Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Sawa.Uyo supplier wa kutoa pesa nae mwehu Yaan ushinde kwenye mfumo utoe pesa kwa procurements haipo iyo mana akishinda nikudeal na user departments kwa clear specification
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.Uyo supplier wa kutoa pesa nae mwehu Yaan ushinde kwenye mfumo utoe pesa kwa procurements haipo iyo mana akishinda nikudeal na user departments kwa clear specification
Mawazo kama hayo ni chukizo kwa Mungu. Unaanza kufikiria ufisadi kabla hujapata ajira yenyewe?! Je, Mungu akikunyima kazi ili akuepushe na dhambi hiyo, utamlaumu? Tukikosa kazi (ajira), tunalalamika ooooh kazi hakuna, ooooh serikali haitoi ajira, wakati kumbe laana tumezitafuta sisi wenyewe. Mungu hakupi kazi kama unafikiria kwenda kuiba!Habari za jioni wadau!
Tukiwa watoto tulikuwa tunawaza kazi nzuri ni udakatari na sheria ila kwa kadri umri unavyosonga unagundua hata huko ni umasikini tu sana sana uibe dawa ila kutoboa sio rahisi.
Baada ya kutafakari muda mrefu nimeamua kubadilisha fani kabisa na hizo fani tajwa hapo juu nimeona kidogo huwezi kosa hela ya dagaa na bia mbili nje ya mshahara.
Sasa naomba mnisaidie kwa wizarani au taasisi za serikali kati ya hizo fani mbili ipi unaweza kula kwa urefu wa kamba kuliko nyingine iwe kwa deal halali au haramu.
Karibuni kwa uzoefu wenu.
Na hyo ndo character ya wabongo.. no wonder mabos wakihind huwa wanakua na roho mbaya nao.. mtu unajiuliza.. why.. kumbe muhind wawatu keshawasoma wabongo kitambo.. ni washenz sana ngoz nyeusWatanzania uwa sijui tunazaliwa tukiwa na PhD ya upigaji.
Jichanganye umuachie mtz biashara bila kufuatilia umuamini utalia hata awe ndugu yako.
Yaani wewe ndo hakuna unachojua kabisaHakuna dili ambalo mtu wa manunuzi atacheza pasipo kumshirikisha mhasibu.
Supplier ili alipwe kwa wakati inabidi aishi vizuri na mhasibu vinginevyo itakua ni sound tu kila siku.
To me mhasibu is far better kuliko mtu wa manunuzi.
[emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahPamoto siku hizi, zamani bwana, dingi alipitmga pesa enzi hizo hatar, kwenye chuo dishdesh.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kwani umeacha kuwa mtoto kwa Baba na Mama yako?Mimi sio mtoto mkuu soma vizuri Uzi wangu
Dah! Mzee mwenzangu na mimi nimepata uchungu sana, yaani tunawaza kuwa nchi siku moja iendelee iwe corruption free society lakini hawa vijana wetu wanawaza kuiba!!Wewe ni mtoto huu mwandiko wako ni ushahidi.
First born wangu namlipia cash University wala sijataka aangaike na bodi ya mikopo, halafu nikiona watoto tunaowaangaikia wasome hawana akili.
Kwanza si lazima upate kazi ya kile ulichosomea, Hussein Mwinyi ni daktari wa binadamu na hajafanya hata internship wala kupractise huo udaktari wake.
Kingine ambacho ndio muhimu sana unaposoma University au chuo chochote lengo kuu ni uwe na akili na maarifa ya kuweza kusurvive duniani na kuajiliwa si lazima.
Naandika kama mzazi inatia uchungu sana ukiona kijana wako hana akili licha kuinvest pesa nyingi na nguvu nyingi kumsomesha.
Ukiwa na wazo la kupiga wewe tayari akili huna.
Mhasibu ni Clatous Chama ( Kiungo cha Chini ) na Afisa Manunuzi ni Jonas Mkude ( Kiungo wa Juu ) ambao Wote wanategemeana kwa Ushindi wa Timu ( Taasisi ) uliyopo.Habari za jioni wadau!
Tukiwa watoto tulikuwa tunawaza kazi nzuri ni udakatari na sheria ila kwa kadri umri unavyosonga unagundua hata huko ni umasikini tu sana sana uibe dawa ila kutoboa sio rahisi.
Baada ya kutafakari muda mrefu nimeamua kubadilisha fani kabisa na hizo fani tajwa hapo juu nimeona kidogo huwezi kosa hela ya dagaa na bia mbili nje ya mshahara.
Sasa naomba mnisaidie kwa wizarani au taasisi za serikali kati ya hizo fani mbili ipi unaweza kula kwa urefu wa kamba kuliko nyingine iwe kwa deal halali au haramu.
Karibuni kwa uzoefu wenu.
Kuna mbunge aliitaka serikali ianze kufundisha wizi kwa watumishi wake maana wote wanawaza kuiba tuu.Hivi unaelewa kama tunajinyima sana kuwalipia school fees shule za gharama halafu watoto wenyewe hamna akili?