Naomba kujua Faida yoyote ya Jeshi lolote la Afrika Kuficha Taarifa za Kuuwawa kwa 'Ambush' kwa Wanajeshi wake

Naomba kujua Faida yoyote ya Jeshi lolote la Afrika Kuficha Taarifa za Kuuwawa kwa 'Ambush' kwa Wanajeshi wake

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Majeshi ya Bara la Ulaya, America, Mashariki ya Kati na Mashariki ya mbali huwa hayana Upuuzi wa Kuficha au Kuwaficha Wananchi wa Nchi zao Taarifa za Kuuwawa kwa Wanajeshi wake katika Ambush wakiwa Vitani au katika Misheni za AU au UN.

Ila kwa Bara la la Afrika Majeshi yao hupenda sana kuficha au kufanya Siri kama Wanajeshi wao mfano 400 wakishambuliwa katika Ambush na Wanajeshi 40 Kufa.

Na kinachoshangaza zaidi haya Majeshi ya Bara la Afrika yataficha Taarifa hizo za Vifo vya Wanajeshi wao na hata Kuwatisha Ndugu wasiseme ila wanasahau kuwa Asili ya Waafrika ni Umbea hivyo kuna Ndugu zao tu hawana Uvumilivu na midomo yao itawawasha na Kuwaambia Waafrika Wenzao.

GENTAMIYCINE nichukue nafasi hii kuwapa Pole zangu nyingi Wanajeshi 400 wa Bara la Afrika walioshambuliwa na Ambush Kali huko nchini Msumbiji na Waasi wa Al Shaabab na Wanajeshi kati ya 40 hivi Kufa na Wengine Kujeruhiwa vibaya na sasa Wanatibiwa katika Hospitali za Kijeshi za Majeshi ya huko huko nchi za Barani Afrika.

Geniuses adriz na Bila bila mpo Ndugu zangu? Nawakubali mno kwakuwa huwa ni wepesi mno Kunielewa kwani tulisoma Wote Kozi zetu zile Ngumu na Makini nchini Cuba na Puerto Rico.

Waafrika bhana.....! Unaficha Msiba?
 
Huwa najiuliza sana hizi issue.

Hii si mara ya kwanza jeshi la Afrika hasa lile la kule Uswahilini kushambuliwa na kuuwawa.

Tena hadi tuhuma za ubakaji nyingi sana kwemy jeshi la swahili.

Ina maana Ujinga ni mkubwa hivi kwa nchi zetu?

Kwanini wasitangaze tukajua kuwa wamekufa kishujaaa

Hovyoooo
 
Sasa kama jeshi la uswahilini limeshambuliwa kwa ambush kwa nini wasiongeze vikosi kwenda kulipiza kisasi kwa kuiteka nchi nzima ya msumbiji kama wao wameshindwa kuwafagia wahuni hao nchini mwao?

Msumbiji inatia aibu kwa kweli, nchi kubwa inasumbuliwa na kikundi kidogo cha kihuni mpaka kusaidiwa na majeshi kidogo ya umoja wa kikanda kama AU na UN, mara SADC
 
Sasa kama jeshi la uswahilini limeshambuliwa kwa ambush kwa nini wasiongeze vikosi kwenda kulipiza kisasi kwa kuiteka nchi nzima ya msumbiji kama wao wameshindwa kuwafagia wahuni hao nchini mwao? Msumbiji inatia aibu kwa kweli, nchi kubwa inasumbuliwa na kikundi kidogo cha kihuni mpaka kusaidiwa na majeshi kidogo ya umoja wa kikanda kama AU na UN, mara SADC
shida ni UN wanaweka vipengele vya kipumbavu sana kwny mikataba lakn tungeshawamaliza
 
shida ni UN wanaweka vipengele vya kipumbavu sana kwny mikataba lakn tungeshawamaliza
ifike muda UN wabadili hicho kipengele ili majeshi yake yaliyopo kwenye operationi kama hizo waweze kuwafagia waasi/vikundi vya kigaidi vinavyosumbua nchi zao au nchi jirani.

Kupeleka majeshi ya kimataifa yakakae tu huko huzua mengine kama ya kulabua wanawake wa huko hovyo. Operesheni za kijeshi namba moja ni vita tu, waasi au magaidi wapigwe pande zote watoweke huko walikoweka ngome zao
 
Majeshi ya Bara la Ulaya, America, Mashariki ya Kati na Mashariki ya mbali huwa hayana Upuuzi wa Kuficha au Kuwaficha Wananchi wa Nchi zao Taarifa za Kuuwawa kwa Wanajeshi wake katika...
Nipo, nimemkumbuka mbali sana Cuba na Puetro Rico ile ya miaka 1960-1977 kipindi tunasoma ilikuwa inatoa vijana machachari wenye akili na uelewa mpana sasa hivi siasa nyingi sasa imekuwa hazina tofauti na vyuo vya Nicaragua
 
Sasa kama jeshi la uswahilini limeshambuliwa kwa ambush kwa nini wasiongeze vikosi kwenda kulipiza kisasi kwa kuiteka nchi nzima ya msumbiji kama wao wameshindwa kuwafagia wahuni hao nchini mwao?

Msumbiji inatia aibu kwa kweli, nchi kubwa inasumbuliwa na kikundi kidogo cha kihuni mpaka kusaidiwa na majeshi kidogo ya umoja wa kikanda kama AU na UN, mara SADC

Magaidi hata uteke nchi nzima hupati hata mmoja.
Ugaidi kudili nao yahitaji intelligence ya uhakika
 
Huwa najiuliza sana hizi issue.

Hii si mara ya kwanza jeshi la Afrika hasa lile la kule Uswahilini kushambuliwa na kuuwawa.

Tena hadi tuhuma za ubakaji nyingi sana kwemy jeshi la swahili.

Ina maana Ujinga ni mkubwa hivi kwa nchi zetu?

Kwanini wasitangaze tukajua kuwa wamekufa kishujaaa

Hovyoooo
Hiyo imetokea lini?
 
Majeshi ya Bara la Ulaya, America, Mashariki ya Kati na Mashariki ya mbali huwa hayana Upuuzi wa Kuficha au Kuwaficha Wananchi wa Nchi zao Taarifa za Kuuwawa kwa Wanajeshi wake katika Ambush wakiwa Vitani au katika Misheni za AU au UN.

Ila kwa Bara la la Afrika Majeshi yao hupenda sana kuficha au kufanya Siri kama Wanajeshi wao mfano 400 wakishambuliwa katika Ambush na Wanajeshi 40 Kufa.

Na kinachoshangaza zaidi haya Majeshi ya Bara la Afrika yataficha Taarifa hizo za Vifo vya Wanajeshi wao na hata Kuwatisha Ndugu wasiseme ila wanasahau kuwa Asili ya Waafrika ni Umbea hivyo kuna Ndugu zao tu hawana Uvumilivu na midomo yao itawawasha na Kuwaambia Waafrika Wenzao.

GENTAMIYCINE nichukue nafasi hii kuwapa Pole zangu nyingi Wanajeshi 400 wa Bara la Afrika walioshambuliwa na Ambush Kali huko nchini Msumbiji na Waasi wa Al Shaabab na Wanajeshi kati ya 40 hivi Kufa na Wengine Kujeruhiwa vibaya na sasa Wanatibiwa katika Hospitali za Kijeshi za Majeshi ya huko huko nchi za Barani Afrika.

Geniuses adriz na Bila bila mpo Ndugu zangu? Nawakubali mno kwakuwa huwa ni wepesi mno Kunielewa kwani tulisoma Wote Kozi zetu zile Ngumu na Makini nchini Cuba na Puerto Rico.

Waafrika bhana.....! Unaficha Msiba?
Mimi siyo Genius?
 
we POPOMA TUKUKA niambie marekani walikuambia ni wanajeshi wangapi walikufa baada ya Irani kushambulia kambi yao kule IIr

we POPOMA TUKUKA niambie marekani walikuambia ni wanajeshi wangapi walikufa baada ya Irani kushambulia kambi yao kule Iraq?
Planet hivi ni kwa nini marekani haikuivamia Iran baada ya tukio hilo? Au alimuogopa?
 
Back
Top Bottom