Nani yuko kwenye nafasi nzuri ya kupiga hela kati ya Mhasibu na Afisa manunuzi?

Nani yuko kwenye nafasi nzuri ya kupiga hela kati ya Mhasibu na Afisa manunuzi?

Uyo supplier wa kutoa pesa nae mwehu Yaan ushinde kwenye mfumo utoe pesa kwa procurements haipo iyo mana akishinda nikudeal na user departments kwa clear specification
Sawa.
 
Habari za jioni wadau!

Tukiwa watoto tulikuwa tunawaza kazi nzuri ni udakatari na sheria ila kwa kadri umri unavyosonga unagundua hata huko ni umasikini tu sana sana uibe dawa ila kutoboa sio rahisi.

Baada ya kutafakari muda mrefu nimeamua kubadilisha fani kabisa na hizo fani tajwa hapo juu nimeona kidogo huwezi kosa hela ya dagaa na bia mbili nje ya mshahara.

Sasa naomba mnisaidie kwa wizarani au taasisi za serikali kati ya hizo fani mbili ipi unaweza kula kwa urefu wa kamba kuliko nyingine iwe kwa deal halali au haramu.

Karibuni kwa uzoefu wenu.
Mawazo kama hayo ni chukizo kwa Mungu. Unaanza kufikiria ufisadi kabla hujapata ajira yenyewe?! Je, Mungu akikunyima kazi ili akuepushe na dhambi hiyo, utamlaumu? Tukikosa kazi (ajira), tunalalamika ooooh kazi hakuna, ooooh serikali haitoi ajira, wakati kumbe laana tumezitafuta sisi wenyewe. Mungu hakupi kazi kama unafikiria kwenda kuiba!
 
Watanzania uwa sijui tunazaliwa tukiwa na PhD ya upigaji.

Jichanganye umuachie mtz biashara bila kufuatilia umuamini utalia hata awe ndugu yako.
Na hyo ndo character ya wabongo.. no wonder mabos wakihind huwa wanakua na roho mbaya nao.. mtu unajiuliza.. why.. kumbe muhind wawatu keshawasoma wabongo kitambo.. ni washenz sana ngoz nyeus
 
Hakuna dili ambalo mtu wa manunuzi atacheza pasipo kumshirikisha mhasibu.
Supplier ili alipwe kwa wakati inabidi aishi vizuri na mhasibu vinginevyo itakua ni sound tu kila siku.
To me mhasibu is far better kuliko mtu wa manunuzi.
Yaani wewe ndo hakuna unachojua kabisa
 
Wewe ni mtoto huu mwandiko wako ni ushahidi.

First born wangu namlipia cash University wala sijataka aangaike na bodi ya mikopo, halafu nikiona watoto tunaowaangaikia wasome hawana akili.

Kwanza si lazima upate kazi ya kile ulichosomea, Hussein Mwinyi ni daktari wa binadamu na hajafanya hata internship wala kupractise huo udaktari wake.

Kingine ambacho ndio muhimu sana unaposoma University au chuo chochote lengo kuu ni uwe na akili na maarifa ya kuweza kusurvive duniani na kuajiliwa si lazima.

Naandika kama mzazi inatia uchungu sana ukiona kijana wako hana akili licha kuinvest pesa nyingi na nguvu nyingi kumsomesha.

Ukiwa na wazo la kupiga wewe tayari akili huna.
Dah! Mzee mwenzangu na mimi nimepata uchungu sana, yaani tunawaza kuwa nchi siku moja iendelee iwe corruption free society lakini hawa vijana wetu wanawaza kuiba!!
Hivi kijana kama huyu ukimuachia nchi si atafanya kama wale wakaka wa kule Sri Lanka?
 
Habari za jioni wadau!

Tukiwa watoto tulikuwa tunawaza kazi nzuri ni udakatari na sheria ila kwa kadri umri unavyosonga unagundua hata huko ni umasikini tu sana sana uibe dawa ila kutoboa sio rahisi.

Baada ya kutafakari muda mrefu nimeamua kubadilisha fani kabisa na hizo fani tajwa hapo juu nimeona kidogo huwezi kosa hela ya dagaa na bia mbili nje ya mshahara.

Sasa naomba mnisaidie kwa wizarani au taasisi za serikali kati ya hizo fani mbili ipi unaweza kula kwa urefu wa kamba kuliko nyingine iwe kwa deal halali au haramu.

Karibuni kwa uzoefu wenu.
Mhasibu ni Clatous Chama ( Kiungo cha Chini ) na Afisa Manunuzi ni Jonas Mkude ( Kiungo wa Juu ) ambao Wote wanategemeana kwa Ushindi wa Timu ( Taasisi ) uliyopo.
 
Waajiriwa wa Tanzania wanawaza kupiga hela kuliko kutoa huduma; ndiyo maana reshuffle hazikomi
 
Hivi unaelewa kama tunajinyima sana kuwalipia school fees shule za gharama halafu watoto wenyewe hamna akili?
Kuna mbunge aliitaka serikali ianze kufundisha wizi kwa watumishi wake maana wote wanawaza kuiba tuu.
 
Back
Top Bottom