Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Na mpango wa DP world kwenye nchi za Africa ni kurahisisha uharamia wa alshabab na Islamic state. Na hata islamist terrorists wakivamia hizo nchi za Africa zitasumbuliwa logistics za kupamabana na hao magaidi