Naomba kufundishwa mbinu za kuepuka watu wa Jumuiya na Parokia

Naomba kufundishwa mbinu za kuepuka watu wa Jumuiya na Parokia

Usiinyime familia yako imani ya kikrsto

Unaweza wewe usiwe active ila hakikisha mke na watoto wako wanakuwa wakrsto safi

La sivyo watoto wako watageuka majambazi uko mbele na watakuletea wajukuu majambaza

Ukrsto ni ustaarabu wa maisha ya kibnadamu

Mungu yupo au hayupo ni nje ya fikara zetu

Lkn ni vizuri kuamini Mungu yupo

Nafsi zetu zina uungu ndani mwetu

Chunguza mwenendo wako
Chunguza matendo yako
Safisha nafsi yako


Utamwona Mungu
Mara ngapi tunaona watoto wa wachungaji ndio mateja au vibaka Hakuna formula mimi watoto wangu nawafundisha LIFE MANNERS
 
Dini ni aina ya utapeli uliohalishwa na serikali za ulimwengu ili kupumbaza wanadamu.
Mimi niliamua kuwa muamuzi wa mwisho ninayeamua nitaishi vipi maisha yangu bila kujipa pressure za 'watanionaje', nilipo achana rasmi na mambo ya kwenda kanisani sikuhitaji kujielezea sana haswa kwa mama yangu maana yeye ni mfuasi mzuri wa hayo mambo hususani jumuiya. Alikuwa ananiambia siku nikifa padre hatokuja msibani mimi jibu langu lilikua ni moja tu kwamba nikifa huo ndio mwisho wangu yaliyobakia ni yenu mkiamua nizikwe na manispaa, mchungaji, sheikh au paroko ni nyinyi tu
 
We kenge unaemuabudu Mungu amelufanyia nini ambacho unaweza ukajitokeza kujidai kuwa alikupa Mungu.Kuna watu kibao wanamuabudu Mungu na wanatoa hadi hela zao za kibindoni na wanagongwa njaa na dhiki kama kawaida.
Africa tuna akili nyeusi kama ngozi za ..... yaani tumeletewa Dini tumezishupalia kuliko hata waliozitengeneza tukaacha Miungu yetu ambyo ni culture yetu tukaaminishwa ni ushirikina ama kweli ukiwa huna akili unaweza ukatupa dhahabu na ukaokota jiwe
😂😂😂😂 kweli umeamua kwenda motoni
 
Kuna siku nilienda home wazee wamepata gawio Kila muumini 300K wako wawili jumla 600k kuna mradi wa ujenzi niliwasikitikia Sana jinsi wananyonywa nikawaeleza hawaelewi wanasema Sisi tutatoa Tu wakila shauri Yao
Kuanzia siku hiyo sitoi tena cash nyumbani
 
Hukulelewa vizuri kwenye hio familia ya RC wew umekua unakuta tuu ni wa RC alielewa kwa misingi ya dini hayuko kama wewe
 
Usiinyime familia yako imani ya kikrsto

Unaweza wewe usiwe active ila hakikisha mke na watoto wako wanakuwa wakrsto safi

La sivyo watoto wako watageuka majambazi uko mbele na watakuletea wajukuu majambaza

Ukrsto ni ustaarabu wa maisha ya kibnadamu

Mungu yupo au hayupo ni nje ya fikara zetu

Lkn ni vizuri kuamini Mungu yupo

Nafsi zetu zina uungu ndani mwetu

Chunguza mwenendo wako
Chunguza matendo yako
Safisha nafsi yako


Utamwona Mungu
Mungu hakuleta dini! Mungu alileta ushirika na binadamu wa moja kwa moja! Wokovu ndo njia sahihi ila na walokole wametengeneza dini iliyojaa ujinga na kukosa busara wala hawana hekima wala hawana kiasi! Ni vurugu! Hila wokovu ndio sahihi! Narudia! Dini ni ovu!
 
Sasa hapo unaanza kufunguka! Believe me or not I don't care! Hizi dini zoote kwa majina yake nyuma yake hiko roho inayokamata fahamu na kuamini unamtumikia Mungu lakini kiundani unatumikia taasisi za kinyonyaji za kibepari na kibwenyenye zilizojenga mtandao na kufungamana na nguvu za giza! Kama wewe ni wa hiyo dini kama ulivyosema na hiyo dini ndo iliyokufungisha ndoa umefungamana na madhabahu ya hiyo dini na hiyo roho ukitaka kuihasi lazima uhadhibiwe na mwisho watasema "unaona? Mungu kaanza kumpiga"! Broh! Kuna njia moja tu ya kukimbia dini nayo kuokoka! Just you and your faith in Jesus Christ! You don't even need to go to divinity churches! Unaweza kuvuta nguvu za Mungu ukiomba na kusikiliza mafundisho sahihi na kusimama kivyako na ukatoboa bila kutishwa na kupigwa na maroho ya mashetani yaliyomo kwenye dini! Maroho ya dini yana nguvu kuliko wachawi!
Pipa na mfuniko
 
Ulikosea SANA KUKATAA NAFASI YA UHASIBU.
YAANI UMETANGULIWA 2 GOALS,UMEPEWA NAFASI YA KUZAWAZISHA KWA KUZAWADIWA PENALTY HALAFU UKAWEKA MPIRA KWAPANI NA KWENDA NJE YA UWANJA?

UNGELI RUDISHA FEDHA ZAKO KWA KASI MPAKA UKAONDOLEWA NA HAPA USINGELI ONA HIZO BAHASHA TENA ZIKIJA HAPO KWAKO.

MSAADA KAMA ULIVYOOMBA.
USIJIBU HATA KWA ISHARA HOJA ZAO HALAFU BAADAE NAO WATAIGA MWENENDO WAKO NA KUWA KIMYA.
 
Ulikosea SANA KUKATAA NAFASI YA UHASIBU.
YAANI UMETANGULIWA 2 GOALS,UMEPEWA NAFASI YA KUZAWAZISHA KWA KUZAWADIWA PENALTY HALAFU UKAWEKA MPIRA KWAPANI NA KWENDA NJE YA UWANJA?

UNGELI RUDISHA FEDHA ZAKO KWA KASI MPAKA UKAONDOLEWA NA HAPA USINGELI ONA HIZO BAHASHA TENA ZIKIJA HAPO KWAKO.

MSAADA KAMA ULIVYOOMBA.
USIJIBU HATA KWA ISHARA HOJA ZAO HALAFU BAADAE NAO WATAIGA MWENENDO WAKO NA KUWA KIMYA.
Ningechafua jina langu hata hivyo sina dhiki za kuanza kuiba hela za waumini wasio na hatia waache wale wao
 
Siku hayo magari yakiondoka na pesa nayo ikaondoka utawatafuta watumishi wa Mungu kwa bidii. Pia ukizeeka ndio utaanza kumtafuta Mungu. Na ukifa ndio utaanza kwenda kanisani na kwenye jumuiya ili uzikwe na Kanisa.

Mungu yupo, tofautisha ubabaishaji wa wanadamu na uaminifu wa Mungu. Sapoti Kanisa lako kuna faida za kuwa mwanachama huko ila angalia pia usibaki kwenye mambo ya kidini tu, faidi nguvu za Yesu na mambo yake mazuri kama ulinzi na mengi mengine. Jifunze zaidi MAARIFA YA KIROHO, usibaki kwenye mazoea ya dini pekee, yanaua!
Acha kumtisha ntuu wewe din zote biashara Acha ujinga
 
Back
Top Bottom