Naomba kuelezwa ni nani Mwingine zaidi ya Dkt Tulia na David Kafulila amewahi kurejesha Chenji Serikalini?

Ulitaka ni wakati gani tuseme sifa zake na uzalendo wake kwa Taifa letu.
 
Naona unapaniki sana bila saba zaidi ya wivu na chuki binafsi .
 
Huoni kuna watu watakopa ili awe Rais na akiwa Rais auze nchi?
.Mtu ataeweza kopesheka 1 tilion hawez kuwa na shda ndogo ndogo za pesa za mirad ya milioni 100
 

Sio kurudisha chenji Tu

Wengine walikuwa hawachukui ela kabisa

Leo nakutajia wawili Tu

Zito kabwe na January makamba
 
Sio kurudisha chenji Tu

Wengine walikuwa hawachukui ela kabisa

Leo nakutajia wawili Tu

Zito kabwe na January makamba
Sio rushwa kurudisha Fedha za miradi,
Zitto hajawahi kuwa Kiongozi wa Serikali hata hivyo
 
Nimeamua niandike haya kueleza kuwa kuna watu ni waaminifu na wazalendo sana,ambao miongoni mwao ni hawa niliowataja hapa.
Kurejesha fedha ni aidha mradi umejengwa chini ya kiwango au ameshindwa kutumia akili za kawaida kbs kuomba kubadilisha matumizi ya fedha hizo ili kutatua kero zingine lukuki ambazo ziko kwenye maeneo yao ya kazi!!!
 
Kurejesha fedha ni aidha mradi umejengwa chini ya kiwango au ameshindwa kutumia akili za kawaida kbs kuomba kubadilisha matumizi ya fedha hizo ili kutatua kero zingine lukuki ambazo ziko kwenye maeneo yao ya kazi!!!
Mradi ulijengwa katika viwango vinavyotakiwa na kukubalika. Huwezi pia ukajipangia matumizi yako kabla ya kufuatwa kwa utaratibu.maana lazima ufahamu kila kitu ni lazima kipitie utaratibu maalumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…