The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Hongera Mama kijacho,
Tuliosoma Cuba tumekuelewa.
Tuliosoma Cuba tumekuelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekwambia njoo uanze gym program hutaki, endelea kunenepa hvo siku ukiambiwa panda juu u-ride utajua mwenyeweWewe unanisema huku min -me ananisemea hukuu
Kwani una ngapi mkuu?Umesema 50kg ndio mamiss sisi wengine mishangazi nimelia sana
nina kitambii hadi kanisani mchungaji aliniuliza mbona miaka nenda rudi sijifungui?Kwani una miliki kitambi😁😁
Uzuri mtu hawezi kukuomba kitu ambacho anajua huna😂Nimekwambia njoo uanze gym program hutaki, endelea kunenepa hvo siku ukiambiwa panda juu u-ride utajua mwenyewe
Mkuu umewaza kwa akili kubwa sna 😁😁Hongera Mama kijacho,
Tuliosoma Cuba tumekuelewa.
Unakula mchemsho na bia za ovyo eeeeeenina kitambii hadi kanisani mchungaji aliniuliza mbona miaka nenda rudi sijifungui?
Nikamwambia sio mimba ni kitambi!
Akaniambia alidhani ni mimba ili tufunge nijifungue salama😥
Nilikua na 79 asubuhi nikasema hii suruali ilikua inanibana sana mbona leo imekaa fresh acha nipime kg nimepima lahaulaaah nimepungua nikamshmuru Mungu nina 75kgKwani una ngapi mkuu?
SitumiiUnakula mchemsho na bia za ovyo eeeeee
Nicheki pm tufanye maombi,siku 3 tu utakitafuta kitambi na usijue kimepotelea wapi.nina kitambii hadi kanisani mchungaji aliniuliza mbona miaka nenda rudi sijifungui?
Nikamwambia sio mimba ni kitambi!
Akaniambia alidhani ni mimba ili tufunge nijifungue salama😥
Kama tako lipo nimekusamehe bure .Nilikua na 79 asubuhi nikasema hii suruali ilikua inanibana sana mbona leo imekaa fresh acha nipime kg nimepima lahaulaaah nimepungua nikamshmuru Mungu nina 75kg
Tako litoke wapi? Naona mashavu na kitambi ndo zimebeba kg nyingiiKama tako lipo nimekusamehe bure .
Ningekuandikia waraka sema npo safarini siwezi andika SanaUzuri mtu hawezi kukuomba kitu ambacho anajua huna😂
Sijawahi kuambiwa hivyo, nishajua sababu anajua kabisa sijuii🤸
Kitambi na tako hua havikai pamoja,lazima kuna mmoja atamvuta mwenzake.Kama tako lipo nimekusamehe bure .
Umemaliza. Siongezi kituBinadamu ameumbwa kufanya adaptation to current environment.
The day umebeba mwanao kuba hali flani itakuvaa ambayo itakufanya uweze kufanya kila kitu kwa ajili ya mtoto wako hata wawe kumi bila kuchoka.
Subiri nkupe ushuhuda, kipindi tuna date na wife, alikua mtu wa kulala vbaya mno. Yaan kwa mfano akiingia ndani ijumaa anaweza kutoka j3. Muda woote akimaliza tu kazi zake ni kitanda. Wakati mimi ndo kwanza siku inaanza. Tunaeza kula lets say saa moja usiku, yeye akimaliza tu anaenda kuzima. Mimi nasepa zangu narudi hata saa tano huko ndo nalala.
Lakn tulivopata tu mtoto, alibadilika ghafla. Yaani anaweza kuamka hata mara 9 kwa usiku mmoja. Atanyonyesha, mara kubadilisha diaper, mara kucheza na mtoto n.k.
Na asubuhi mapeema yuko live , mara apike chakula, sijui afue manguo, anijali na mimi na mavitu yote. No complains or anythng. Mtofo muda wote msafi, ana afya kubwa, nyumba iko standard n.k, vitu vyangu ameorganize, chakula on time na mashughuli yote.
So, hata kwako itakua hvyo. The joy of life inatokana na kuona uzao wako.
Kamwe usiogope, tena kama unaweza pata watoto mapema ili ufurahie kuona wakiwa wanakua.
Usitamani kua mwanaume, kuna vitu ambavyo tunapitia, ungeambiwa ungekimbia spidi ya fumanizi.
Kila la kheri
Mungu ni wetu sote! Wanaume mlivyo wanafki nikipita wanapiga ipsiiiii Mungu anawaonaNingekuandikia waraka sema npo safarini siwezi andika Sana
😁😁😁 ila kuna wenye vitambi na tako ,wakija kwa mbali hawaeleweki nyuma ni wap mbele ni wap.Kitambi na tako hua havikai pamoja,lazima kuna mmoja atamvuta mwenzake.
Msisimko upi huo ulioupata? Usikute ni msisimko wa kutamani papuchi.Ila Mwanamke aheshimike aisee nimeona video jinsi anavyozaa aisee mpaka nimesisimka sana. 😔
Aisee mm nkionaga mdada ana kitambi sijui naonaje hua naondoka kimya kimya nashikilia suruali kwa Mkono hata sivaiDuh yani nikionaga hivyo alafu nikikumbuka kitambi ni juhudi za mtu binafsi huwa nasikia hasira sana.
Hua wamekaa kama Yai au Kitumbua,hujui mbele wapi na nyuma wapi.😁😁😁 ila kuna wenye vitambi na tako ,wakija kwa mbali hawaeleweki nyuma ni wap mbele ni wap.