Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino

siku hizi hakuna kungoa wanaua tu mizizi ya jino linabak na kaz ya kutafuna.
ukitaka kuwa free from shida za meno tafuna punje za karafuu kila siku 2 asubuh na jion hutaumwa meno
Sawa
 
Mi natumia hii nikikosa hela ya ile ya kutoka forever living products ,nzuri sn
Naona hiyo Yako wameongeza ingredients
 

Attachments

  • Screenshot_20240116-104811.jpg
    50.9 KB · Views: 7
Mi natumia hii nikikosa hela ya ile ya kutoka forever living products ,nzuri sn
Naona hiyo Yako wameongeza ingredients
Hiyo ya forever living ndio ipi, na inauzwa bei gani

Maana mimi nikisikia forever living naona network marketing tu na watu waliolizwa na hiyo scheme 😁
 
Hiyo ya forever living ndio ipi, na inauzwa bei gani

Maana mimi nikisikia forever living naona network marketing tu na watu waliolizwa na hiyo scheme 😁
Aisee dawa Yao noma
Hutojutia, elf 20 Kwa sasa intakuwa inauzwa
Zile products ni ghali ila uhakika .
Kule we acha wafanye biashara zao,we nunua tu Kwa matumizi Yako .

Nimefulia sshv,🤣 natumia nyingine Kwa shida
 

Attachments

  • Screenshot_20240202-085127_1.jpg
    32.2 KB · Views: 6
Aisee dawa Yao noma
Hutojutia, elf 20 Kwa sasa intakuwa inauzwa
Zile products ni ghali ila uhakika .
Kule we acha wafanye biashara zao,we nunua tu Kwa matumizi Yako .

Nimefulia sshv,🤣 natumia nyingine Kwa shida
Ntaitafuta, kumbe wazee wa "good morning hata jioni" Huwa na products za uhakika. Shukrani 🙏🏽
 
Wasalaam


Ndugu zanguni njashukur kwa ushauri,


Usiku kuamkia leo tarehe 2/2 sijalala hata,jino lilichachamaa bila mapumziko,

Saa 11 nipo hospitalini t hata madirisha hawajafungua, nipo hospitalini jino lilipoa nusu nighairi kung'oa,nikasema usinitanie,

Nimeingia kuchoma sindano ya ganzi,nimemuonyesha dr jino linaloniuma, dr akaniuliza tutoe yote mawili au moja??

Nilishtuka, nikamwambia nitoe moja, akasema haiwezekani yote ni mabovu tutoe yote, akasema utatoa leo kesho utakuja tena,,, nikamwambia sawa ning'oe yote,

Nashukuru sasa,nipo na uguza madonda.
 
Pole sana..
 
Mi natumia hii nikikosa hela ya ile ya kutoka forever living products ,nzuri sn
Naona hiyo Yako wameongeza ingredients
Wana products nzuri sana hawa dabur Kuna moja nilitumia sikumbuki ni ipi ila ilikuwa kali hadi kinywa kama kinakufa ganzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…