ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
satellites haijui kwa mama kibonge au wete nisisi wakaz ndio tuna update hizo mamboSatellites
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
satellites haijui kwa mama kibonge au wete nisisi wakaz ndio tuna update hizo mamboSatellites
ipo hivyo...ila wabongo awapendi kutumia ubongosatellites haijui kwa mama kibonge au wete nisisi wakaz ndio tuna update hizo mambo
Mkuu Hawa mbuzi wanaona Kila unachofanya,Yani wanasatelite ya kukuona Kila mahali,wanajua gest Gani unaingia Chocho Gani upo,tena wale wanao oga bafu za paspot saizi uswahilini wanachunguliwa kishenzi
wa bongo labda wakiambia ubongo ni app ndio wataanza kutumia 😁ipo hivyo...ila wabongo awapendi kutumia ubongo
Kuna watu wanaitwa local guides kwa google community ni Kazi ya Bure kabisa tunajitolea kufanya kitu kwa Dunia yetu Mimi binafsi nina nyota nne saivi View attachment 2848941
Hii nchi imejaa tope na kamasi kichwani, tupotupo tu tunavuta oksijeni....sio Tanzania
kumbe Kuna kuokota huko mbele ya safari chief?broh hiyo kazi sio ya bure keep going the time will come hao watu watakutafuta...hakuna kazi ya bureView attachment 2848949
Hii nchi imejaa tope na kamasi kichwani, tupotupo tu tunavuta oksijeni....
View attachment 2848945
View attachment 2848947
Google wanapata Taarifa kwa njia hizi hpa chini:-Moja kwa moja kwenye point. Wajuzi watujuze ni kwa vipi Google inazo barabara na vinjia hata vya vijijini swekeni kabisa. Na mara nyingine wameweka hadi majina ya mitaa.
kumbe Kuna kuokota huko mbele ya safari chief?
Mental slavery!!Hii nchi imejaa tope na kamasi kichwani, tupotupo tu tunavuta oksijeni....
View attachment 2848945
View attachment 2848947
Kuna Google map ya kulipia unapata clear images with 3D views unazoom utakavyo na picha ni za muda ule ule Google map ya Bure mnaona images zakale mno
Utakuwa jirani yangu.google inapata feeders kutoka kwa watu kama mimi na wewe...taarifa zote unazo ziona zimewekwa na watu kana mimi na wewe kwa kifupi hakuna mtambo wowote unao weza kuotea mtaa wa eneo lako bila mtu kuuweka huo mtaa...!
kuna watu wameajiliwa kwaajili ya kuhakikisha mitaa inapatikana kwenye google. na vizuri zaidi ni kuwa wewe pia kupitia smartphone yako unaweza kuongeza mtaa wowote au kubadilisha chochote kwenye mtaa uliopo teyari kwenye google.
mfano umeiomba google ikupeleke sehemu B lakini kwa bahati mbaya Google inaitambua sehemu B lakini inakuzungusha na kukupeleka eneo jingine tofauti. huku wewe ukiwa unapafahamu sehemu B kiuharisia. unaweza kuedit ilo eneo kwenda kwenye eneo sahihi.
View attachment 2848469
unaweza ukaset mtaa jina unalotaka wewe na kila mtu akauona...!
kwa hisani ya google hii inatwa google withing googleGoogle wanapata Taarifa kwa njia hizi hpa chini:-
Picha za Satelaiti: Ramani za Google hutumia picha za setilaiti ili kunasa maoni ya kina ya uso wa Dunia. Taswira hii huruhusu Google kuona mpangilio wa mitaa, majengo na vipengele vingine vya kijiografia. Upigaji Picha wa Angani: Kando na picha za setilaiti, Google pia hutumia upigaji picha wa angani, unaohusisha kunasa picha kutoka kwa ndege zinazoruka kwenye miinuko ya chini. Hii hutoa picha za kina zaidi na zenye msongo wa juu ikilinganishwa na mionekano ya setilaiti. Taswira ya Mtaa: Google hutuma magari yaliyo na kamera za digrii 360 ili kupiga picha za kiwango cha mtaani. Magari haya, yanayojulikana kama magari ya Taswira ya Mtaa ya Google, hupita katika maeneo mbalimbali, yakipiga picha za mitaa, vitongoji na alama muhimu. Data hii kisha huunganishwa kwenye Ramani za Google, kuruhusu watumiaji kuchunguza mitaa na mazingira. Michango ya Watumiaji: Ramani za Google huruhusu watumiaji kuchangia maelezo, kama vile kuongeza au kusahihisha maelezo kuhusu mitaa, biashara na maeneo ya vivutio. Google hutumia kanuni na ukaguzi wa mwongozo ili kuthibitisha na kujumuisha michango hii ya watumiaji kwenye data ya ramani. Wajuzi wa Mitaa: Google ina programu inayoitwa "Wajuzi wa Mitaa," ambapo watumiaji wanaweza kuchangia ukaguzi, picha na maelezo ya ziada kuhusu maeneo ya karibu. Mpango huu husaidia kuimarisha usahihi na ukamilifu wa data ya eneo. Vyanzo Rasmi vya Data: Google hujumuisha data kutoka kwa vyanzo rasmi, kama vile mashirika ya serikali na mamlaka ya manispaa. Hii inaweza kujumuisha majina rasmi ya barabara, anwani, na maelezo mengine ya kijiografia. Kujifunza kwa Mashine na Uendeshaji Kiotomatiki: Google hutumia algoriti za hali ya juu na mbinu za kujifunza za mashine ili kuchanganua na kufasiri kiasi kikubwa cha data iliyokusanywa. Teknolojia hizi husaidia kuboresha usahihi wa ramani, kutambua mabadiliko katika mandhari, na kusasisha maelezo kwa wakati ufaao. Kwa kuchanganya vyanzo hivi mbalimbali vya data na kutumia teknolojia za hali ya juu, Google inaweza kuunda na kudumisha huduma pana na sahihi ya uchoraji ramani. Inafaa kukumbuka kuwa mchakato huo unaendelea, na Google husasisha ramani zake mara kwa mara ili kuonyesha mabadiliko katika ulimwengu wa kweli, na hivyo kuhakikisha kwamba watumiaji wanapata taarifa za sasa na sahihi zaidi.
Amin rasta hahaha
Hata mm nimeshangaasio Tanzania
kwanini mkuuUtakuwa jirani yangu.