Naomba kuelezwa ni nani Mwingine zaidi ya Dkt Tulia na David Kafulila amewahi kurejesha Chenji Serikalini?

Naomba kuelezwa ni nani Mwingine zaidi ya Dkt Tulia na David Kafulila amewahi kurejesha Chenji Serikalini?

Mkuu naomba na Mimi nikuulize swali dogo,
MIFUMO YOTE YA SERIKALI NA TARATIBU ULIZOZITAJA ZIMEFANYA KAZI KWA TULIA NA KAFULILA TU? 😂😂

Let's be serious hata kama mtu unamchukia ila hata kimoyomoyo ukubali juhudi zake.
Huyo hawezi kulijibu swali hilo maana naifahamu akili yake ni ndogo
 
Sawa pamoja na yote ila Mwanaume unarudiahaje chenji Serikalini?
Sheria,wajibu na matakwa kihasibu yanaongozaje?Ni hisani kurudisha au ni takwa kihasibu/kisheria?Acheni hizo.You better find another good,and very good way to fool the fools!
 
Mkuu naomba na Mimi nikuulize swali dogo,
MIFUMO YOTE YA SERIKALI NA TARATIBU ULIZOZITAJA ZIMEFANYA KAZI KWA TULIA NA KAFULILA TU? 😂😂

Let's be serious hata kama mtu unamchukia ila hata kimoyomoyo ukubali juhudi zake.
Huwa unasima ripoti za CAG?
 
Sheria,wajibu na matakwa kihasibu yanaongozaje?Ni hisani kurudisha au ni takwa kihasibu/kisheria?Acheni hizo.You better find another good,and very good way to fool the fools!
Kuna miradi mingapi inatekelezwa Tanzania wewe jamaa why Tulia na Kafulila tu? Punguza uzwazwa
 
Kuna miradi mingapi inatekelezwa Tanzania wewe jamaa why Tulia na Kafulila tu? Punguza uzwazwa
Zwazwa ni wewe unayelazimisha mtu kutimiza matakwa ya kihasibu atukuzwe.Yani mtu asifiwe kwa ku-inhale na ku-exhale kwa uhai wake mwenyewe?You people are dearly numbs & dumps too!🤣🤣🤣🤣
 
Tatizo Tanzania tunashindana kwenye kupiga tu pesa ya Umma, Mtu unaambiwà mwanaume karudisha chenji wewe unaanza kunong'ona kama juha, Ivi mnajua utamu wa pesa nyie, tena pesa ambayo tayari imeshaandikwa imetumika?
MIMI NISINGERUDISHA HATA MIA.
 
Acheni wivu ewe mtanzat uliojaa msongo wa mawazo.tuwe na moyo wa kuwatia moyo wazalendo wa Taifa letu badala ya kuwakatisha tamaa
Wrooooong!Unasifia utimizaji halali wa wajibu wa mtu?Mmevuka viwango vya kusifia sasa mpo kwenye kufuru ya kutukuza.Na laana iwe juu yenu.Nafuta neno laana.Acheni upuuzi huo haraka sana.Nasisitiza.
 
Zwazwa ni wewe unayelazimisha mtu kutimiza matakwa ya kihasibu atukuzwe.Yani mtu asifiwe kwa ku-inhale na ku-exhale kwa uhai wake mwenyewe?You people are dearly numbs & dumps too!🤣🤣🤣🤣
Tatizo lako pengine unachuki na Tulia au Kafulila lakini kwani Tanzania ni miradi mingapi inatekelezwa?
Hizo unazoziita bakaa zinarudi?
Mwanaume kurudisha chenji acha kufanya mzaha na huyo mtu aisee.
 
Tatizo Tanzania tunashindana kwenye kupiga tu pesa ya Umma, Mtu unaambiwà mwanaume karudisha chenji wewe unaanza kunong'ona kama juha, Ivi mnajua utamu wa pesa nyie, tena pesa ambayo tayari imeshaandikwa imetumika?
MIMI NISINGERUDISHA HATA MIA.
Umesomeka, Kafulila na Tulia ni mashujaa wa Uadilifu kwelikweli
 
Wrooooong!Unasifia utimizaji halali wa wajibu wa mtu?Mmevuka viwango vya kusifia sasa mpo kwenye kufuru ya kutukuza.Na laana iwe juu yenu.Nafuta neno laana.Acheni upuuzi huo haraka sana.Nasisitiza.
Watalaaniwa wanaotafuna pesa za watanzania bila huruma.
 
Tatizo lako pengine unachuki na Tulia au Kafulila lakini kwani Tanzania ni miradi mingapi inatekelezwa?
Hizo unazoziita bakaa zinarudi?
Mwanaume kurudisha chenji acha kufanya mzaha na huyo mtu aisee.
My friend,niwe na chuki na Tulia Davy,why?Wananijua au ninawajua personally?Nakuelezeni ukweli,acheni kuanzisha nyuzi nyepesi na kuabudu watu.Mmevuka kwenye kusifu.Some weeks with nonsenses?Why do you put us,all into a gabbage-bin?Huku ni kutudharau.
 
VIJANA UZALENDO UNALIPA SANA JITAHIDINI KUWA WAAMINIFU PINDI MPATAPO NAFASI ZA KUWAONGOZA WATU.
 
Back
Top Bottom