Nani mwenye jukumu la kulipa hela ya kunyonya maji ya choo endapo kitajaa kati ya mwenye nyumba na mpangaji

Nani mwenye jukumu la kulipa hela ya kunyonya maji ya choo endapo kitajaa kati ya mwenye nyumba na mpangaji

Kwema wakuu nataka nilianzishe hapa maana mtu unalipa kodi kila baada ya miezi 6 halafu choo kimejaa, mwenye nyumba hakai hapa lakini je ni nani mwenye jukumu la kulipa wakati sio mwenye nyumba ndo anaestahili kulipa hyo pesa kama shilingi 80,000.

Inakuaje wapangaji tupigishwe mchango wa elfu 10 kila chumba wakuu....?
Kunya mnye ninyi halafu mwenye nyumba alipe lipeni wenyewe
 
Umeme na maji wapangaji wanatumia huwa analipa mwenye nyumba? Si wanalipa wenyewe .Sembuse choo wanakunya

Wanye wao halafu mwenye nyumba alipe haiwezekani.Lipeni wenyewe
amna choo na maji au umeme ni vtu tofauti kabsa na choo mkuu usifananishe mavi na maji au umeme emu chakata ubongo wako vzri mkuu
 
Kunya unye wewe halafu mavi waje wakunyonyee wengine...eboh!!!

Kaa na mavi yako, watakuja kuyanyonya huko huko kwenye utumbo...
 
amna choo na maji au umeme ni vtu tofauti kabsa na choo mkuu usifananishe mavi na maji au umeme emu chakata ubongo wako vzri mkuu
Hivi unanaelewa maana ya Bili ya maji kulipa mpangaji? Au huelewi definition ya maji ?

Maji yamegawanyika sehemu mbili maji masafi na maji taka
Au wewe definition ya maji kulipwa na mpangaji uliewaje labda? Kwenye kipengele cha bill za maji jukumu la mpangaji?
 
Kwema wakuu nataka nilianzishe hapa maana mtu unalipa kodi kila baada ya miezi 6 halafu choo kimejaa, mwenye nyumba hakai hapa lakini je ni nani mwenye jukumu la kulipa wakati sio mwenye nyumba ndo anaestahili kulipa hyo pesa kama shilingi 80,000.

Inakuaje wapangaji tupigishwe mchango wa elfu 10 kila chumba wakuu....?
Chimbeni choo chenu
 
Hiyo ni bili ya mpangaji kama bili nyingine za maji na umeme, analipia kwa kadiri anavyotumia.
Wapangaji kama mleta mada hujitia wajanja mkataba kama huuelewi ilitakuwa a consult mawakili kumpa tafsiri ya kuwa mpangaji kulipa bili ya maji maana yake nini?

Dharau kwa fani za mawakili ndizo zomemfikisha hapa hadi analeta uzi kuwa bili ya maji taka sio jukumu la mpangaji

Ni jukumu la mpangaji mia kwa mia kwa kuzingatia mkataba unaotamka wazi bili za maji ni jukumu la mpangaji
 
Hivi unanaelewa maana ya Bili ya maji kulipa mpangaji? Au huelewi definition ya maji ?

Maji yamegawanyika sehemu mbili maji masafi na maji taka
Au wewe definition ya maji kulipwa na mpangaji uliewaje labda? Kwenye kipengele cha bill za maji jukumu la mpangaji?
nasikitika sana hunielewi yaani
 
Back
Top Bottom