Naogopa kumueleza Mke wangu ukweli kwamba nilichepuka


Wewe ni muongo! Ngono kwa mwanaume ni process hivyo huwezi kusema hujui kilichotokea.

Kwa mwanamke inawezekana ukampa kilevi ukamtanua na kufanya yako ila mwanaume lazima udindishe, utafute mbunye, umlale mwanamke na kumwaga wazungu.

Haya yote huwezi kuyafanya bila kuwa na ufahamu wa kinachoendelea.

Kawadangaye watoto.
 
Mchukue huyo dada mpeleke kituo cha afya mpime afya kisha uanze PEP kukuzuia usipate HIV ikiwa huyu dada anao.

Ila mtihani sasa ukiwa unatumia hizo dawa inabidi usikutane kimwili na mke wako mpaka dozi iishe. Sijui utapata namna gani ya kumwambia.
Unatengeneza tatizo tu, unalikuza kwa hizo siku unazomeza pep, then ukimaliza kumeza na tatizo linaisha maisha yanasonga.
 
Mwenyewe sielewi..haya mambo najuaga wanafanyiwaga wanawake...mwanaume unakuwaje unconsious[emoji849][emoji849].....udhaifu wa hali ya juu aisee so ht humo ndn ukute amebakwa
 
Leo ndo nafahamu kuwa mwanaume anaweza kusex na asifeel kiashiria chochote cha kumuwezesha kujua kwamba alingonoka.
Anyway fuata ushauri wa wadau anza PEP kabla ya masaa 72 kupita huyo sexual partner ni high risk
 
Duh[emoji848]
 
[emoji23][emoji23]
 
Mwenyewe sielewi..haya mambo najuaga wanafanyiwaga wanawake...mwanaume unakuwaje unconsious[emoji849][emoji849].....udhaifu wa hali ya juu aisee so ht humo ndn ukute amebakwa

Kwani hujui jinsia ya huyu kiumbe?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kwa hio mod kajigeuza mfungisha ndoa ee. anyway kasingizie ulibakwa,yaani ulizinduka tu ukakuta binti ndo anashuka zake. Kesi kwisha
Wewe ni mtu mwenye experience kubwa Sana ebu nipe ushauri wa Nini nimwambie mtu wangu anielewe
 
acha hizo sijawahi mzimisha mtu na kumtumia hivyo sina experience
Wewe ni mtu mwenye experience kubwa Sana ebu nipe ushauri wa Nini nimwambie mtu wangu anielewe
 
Mzee baba sikumbuki chochote kikichotokea huo ndio ukweli naomba ushauri wako nifanye nini?
Oya tutolee upuuzi wako hapa. Ina maana kwa ufara huo wewe unaweza kukuta hata uliliwa kiboga halafu hausemi.
 
Mkuu sijakuelewa?
Inamaana ujakamtwa ila unataka ukajisemelee kwa mpenz wako kwamba umechepuka?

Akili za wapi hizi?

Uliona wapi muibaji anaitwa mwizi bila ya kukamatwa,

Nikutoe hofu,
Wee mpk Sasa Ni mtu Safi kabisa maana hujakatwa na kidhibiti.

Tena relax na ondoa hofu kabisa[emoji4]
 
Ndugu usiwe sometimes una kichwa kigumu kuelewa mbona wenzako wamerlewa vizuri ebu rudia kusoma uzi wangu alafu soma comment nikudanganye ili iweje? Kama huna chakuzungumza nivizuri ukaa kimya kuliko kuketa masiala kwenye vitu serious
 
Ukweli utakuweka huru ila utabaki donda kwa kwa mwenzako, tafakari njia sahihi ya kulitatua hili pasipo kuumiza hisia za mwenzako nafsi yako haikupenda so ni kukaa kimya tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…