BakiliMuluzi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2022
- 1,578
- 2,353
Awamu ya wezi na wauaji hana sifa nayo, yupo hapo kwa ajili ya awamu ijayo baada ya hii kupita haraka kama upepo. Mguseni tuone.Nawe ni miongoni mwa mliolipwa na waziri mkuu ili kumtetea nilifikili unazo sababu zinazokufanya uone si halali kuwajibika kumbe hakuna kitu
Wacha tuone mwisho itakuwaje maana hana sifa za kuwa waziri mkuu wa awamu ya sita