GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Je, ndiyo Chief of Protocol kwa Mheshimiwa Rais Samia sasa? Nasikia pia kuwa ndiyo National Intelligence Analyst. Na kwanini anasikilizwa na hata Kuogopwa sana na Timu ya Rais kiasi kwamba ananyenyekewa mpaka na wale Watu wa Msaada Kontena ambao Kiutendaji Yeye ndiyo anatakiwa aongozwe nao na hata awagope na awasikilize?
Kama kuna Uzi ambao GENTAMYCINE leo nitatulia sana Kusoma Comments za Members mbalimbali JF basi ni huu.
Kama kuna Uzi ambao GENTAMYCINE leo nitatulia sana Kusoma Comments za Members mbalimbali JF basi ni huu.