uache kunya kama ni mgumu kutoa pesaLakini si tunalipa kodi...? Je ile kodi si ni kwa ajili ya mambo kama haya...?
Chimbeni choo chenuKwema wakuu nataka nilianzishe hapa maana mtu unalipa kodi kila baada ya miezi 6 halafu choo kimejaa, mwenye nyumba hakai hapa lakini je ni nani mwenye jukumu la kulipa wakati sio mwenye nyumba ndo anaestahili kulipa hyo pesa kama shilingi 80,000.
Inakuaje wapangaji tupigishwe mchango wa elfu 10 kila chumba wakuu....?
mbina una maneno magumu hvo we mrembo..?Uache kunya kama ni mgumu kutoa pesa
Wapangaji kama mleta mada hujitia wajanja mkataba kama huuelewi ilitakuwa a consult mawakili kumpa tafsiri ya kuwa mpangaji kulipa bili ya maji maana yake nini?Hiyo ni bili ya mpangaji kama bili nyingine za maji na umeme, analipia kwa kadiri anavyotumia.
nasikitika sana hunielewi yaaniHivi unanaelewa maana ya Bili ya maji kulipa mpangaji? Au huelewi definition ya maji ?
Maji yamegawanyika sehemu mbili maji masafi na maji taka
Au wewe definition ya maji kulipwa na mpangaji uliewaje labda? Kwenye kipengele cha bill za maji jukumu la mpangaji?
Sikubali mpangaji achimbe choo chake eneo la nyumba yangu napangisha ni ukiukaji mkataba hilo halimo kwenye mkatabaChimbeni choo chenu