Naomba kufahamishwa kuhusu mkoa wa Singida

Huko hana mademu ndio maana kapotezea
 
Samaki wanapatikana kwa wingi mkuu??
 
Kunbe ulikua Kiomboi mi nlifikiri Singapore Town
 
Singida imechangamka kuliko Tanga
 
Kuna mmoja nilikutana naye ni pisi kali. Jioni nikamvizia mdogo wake nikampa kikaratasi chenye namba ya simu.
Akanicheki, nikaenda naye gheto halafu ni mke wa mtu na aliolewa kwa sherehe na anaishi dar ila alikuja Singapore kusalimia.
Nililala naye siku 1 hata haungaiki. Awe ameolewa hajaolewa kuwamega rahisi sana.
Nasikia maji mara moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…