Naomba kujua bei ya jumla ya nondo sasa hivi maana sisi tunaoishi mbali mafundi wanatupiga sana

Naomba kujua bei ya jumla ya nondo sasa hivi maana sisi tunaoishi mbali mafundi wanatupiga sana

kwa kuelewa zaidi roughly nyumba ya ghorofa moja ya kawaida inaweza tumia tone ngapi za nondo kwa makisio!
Quantity Surveyors/Civil Engineers ndo wanaweza kutupa ideas hapa ingawa itategemea pia ukubwa wa ghorofa lenyewe
 
Bei ya jumla Kwa nondo wanauza Kwa tan itakugarimu takribani 2,250,000
 
kwa kigamboni niliuliza 1,760,000/= pale kwa tiger na kibaha 1,780,000/= pale kyem hardware.
 
Nadhani huwa zinauzwa kama misumari, bei ya misumari kwa Kg ni tsh 4000 haijalishi ni misumari ya nchi ngapi. Ukinunua kg 1 ya misumari ya nchi 3 utapata misumari mingi tofauti na ukinunua Kg 1 ya misumari ya nchi 4 lakini uzito ni ule ule


Ukinunua tani moja ya nondo za 12mm unapata 94pcs lakini ukinunua tani moja ya nondo za 16mm unapata 53pcs
Uko sahihi kabisa mkuu.
 
Mada za kikubwa nasoma comment wadau najifunza
 
Mafundi usipokua nao karibu wakati wa ujenzi wanakupiga sio kidogo
 
Nimejenga kwa nondo za wizi bei rahisi sana.
 
Back
Top Bottom