Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #21
Swali lako haliendani wala kuhusiana na nilichoandika mimiDr.Tulia ni chama gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali lako haliendani wala kuhusiana na nilichoandika mimiDr.Tulia ni chama gani?
Uchawa kazi ngumu.Ndugu zangu Watanzania,
Kuna watu ni WAZALENDO kwelikweli,ni wasafi sana, ni waaminifu waliopitiliza,ni wacha Mungu na wenye Hofu ya Mungu
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mimi ni mzalendo na msema kweli na siyo chawa.Uchawa kazi ngumu.
Nimebubujikwa na machozi ndg yangu MoshambwaNdugu zangu Watanzania,
Kuna watu ni WAZALENDO kwelikweli,ni wasafi sana, ni waaminifu waliopitiliza,ni wacha Mungu na wenye Hofu ya Mungu sana na wana uchungu mkubwa Sana na Maisha ya watanzania. Miongoni mwa watu hao basi ni hawa watu wawili ambao wamewahi ishitua Tanzania na kugusa mioyo ya mamilioni ya watanzania.
afikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Serikali ya Mama imewachukulia hatua gani za kisheria?Ni watumishi waandamizi waliopewa dhamana ya kusimamia pesa za umma.lakini kwa Tamaa wanaamua kukiuka viapo vyao na kufuja pesa za umma.
Hatua za kisheria huwa zinachukuliwa haraka sana ikiwa ni pamoja na kusimamishwa kazi na kufikishwa mahakamani kujibu mashtaka.Serikali ya Mama imewachukulia hatua gani za kisheria?
Toa mfano hata mmoja ambaye amechukuliwa hatua kipindi hiki cha Mama Jemedari wetu?Hatua za kisheria huwa zinachukuliwa haraka sana ikiwa ni pamoja na kusimamishwa kazi na kufikishwa mahakamani kujibu mashtaka.
Hata saa mbovu Kuna wakati inapatia muda, Nakubaliana na wewe mtu kurudisha chenji sio jambo rahisi ukizingatia pesa tayari iliwekwa kwenye akaunti.Ndugu zangu Watanzania,
Kuna watu ni WAZALENDO kwelikweli,ni wasafi sana, ni waaminifu waliopitiliza,ni wacha Mungu na wenye Hofu ya Mungu sana na wana uchungu mkubwa Sana na Maisha ya watanzania. Miongoni mwa watu hao basi ni hawa watu wawili
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nenda mahakamani ndio utajua wanaochukuliwa hatua.Toa mfano hata mmoja ambaye amechukuliwa hatua kipindi hiki cha Mama Jemedari wetu?
Tatizo Tanzania Watu hawako seriou kabisa na ndio maana hatujielewi,Ndugu zangu Watanzania,
Kuna watu ni WAZALENDO kwelikweli,ni wasafi sana, ni waaminifu waliopitiliza,ni wacha Mungu na wenye Hofu ya Mungu sana na wana uchungu mkubwa Sana na Maisha ya watanzania. Miongoni mwa watu hao basi ni hawa watu wawili ambao wamewahi ishitua Tanzania na kugusa mioyo ya mamilioni ya watanzania.
Ngoja niwape story bila kuwachosha kuelekea wikendi. Ilikuwa hivi Mheshimiwa Chuma Mwenyewe David Kafulila akiwa katibu Tawala Mkoa wa Songwe alipewa Billion Sita kujenga mpaka kumaliza ujenzi wa Makao makuu ya mkoa wa Songwe yanayopatikana katika kata ya Mlowo Eneo la Nselewa. Lakini Chuma kwa kutumia mfumo wa Force Akaunti katika ujenzi wa Makao makuu hiyo hakumaliza pesa hiyo.
Ambapo mpaka jengo linamalizika na kukamilika Chuma Kafulila akabakisha Chenji ya Karibu Billion Mbili.Siku hiyo anasoma taarifa hiyo mbele ya waziri mkuu mwaka 2020 Ofisi za makao makuu ya mkoa ,watu wote walibaki Midomo wazo na kustaajabu Uzalendo alio uonyesha CHuma Kafulila. Nakumbuka siku hiyo alisoma taarifa hiyo kwa umakini na utulivu wa hali ya juu sana. Na kwa bahati nzuri mimi mwenyewe nilikuwepo siku hiyo na nilikuwa karibu sana eneo la Tukio na nilikuwa nimesimama jirani na Mheshimiwa David Silinde ambaye siku hiyo alipewa nafasi ya kuzungumza pia. Nilikuwa jirani maana nilikuwa ni kiongozi wakati huo kwenye jumuiya ya vijana yaani UVCCM.
Siku hiyo nakumbuka wakati tunarejea majumbani Chuma Kafulila alikuwa ni gumzo sana tena sana midomoni mwa watu ,kwa namna alivyo onyesha uzalendo wa kipekee na uaminifu wa kiwango cha juu sana.
Mwingine ni Dada wa Taifa na Rais wa IPU na msomi Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini.huyu sina sababu ya kueleza mengi maana mnakumbuka Billion kadhaa alizorejesha serikalini baada ya kubana matumizi kule Bungeni.
Nimeamua niandike haya kueleza kuwa kuna watu ni waaminifu na wazalendo sana,ambao miongoni mwao ni hawa niliowataja hapa.
Jiulizeni ndugu zangu watanzania ni mara ngapi mmesikia kuwa mradi fulani Umepelekewa mamillioni kwa mamillioni ya pesa, lakini pesa zimekwisha na mradi haujafika hata nusu na hela haieleweki iliko kwenda? Mara ngapi mmesikia miradi kama vile ujenzi wa shule au kituo cha afya au barabara au usambazaji wa maji unakatu umekwama kukamilika kwa kuwa tu mapesa yaliyotolewa yameliwa na kuisha kabla hata mradi haujafika hata Nusu yake? Hamjaona haya wanapofanya ziara mawaziri wetu huko mikoani wakisikitika mpaka wanatamani kulia baada ya kukuta pesa zimeliwa? Hamjaona waziri mkuu wetu akiongea kwa uchungu na kwa huzuni na kuagiza ukaguzi na uchunguzi ufanyike kubaini waliotafuna pesa?
Lakini vyuma hivi Mheshimiwa Dkt Tulia pamoja na David Kafulila vilirejesha Chenji ya mamilioni kwa mamilioni,pesa ambazo wangeamua kuzichepusha kutunisha akaunti zao benki. Lakini kwa uzalendo wao wakasema hapana acha turejeshe pesa hizi ili zikajenge vituo vya afya ,shule, usambazaji wa maji safi na salama,umeme, barabara n.k.
Mwisho niseme tu kuwa mimi ni mzalendo na nimekuwa na tabia ya kutetea na kuwasemea wazalendo wote. Mimi sioni haya wala aibu kumtetea na kumsemea mzalendo bure kabisa pasipo malipo ya aina yoyote ile wala kupewa hata mia tano tu ya Vocha. Nataka Taifa liwe na utamaduni wa kuwaunga mkono wazalendo na wachapakazi wa Taifa letu ,tusiache wakachafuliwa na kushambuliwa na wabaya .ndio maana kuna watu awali wakasema mara nalipwa kwa uchawa ,wengine wakasema nalipwa na Mheshimiwa Dkt Tulia,wengine wakasema Nalipwa na Mwamba Mwenyewe Paul Makonda na sasa wengine wanasema nalipwa na Chuma Kafulila.ila hawasemi nalipwa shilingi ngapi na kwanini nilipwe na kila mtu na na kwa watu wote hao? Na hawasemi kwamba wao wanalipwa na nani kuchafua watu humu jukwaani na mitandaoni.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tanzania Watu wake wengi ni hopeless ndio maana wanaweza kujadili zaidi mipira badala ya mambo muhimu kama haya,Tatizo Tanzania Watu hawako seriou kabisa na ndio maana hatujielewi,
Hoja kama hizi ndio zilipashwa kupewa nguvu zaidi ya kimijadala.
Hivi mtu anawezaje kurudisha chenji baada ya ujenzi kwa BOQ ile ile?
Niwatumishi wangapi wanabakiza chenji ata juzitaja tu kuwa zimebaki hawasemi.
Kwa moyo wangu wa dhati naomba kusema kama Taifa Tulia na Kafulila wawe marole model wetu.
Tujifunze vitu vizuri kutoka kwao.
Mungu mbariki sana Dkt Tulia
Mungu mbariki sana David.
Na wewe umejisahau.Uliwarudishia wateja wako wa maparachichi chenji zao.Ndugu zangu Watanzania,
Kuna watu ni WAZALENDO kwelikweli,ni wasafi sana, ni waaminifu waliopitiliza,ni wacha Mungu na wenye Hofu ya Mungu sana na wana uchungu mkubwa Sana na Maisha ya watanzania. Miongoni mwa watu hao basi ni hawa watu wawili ambao wamewahi ishitua Tanzania na kugusa mioyo ya mamilioni ya watanzania.
Ngoja niwape story bila kuwachosha kuelekea wikendi. Ilikuwa hivi Mheshimiwa Chuma Mwenyewe David Kafulila akiwa katibu Tawala Mkoa wa Songwe alipewa Billion Sita kujenga mpaka kumaliza ujenzi wa Makao makuu ya mkoa wa Songwe yanayopatikana katika kata ya Mlowo Eneo la Nselewa. Lakini Chuma kwa kutumia mfumo wa Force Akaunti katika ujenzi wa Makao makuu hiyo hakumaliza pesa hiyo.
na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kiukweli umeongea hoja nzito sanaa.ndio maana naona kuna kila sababu ya kuwapa ushirikiano na Kuwaunga mkono watu aina ya Mheshimiwa KafulilaTatizo Tanzania Watu hawako seriou kabisa na ndio maana hatujielewi,
Hoja kama hizi ndio zilipashwa kupewa nguvu zaidi ya kimijadala.
Hivi mtu anawezaje kurudisha chenji baada ya ujenzi kwa BOQ ile ile?
Niwatumishi wangapi wanabakiza chenji ata juzitaja tu kuwa zimebaki hawasemi.
Kwa moyo wangu wa dhati naomba kusema kama Taifa Tulia na Kafulila wawe marole model wetu.
Tujifunze vitu vizuri kutoka kwao.
Mungu mbariki sana Dkt Tulia
Mungu mbariki sana David.
Taifa hili ukiwa Mzalendo utapigwa vita Kila kona watu wanakuona kama chezi maarifa flani hivi😂😂😂Tanzania Watu wake wengi ni hopeless ndio maana wanaweza kujadili zaidi mipira badala ya mambo muhimu kama haya,
Kafulila na Tulia wapewe maua yao h
Hivi,hii wiki yote mnamjadili Kafulila,and the likes,kuna nini nyuma yake?What's the motive behind?Tanzania Watu wake wengi ni hopeless ndio maana wanaweza kujadili zaidi mipira badala ya mambo muhimu kama haya,
Kafulila na Tulia wapewe maua yao h
Watanzania tunapenda sana vitu vya kishenzi badala ya vitu muhimu kama hivi, Mimi sikuwa nafahamu kama Kuna watu walio hai ambao bado wanauzalendo kupilizaKiukweli umeongea hoja nzito sanaa.ndio maana naona kuna kila sababu ya kuwapa ushirikiano na Kuwaunga mkono watu aina ya Mheshimiwa Kafulila
Nini maana ya mtindio wa ubongo? Ukiondoa afya ya akili.Huyu jamaa atakuwa na mtindio wa ubongo
Kwanini wewe usiseme pia Makonda, Tulia na wengine wanaojadili wewe unahangaika tu na Kafulila?Hivi,hii wiki yote mnamjadili Kafulila,and the likes,kuna nini nyuma yake?What's the motive behind?