Naogopa kuwa mama

Naogopa kuwa mama

Binadamu ameumbwa kufanya adaptation to current environment.
The day umebeba mwanao kuba hali flani itakuvaa ambayo itakufanya uweze kufanya kila kitu kwa ajili ya mtoto wako hata wawe kumi bila kuchoka.
Subiri nkupe ushuhuda, kipindi tuna date na wife, alikua mtu wa kulala vbaya mno. Yaan kwa mfano akiingia ndani ijumaa anaweza kutoka j3. Muda woote akimaliza tu kazi zake ni kitanda. Wakati mimi ndo kwanza siku inaanza. Tunaeza kula lets say saa moja usiku, yeye akimaliza tu anaenda kuzima. Mimi nasepa zangu narudi hata saa tano huko ndo nalala.
Lakn tulivopata tu mtoto, alibadilika ghafla. Yaani anaweza kuamka hata mara 9 kwa usiku mmoja. Atanyonyesha, mara kubadilisha diaper, mara kucheza na mtoto n.k.
Na asubuhi mapeema yuko live , mara apike chakula, sijui afue manguo, anijali na mimi na mavitu yote. No complains or anythng. Mtofo muda wote msafi, ana afya kubwa, nyumba iko standard n.k, vitu vyangu ameorganize, chakula on time na mashughuli yote.
So, hata kwako itakua hvyo. The joy of life inatokana na kuona uzao wako.
Kamwe usiogope, tena kama unaweza pata watoto mapema ili ufurahie kuona wakiwa wanakua.
Usitamani kua mwanaume, kuna vitu ambavyo tunapitia, ungeambiwa ungekimbia spidi ya fumanizi.
Kila la kheri
Umemaliza. Siongezi kitu
 
Back
Top Bottom